PICHA ZA MDAHALO WA KUJADILI KATIBA ULIVYOVUNJIKA
Jaji Joseph Warioba akitoa mada.
Mtoa mada katika mdahalo wa kujadili Katiba inayopendekezwa, Jaji Joseph Warioba akitoa mada kabla ya mkutano huo kuvunjika katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Saam leo.
Baadhi ya vijana walioingia na mabango ndani ya ukumbi wa mkutano wakiwa na mabango yaliyokuwa yakisomeka ‘Katiba inayopendekezwa tumeipokea tunaiunga mkono’.
Mlinzi wa Jaji Joseph Warioba (kushoto) akimkinga kwa mikono ili asipate madhara baada ya mdahalo wa kujadili Katiba...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XS_AGWOg2TU/VFaKSIQeXlI/AAAAAAAGvF8/qy3vHAWfgLo/s72-c/IMG-20141102-WA0010.jpg)
NEWS ALERT: Mdahalo wa kujadili umuhimu wa kuzingatia Mambo ya msingi katika katiba wavunjika kwa tafrani kubwa
Chanzo cha Tafrani hiyo, inaelezwa kuwa ni Baada ya Mh. Warioba katika taarifa yake kueleza kwamba Muungano sio tunu ila ni urithi ulioachwa na Waasisi,ndipo baadhi ya watu waliokuwepo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X2DNaxarANM/VFUHYeseI1I/AAAAAAAGun0/dCwZg7UqNpw/s72-c/images.jpg)
MDAHALO WA KUJADILI UMUHIMU WA KUZINGATIA MAMBO YA MSINGI KATIKA KATIBA INAYOPENDEKEZWA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA UTAKAOFANYIKA KWENYE HOTELI YA BLUE PEARL, UBUNGO PLAZA DAR ES SALAAM JUMAPILI TAREHE 2 NOVEMBA 2014 KUANZIA SAA 9.00 MCHANA MPAKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-X2DNaxarANM/VFUHYeseI1I/AAAAAAAGun0/dCwZg7UqNpw/s1600/images.jpg)
Lengo ni kutoa fursa kwa washiriki wa mdahalo na wananchi kwa ujumla kujielimisha kuhusu...
9 years ago
Michuzi27 Aug
MDAHALO WA UCHAGUZI MKIKIMKIKI 2015 WAZINDULIWA VYAMA VIKUU VYA SIASA KUJADILI SERA ZAO
Mfululizo huu wa midahalo umekuja wakati muafaka. Utafiti ulidhaminiwa na Twaweza, uligundua kuwa wananchi 8 kati ya 10 wanafikiri kuwa wagombea ubunge (78%) na urais (79%) wanapaswa kuwa na midahalo ya pamoja. Mbali...
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-HSe-5d8IDU4/Vm5Lm6EzY9I/AAAAAAAAsNM/1XYHfCWGYa8/s72-c/5.jpg)
MHE. NAPE AFUNGUA MDAHALO WA KUJADILI HOTUBA YA RAIS CHUO KIKUU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-HSe-5d8IDU4/Vm5Lm6EzY9I/AAAAAAAAsNM/1XYHfCWGYa8/s640/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wKqFd8YxafU/Vm5LmpzbOSI/AAAAAAAAsNI/eS2BiU4TOwk/s640/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-K08OG66nhgk/Vm5Ll7OU-5I/AAAAAAAAsNE/Aw_XimAnYfw/s640/10.jpg)
10 years ago
Habarileo04 Nov
Vurugu mdahalo Katiba zalaaniwa
MAKUNDI mbalimbali ya watu wakiwemo wasomi na vyama vya siasa wamejitokeza kulaani vurugu zilizoibuka juzi katika mdahalo wa kujadili Katiba Inayopendekezwa ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere, na kusisitiza kwamba vitendo kama hivyo siyo vya kufumbia macho, kwani vinahatarisha amani ya nchi.
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Warioba adhalilishwa mdahalo wa Katiba
10 years ago
Habarileo03 Nov
Vurugu zavunja mdahalo Katiba
MDAHALO wa kujadili Katiba Inayopendekezwa ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere, jana uliingia dosari na kuahirishwa baada ya kuibuka kundi la vijana lililokuwa na mabango mbalimbali na kusababisha hali ya hewa ndani ya eneo hilo kuvurugika.
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Tunalaani vurugu hizi mdahalo wa Katiba
10 years ago
Vijimambo02 Nov
NGUMI ZAPIGWA WAKATI WA MDAHALO WA KATIBA
![](http://api.ning.com/files/*SUYvb1OXSvrf1macfP7aK7EikC6XFrLihLEHGBikSA9h8gjK9CgyeU-iIUkMzud1NQGWFEtXwmyH710W0h*-fvofLlmD8tY/warioba2.jpg?width=650)
VURUGU zilizoambatana na ngumi kurushwa zimetokea hivi punde katika Ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam wakati aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba alipokuwa akitoa mada kwenye mdahalo wa kujadili umuhimu wa kuielewa kwa kina Katiba inayopendekezwa kama ilivyopitishwa na Bunge Maalum la Katiba.
Vurugu hizo zimezuka baada ya watu waliokuwa na mabango kuvamia ukumbuni hapo na kusababisha baadhi ya watu waliokuwa wanafuatilia mdahalo huo...