Mh. Pindi Chana azindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Dkt. Pindi Chana (Mb) akizundua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni na wanaofanya shughuli zao katika sekta zisizo rasmi. Uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa Belinda Jijini Dar es salaam tarehe 27 Februari 2015.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Dkt. Pindi Chana akizungumza mara baada ya kuzindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboNAIBU WAZIRI DK.PINDI CHANA AZINDUA MRADI WA 'MPE RIZIKI SI MATUSI' KUMLINDA MWANAMKE DHIDI YA UKATILI KATIKA MASOKO
10 years ago
GPLNAIBU WAZIRI DK.PINDI CHANA AZINDUA MRADI WA 'MPE RIZIKI SI MATUSI' KUMLINDA MWANAMKE DHIDI YA UKATILI KATIKA MASOKO
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Dawa ya wagombea wanaotumia lugha za matusi, vitisho yaiva
9 years ago
Vijimambo15 Oct
Amani na uwezeshaji kiuchumi vitainua wanawake: Pindi Chana
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Xx_QZPcexeSz-lYL3STUb5v3jXymjKx0RanzvChTIZB0Z0OS1KR0Hd-FkfgM5QU8E7Z3JO8f4BgurcXDVLVLcX_bvOERcKOCF6Hmq4-AUN5rGTm8W7M3VJUPqEVRMMZE7d8aqZBK=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2015/10/Chana.jpg)
Naibu waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto wa Tanzania Pindi Chana katika mahojiano na Joseph Msami.(Picha:Idhaa ya Kiswahili/video capture)Ulinzi kwa wanawake na uwezeshaji kuchumi ni muhimu katika ustawi wa wanawake amesema Naibu waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto wa Tanzania Pindi Chana katika mahojiano na Joseph Msami wa idhaa ya Kiswahili ya redio ya Umoja wa Mataifa muda mfupi baada ya kuhutubia kikao cha baraza la usalama kilichojadili azimio namba 1325 kuhusu...
9 years ago
Habarileo14 Sep
Tume yakemea vurugu, matusi kwenye kampeni
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imekemea vurugu na mauaji yaliyotokea wakati wa mikutano ya kampeni za vyama vya siasa inayoendelea katika sehemu mbalimbali nchini.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Sep
Msajili wa vyama aonya matusi katika kampeni.
NA ELIZABETH ZAYA 8th September 2015 Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa nchini, imesema itakichukulia hatua chama chochote ambacho kitabainika kutumia lugha za matusi katika kampeni za uchaguzi zinazoendelea nchini kwa sasa. Akizungumza na waandishi […]
The post Msajili wa vyama aonya matusi katika kampeni. appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-u-ZHlvg94tE/U7bkXrqbuQI/AAAAAAAFvAE/FgAg6lai2_s/s72-c/unnamed+(24).jpg)
DKT. PINDI CHANA AZINDUA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-u-ZHlvg94tE/U7bkXrqbuQI/AAAAAAAFvAE/FgAg6lai2_s/s1600/unnamed+(24).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aWfCUwf9lQU/U7bkXhbI2sI/AAAAAAAFvAA/yR-jv699pnE/s1600/unnamed+(25).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SHCs-fvcVA8/VJLgH7qLvtI/AAAAAAAG4NE/QvwFyzi41RE/s72-c/unnamed%2B(69).jpg)
MHE. DKT PINDI CHANA AZINDUA SEMINA YA KUDUMISHA AMANI NA KUKOMESHA VITENDO VYA UKATILI ROLYA, MARA
Semina hiyo ilindaliwa na kanisa la Anglikana Tanzania Dayosisi ya Rorya , Kanisa kuu Mt. Petro Kowak, kata ya Nyathorogo.
Wakati wa ufunguzi wa Semina hiyo Mheshimiwa Naibu Waziri aliwasihi wadau mbalimbali wa maendeleo ya Jinsia kutekeleza kwa vitendo kauli Mbiu Siku ya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/IMG_3115.jpg?width=650)
BASATA YAONYA LUGHA CHAFU NA MAADILI KWENYE KAMPENI