Tunalaani vurugu hizi mdahalo wa Katiba
Tumesikitishwa sana na vurugu zilizotokea juzi wakati wa mdahalo wa Katiba Inayopendekezwa ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Nov
Vurugu zavunja mdahalo Katiba
MDAHALO wa kujadili Katiba Inayopendekezwa ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere, jana uliingia dosari na kuahirishwa baada ya kuibuka kundi la vijana lililokuwa na mabango mbalimbali na kusababisha hali ya hewa ndani ya eneo hilo kuvurugika.
10 years ago
Habarileo04 Nov
Vurugu mdahalo Katiba zalaaniwa
MAKUNDI mbalimbali ya watu wakiwemo wasomi na vyama vya siasa wamejitokeza kulaani vurugu zilizoibuka juzi katika mdahalo wa kujadili Katiba Inayopendekezwa ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere, na kusisitiza kwamba vitendo kama hivyo siyo vya kufumbia macho, kwani vinahatarisha amani ya nchi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/06WphArD*MtgXklaKbvsMZbLWcb3N0Z*NuMSCp26ZIFWGxQTCAwycJCzDGbFwPu4XbfTGlLjwpZt3RJwTGeDKbLU2iajEGZq/05WARIOBAAFANYIWAFUJO5.jpg?width=650)
TASWIRA ZA VURUGU ZILIZOHARIBU MDAHALO WA KATIBA INAYOPENDEKEZWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
VURUGU: NGUMI ZAPIGWA WAKATI WA MDAHALO WA KATIBA
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Vurugu hizi ni ukosefu wa nidhamu polisi
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Vurugu hizi kwenye uchaguzi hapana
JUMAPILI iliyopita, kata 27 nchini zilifanya uchaguzi mdogo kujaza nafasi zilizoachwa wazi na waliokuwa madiwani wake kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za vifo na kujiuzulu. Vyama mbalimbali vilishiriki uchaguzi huo,...
9 years ago
Mwananchi13 Sep
Vurugu hizi kwenye kampeni ni ishara mbaya
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Warioba adhalilishwa mdahalo wa Katiba
10 years ago
GPLMDAHALO WA KATIBA WAFANYIKA LEO MWANZA