Warioba adhalilishwa mdahalo wa Katiba
Katika mazingira ya kutatanisha, siku ya Jumapili vurugu zimekatisha mdahalo uliokuwa ukiendelea kujadili mchakato wa katiba mpya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Tume ya Warioba kushiriki mdahalo
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Mdahalo wa Jaji Warioba kesho Dar
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Ulinzi mkali mdahalo wa Jaji Warioba leo
10 years ago
Habarileo04 Nov
Vurugu mdahalo Katiba zalaaniwa
MAKUNDI mbalimbali ya watu wakiwemo wasomi na vyama vya siasa wamejitokeza kulaani vurugu zilizoibuka juzi katika mdahalo wa kujadili Katiba Inayopendekezwa ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere, na kusisitiza kwamba vitendo kama hivyo siyo vya kufumbia macho, kwani vinahatarisha amani ya nchi.
10 years ago
Habarileo03 Nov
Vurugu zavunja mdahalo Katiba
MDAHALO wa kujadili Katiba Inayopendekezwa ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere, jana uliingia dosari na kuahirishwa baada ya kuibuka kundi la vijana lililokuwa na mabango mbalimbali na kusababisha hali ya hewa ndani ya eneo hilo kuvurugika.
10 years ago
Vijimambo03 Nov
PICHA ZA MDAHALO WA KUJADILI KATIBA ULIVYOVUNJIKA
10 years ago
GPLMDAHALO WA KATIBA WAFANYIKA LEO MWANZA