Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msajili wa vyama aonya matusi katika kampeni.

NA ELIZABETH ZAYA 8th September 2015 Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa nchini, imesema itakichukulia hatua chama chochote ambacho kitabainika kutumia lugha za matusi katika kampeni za uchaguzi zinazoendelea nchini kwa sasa. Akizungumza na waandishi […]

The post Msajili wa vyama aonya matusi katika kampeni. appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Msajili aonya uanzishwaji wa vyama vya siasa holela

MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ameonya tabia ya watu kuanzisha vyama vya siasa kama mchezo wa kuigiza na kuwarubuni Watanzania wakati ajenda zao hazina dhamira ya dhati kwa maendeleo ya nchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Msajili wa vyama aonya vurugu za wafuasi wa Chadema na Zitto

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujiepusha na vurugu na uvunjifu wa amani kinapotatua mgogoro wake na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wake, Zitto Kabwe.

 

9 years ago

GPL

KUELEKEA UCHAGUZI... MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAMBULISHA KAMPENI YA AMANI

Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Jaji Francis Mutungi (katikati) akizungumza na wanahabari mapema leo, kulia ni msanii wa tungo za kiswahili, Mrisho Mpoto na kulia ni mwimbaji wa nyimbo za Injili, Christina Shusho. Msanii wa nyimbo za asili, Mrisho Mpoto akizungumza wakati wa mkutano huo. TAAARIFA KWA VYOMO VYA HABARI Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, pamoja na majukumu yake ya msingi, inayo pia jukumu la...

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Pindi Chana azindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Dkt. Pindi Chana (Mb) akizundua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni na wanaofanya shughuli zao katika sekta zisizo rasmi. Uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa Belinda Jijini Dar es salaam tarehe 27 Februari 2015. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Dkt. Pindi Chana akizungumza mara baada ya kuzindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la...

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi, vyama wajadili amani katika kampeni

Jeshi la Polisi limerejea tena tamko lake la kupiga marufuku vikundi vya ulinzi vya vyama vya siasa, ambavyo limeeleza kuwa vina mwelekeo wa kijeshi, kufanya kazi za ulinzi likidai kuwa linaingilia majukumu yake.

 

9 years ago

Vijimambo

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Monica Laurent (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati akimkaribisha msemaji wa mkutano huo kuzungumza na waandishi.Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini, Sisty Nyahoza (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu ambavyo ninastahili kushiriki uchaguzi mkuu. Kulia ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani