Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vurugu hizi kwenye kampeni ni ishara mbaya

Wiki iliyopita tulitoa pongezi kwa vyama vya siasa kwa kuanza kampeni kistaarabu na mikutano mingi kutoingiliwa na vurugu, isipokuwa kwenye sehemu chache ambazo viongozi walidiriki kutoa maneno yasiyostahili dhidi ya wapinzani wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Vurugu hizi kwenye uchaguzi hapana

JUMAPILI iliyopita, kata 27 nchini zilifanya uchaguzi mdogo kujaza nafasi zilizoachwa wazi na waliokuwa madiwani wake kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za vifo na kujiuzulu. Vyama mbalimbali vilishiriki uchaguzi huo,...

 

9 years ago

Habarileo

Tume yakemea vurugu, matusi kwenye kampeni

TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imekemea vurugu na mauaji yaliyotokea wakati wa mikutano ya kampeni za vyama vya siasa inayoendelea katika sehemu mbalimbali nchini.

 

9 years ago

GPL

VURUGU KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI HII SIYO SIASA

Na Igenga Mtatiro, Tarime Hii siyo siasa! Ndivyo walivyokuwa wakisema watu wengi mjini hapa baada ya hivi karibuni kushuhudia mtu mmoja, Mwita Bhoke Watei (37), mkazi wa Kijiji cha Nyandage, Kata ya Nyanungu, Tarime mkoani hapa, akiuawa kwa kukatwa mapanga katika vurugu za kampeni za uchaguzi zinazoendelea nchini kote kwa sasa......Soma zaidi===>http://bit.ly/1J9g6dp ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ujenzi maabara za Sekondari ni ishara mbaya ya uongozi

SI mara ya kwanza kwako wewe msomaji kusikia kwamba Tanzania kuna ombwe la uongozi. Imesemwa sana na watu wa kada na nyakati tofauti kwa mambo yanavyokwenda katika taifa letu si...

 

10 years ago

Mwananchi

Hili la kupigwa Warioba ni ishara mbaya nchini

Kwa aina hii ya siasa inayoendelea nchini, ni wazi kwamba tunaiharibu demokrasia yetu. Hakuna ubishi kwamba Tanzania inaelekea kubaya tena pabaya sana.

 

11 years ago

Mwananchi

UKWELI UTAKUWEKA HURU: Kwa ishara hizi umefika mwisho wa CCM kuwa madarakani

>Wahenga walisema, ‘kila kitu  chenye mwanzo pia kina mwisho wake.’ Usemi huu una ukweli ndani yake ingawa katika baadhi ya nyakati  unapuuzwa na watu hasa wenye upeo  mdogo wa kufikiri au wale waliochanganyikiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Tunalaani vurugu hizi mdahalo wa Katiba

Tumesikitishwa sana na vurugu zilizotokea juzi wakati wa mdahalo wa Katiba Inayopendekezwa ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Vurugu hizi ni ukosefu wa nidhamu polisi

Ukizisoma Kanuni za Kudumu za Jeshi la Polisi (Police General Orders) au kwa kifupi PGO, zimetoa mwongozo mzuri wa namna ya kutekeleza majukumu ya kipolisi. Lakini kubwa zaidi ni usimamizi wa nidhamu kwa askari.

 

9 years ago

Vijimambo

52 mbaroni kwa vurugu za kampeni

JESHI la Polisi nchini limewafikisha mahakamani watuhumiwa 52 kwa kujihusisha na makosa mbalimbali wakati wa kampeni, ikiwemo kuvamia mikutano ya vyama vingine vya siasa na kuanzisha vurugu.

Kukamatwa kwa watu hao ni kutokana na kuripotiwa kwa matukio 107 ya uvunjifu wa amani, ambapo tayari matukio 38 yameshafanyiwa upelelezi na kufunguliwa kesi huku matukio mengine 68 yakiendelea kufanyiwa upelelezi.

Akitoa tathimini ya mwenendo wa kampeni za uchaguzi, Msemaji wa Jeshi hilo, Advera Bulimba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani