Vurugu hizi ni ukosefu wa nidhamu polisi
Ukizisoma Kanuni za Kudumu za Jeshi la Polisi (Police General Orders) au kwa kifupi PGO, zimetoa mwongozo mzuri wa namna ya kutekeleza majukumu ya kipolisi. Lakini kubwa zaidi ni usimamizi wa nidhamu kwa askari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi18 Apr
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Vurugu hizi kwenye uchaguzi hapana
JUMAPILI iliyopita, kata 27 nchini zilifanya uchaguzi mdogo kujaza nafasi zilizoachwa wazi na waliokuwa madiwani wake kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za vifo na kujiuzulu. Vyama mbalimbali vilishiriki uchaguzi huo,...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Tunalaani vurugu hizi mdahalo wa Katiba
9 years ago
Mwananchi13 Sep
Vurugu hizi kwenye kampeni ni ishara mbaya
10 years ago
Habarileo21 Dec
Polisi watakiwa kudumisha nidhamu
MAOFISA, wakaguzi na askari wa Jeshi la Polisi hapa nchini, wametakiwa kudumisha nidhamu wakati wote, kutenda haki kwa kila mmoja na kuheshimu wananchi wa rika zote bila ya kujali dini, rangi ama itikadi zao kisiasa.
10 years ago
Habarileo16 Dec
Polisi yasikitishwa na vurugu Masasi
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika Halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara kimeibuka na ushindi kwa kujinyakulia viti 945 sawa na asilimia 88 ya kura zote zilizopigwa katika uchaguzi wa wenyeviti wa serikali za mitaa, vijiji pamoja na vitongoji uliofanyika kote nchini jana.
10 years ago
Habarileo25 Nov
Polisi wataja chanzo vurugu za Mbagala
POLISI imeeleza undani wa vurugu za juzi na kusababisha vifo vya watu wa eneo la Mbagala Kongowe Mzinga jijini Dar es Salaam na kusema chanzo ni kundi la vijana wahalifu waliojiita ‘Black Americans’.
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Polisi walikuwa wapi vurugu za Bariadi?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBtj2jlneh6BTmBo6MxJS0KxWvwnoossHXc5uAGFpkG1CZiItLH3gFsa91x7fgNSsjX*F*u9LSaizhoxi9eE*8bf/4037.jpg?width=650)
JK: POLISI MJIANDAE KUKABILIANA NA VURUGU ZA UCHAGUZI