Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tume yakemea vurugu, matusi kwenye kampeni

TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imekemea vurugu na mauaji yaliyotokea wakati wa mikutano ya kampeni za vyama vya siasa inayoendelea katika sehemu mbalimbali nchini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mh. Pindi Chana azindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Dkt. Pindi Chana (Mb) akizundua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni na wanaofanya shughuli zao katika sekta zisizo rasmi. Uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa Belinda Jijini Dar es salaam tarehe 27 Februari 2015. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Dkt. Pindi Chana akizungumza mara baada ya kuzindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la...

 

9 years ago

Mwananchi

Vurugu hizi kwenye kampeni ni ishara mbaya

Wiki iliyopita tulitoa pongezi kwa vyama vya siasa kwa kuanza kampeni kistaarabu na mikutano mingi kutoingiliwa na vurugu, isipokuwa kwenye sehemu chache ambazo viongozi walidiriki kutoa maneno yasiyostahili dhidi ya wapinzani wao.

 

9 years ago

GPL

VURUGU KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI HII SIYO SIASA

Na Igenga Mtatiro, Tarime Hii siyo siasa! Ndivyo walivyokuwa wakisema watu wengi mjini hapa baada ya hivi karibuni kushuhudia mtu mmoja, Mwita Bhoke Watei (37), mkazi wa Kijiji cha Nyandage, Kata ya Nyanungu, Tarime mkoani hapa, akiuawa kwa kukatwa mapanga katika vurugu za kampeni za uchaguzi zinazoendelea nchini kote kwa sasa......Soma zaidi===>http://bit.ly/1J9g6dp ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Bunge la Bajeti 2014/2015: lisiwe la Vurugu, Matusi na Kejeli

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akifunga Bunge  leo twasira ya muono wa Mandhari ilivyokuwa.

Tamko Vikao Vya Bajeti 20142015 by moblog

 

9 years ago

Dewji Blog

NEC yakemea vikali ukiukwaji wa maadili unaofanywa na vyama vya siasa wakati wa kampeni za uchaguzi

Untitled

 

Maadili ya Uchaguzi awa Ajili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani  na Mwaka 2015

(chini ya Kifungu cha 124A cha Sheria ya Uchaguzi Na. 1 ya mwaka 1985 (sura ya 343)

Sisi Vyama vya Siasa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa pamoja tumekubaliana kuwa na uchaguzi huru, wa haki, uwazi, na wa kuaminika. Na kwamba Amani, Ustawi wa Nchi, Usalama wa Raia, Uhuru wa Vyama vya Siasa na Utii wa Sheria, Kanuni na taratibu za uchaguzi ndio msingi wa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Msajili wa vyama aonya matusi katika kampeni.

NA ELIZABETH ZAYA 8th September 2015 Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa nchini, imesema itakichukulia hatua chama chochote ambacho kitabainika kutumia lugha za matusi katika kampeni za uchaguzi zinazoendelea nchini kwa sasa. Akizungumza na waandishi […]

The post Msajili wa vyama aonya matusi katika kampeni. appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA URAIS ZAANZA RASMI, TUME YATOA RATIBA ZA MAENEO NA MUDA WA KAMPENI


Tume ya Taifa ya uchaguzi inakutana na Kamati Maalumu inayo undwa na wajumbe kutoka vyama nane vilivyo na wagombea wa urais na makamo kuandaa Ratiba ya mikutano ya hadhara kurahisisha kubaini vyama vilivyopanga mkutano mmoja katika mkoa mmoja, wilaya moja, na Eneo moja kwa Tarehe mojaMkurugenzi wa NEC Kailima Ramadhani amesema anafarijika sana na ushirikiano wanaouonyesha Wawakilishi Wa vyama katika kuhakikisha mchakato kuwa wa Amani na utulivu bila kujali itikadi za vyama vyao kikao...

 

11 years ago

Mwananchi

Tume ya uchaguzi yalaani vurugu

Tume ya Taifa ya Uchaguzi(Nec), imekemea vitendo vya vurugu na uvunjifu wa amani vinavyotokea katika Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Madiwani katika kata 27 zinazofikia tamati leo na kuviagiza vyombo vya dola kuwachukulia hatua bila kujali vyeo wala itikadi za wahusika.

 

10 years ago

Mtanzania

CCM wataka tume vurugu Zanzibar

Na Is-haka Omar, Zanzibar
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, kimeitaka Serikali kuunda tume huru kuchunguza tukio la kuvamiwa na kujeruhiwa vibaya wafuasi 25 wa Chama cha Wananchi (CUF), waliokuwa wanatoka katika mkutano Makunduchi hivi karibuni.
Kauli hiyo ya CCM imekuja siku chache baada ya CUF, kuishutumu kuhusika na tukio la kupigwa na kujeruhiwa kwa wafuasi wake.
Akizungumza na MTANZANIA jana mjini Unguja, Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Vuai Ali Vuai, alikana chama chao kuhusika na kutukio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani