MHE. NAPE AFUNGUA MDAHALO WA KUJADILI HOTUBA YA RAIS CHUO KIKUU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-HSe-5d8IDU4/Vm5Lm6EzY9I/AAAAAAAAsNM/1XYHfCWGYa8/s72-c/5.jpg)
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam pamoja na wageni waalikwa wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya Mdahalo wa kuijadili hotuba ya Rais aliyoitoa siku ya ufunguzi wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mdahalo ulioandaliwa na TAHLISO wenye lengo la kujadili hotuba ya Mheshimiwa Rais Dk. John Pombe Magufuri aliyoitoa wakazi wa uzinduzi wa bunge la 11 mjini Dodoma.
Waziri wa Habari,...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-58EX4tY5Jlw/VmnVv82pwiI/AAAAAAAILjI/MatSrufblOU/s72-c/f4MvYqr5ma8Tbw5UcP7hqvBQKZz8xWdLPz2emqNkwAQ%252CIL-D6Ila1EVBVHdSUtlIzGZYpf9-1808Oy9dYc4C5wI.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Afungua Mdahalo katika Maadhimisho ya Siku ya Maadili Chuo Kikuu cha Dar es salaam leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-58EX4tY5Jlw/VmnVv82pwiI/AAAAAAAILjI/MatSrufblOU/s640/f4MvYqr5ma8Tbw5UcP7hqvBQKZz8xWdLPz2emqNkwAQ%252CIL-D6Ila1EVBVHdSUtlIzGZYpf9-1808Oy9dYc4C5wI.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza na wageni waalikwa leo katika Ukumbi wa Nkrumah Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (ambao hawapo katika picha) jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa Mdahalo katika kuadhimisha Siku ya Maadili
![](http://3.bp.blogspot.com/-SmUyRSPpGkQ/VmnWqvwZm8I/AAAAAAAILjc/3APWi-zq52g/s640/5SwFIA0NFHChcXGDCesCMxBw2tfMeniS3DCcoPfFYO8%252CCxcYTX16QvdYEtsDNL3_O3IihOb9iNBKtpnNOOGtCh0.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fX0YuCCBf4I/VmnV5Wxn_EI/AAAAAAAILjM/L_z4Q3zWPB0/s640/OAAx2ixrI5_E8yqtOgjfZxNV3OrOwELVYYJKbLTEllc%252CXj13SIzXIAPprRHwTw8Dk6i34RM0vyycY2xiHrLACIM.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://img.youtube.com/vi/s5pXERiKVAU/default.jpg)
11 years ago
Dewji Blog25 Jul
Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA) Imeandaa Kongamano la kujadili mchakato wa kupata Katiba mpya
Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA), Imeandaa Kongamano la kujadili mchakato wa kupata Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kongamano hilo litafanyika tarehe 27 Julai 2014 siku ya Jumapili kuanzia saa 8 mchana ndani ya ukumbi wa Nkrumah wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kongamano hilo litarushwa moja kwa moja na kituo cha televisheni cha Star TV
Mada kuu ya kongamano hilo ni, “Tujadili na Kutafakari Mchakato wa Katiba Mpya kwa Manufaa ya Taifa Letu”.
Watoa Mada katika...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VorldjKjfXE/Vdc6U3Y99zI/AAAAAAAHy6c/rh8bE6xAHRc/s72-c/P1.png)
Dkt. Pindi Chana mgeni rasmi katika mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-VorldjKjfXE/Vdc6U3Y99zI/AAAAAAAHy6c/rh8bE6xAHRc/s640/P1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ajFaiMIeGWM/Vdc6VMkgbNI/AAAAAAAHy6o/J0pifgF4Skc/s640/P2.png)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JC9c7PO_bYc/Uw9nHaJIubI/AAAAAAAFQFA/IzckwA09UI0/s72-c/k1.jpg)
RAIS KIKWETE AUNGANA NA JUMUIYA YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA BALOZI KAZAURA
![](http://3.bp.blogspot.com/-JC9c7PO_bYc/Uw9nHaJIubI/AAAAAAAFQFA/IzckwA09UI0/s1600/k1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SrHbP3saFd4/Uw9nH6y5ITI/AAAAAAAFQFI/dwWSfJHpkBE/s1600/k2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HR4ff-k_juM/VBXdwOXcByI/AAAAAAAGjj0/1_v1NPyoidY/s72-c/ss1.jpg)
RAIS KIKWETE APOKEA UJUMBE TOKA KWA RAIS WA SUDANI YA KUSINI MHE SALVAR KIIR JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-HR4ff-k_juM/VBXdwOXcByI/AAAAAAAGjj0/1_v1NPyoidY/s1600/ss1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TaFF4gDtZlE/VBXdwtYQS7I/AAAAAAAGjj4/I2biopicjK0/s1600/ss2.jpg)
10 years ago
Michuzi07 Oct
RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA VIONGOZI WA DINI JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/YG9fpfre7216gfR8hl0brElWGclL8yTFjfPWKU1aZu5I1K8p00_6FqUhKgg7P_m_j35dmOFCOrSUdoa4Ha_l3oe9hJpXOvM9E4QmohLH33_NfJqBcLHe8s38kOgMZNGmmCZQaLdEkgLcF9-TW7oi47XICBlHs2R3wuNNjHd0iLQm1Ng5yCkA2Hld_LeJxCeHxbSHoLX2-IRj0LwMV0hNcvv0x2QWNibWCZ_1Vaxk7i98uQIbPfGpr6118Np2N2ckBK5DNbn0Yx11-rEMbPKcztich_3hJtYZDd1shE3nb7ernyHW84y_eo2ArrP_elEcj3smxJOQJM6pjg=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-9JzHE6Ihk94%2FVDMbBo2yUbI%2FAAAAAAAGoZw%2FZ0uIueYh9QE%2Fs1600%2Fd5.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua Mkutano wa viongozi wa dini kubwa za Kikiristo na Kiislam nchini kwa lengo la kujenga na kuleta amani na maelewano nchini katika hoteli ya White Sands jijini Dar es salaam. Mkutano huo wa siku nne ulioanza jana unajulikana kama Tanzania Christian & Muslim Religious Leaders’ Initiative for Peace and Co-existence.
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/IFeaqVtMWq29dR-nNK2uqdW-eYauBH2gBMGe4SJoA-SUsA4jOawCJLgvYYMDQM_MnJ-L6tRlJ4Npd_96q9CO3BnGNHahCJM8HtKpjJ2xT22BCodDrjR9dY5GpD5UPEOGGNstSEbyyzj-Vwz91i33nesLrFloM0AfAN1q2193UzfzSqq48XZ1NmFFK2JbiPM6vIRlsbWsjbAJgfkCCZl-Ipqj1kgFbpyHcWTu2Eydfb7sN7I7maxr2GxyXj3stKonEIQqMBFQLbBQFgmhW6kOycsvMZRMGOb57JpaoBqPauMglbCr4t-ReCANkvWlTAyNX2pAi_O1G4CE3A=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-ptchrLZ1pOg%2FVDMcKGLqAfI%2FAAAAAAAGoaY%2FzF-KLNPRJ7U%2Fs1600%2Fd7.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua Mkutano wa viongozi wa dini kubwa za Kikiristo na Kiislam nchini kwa lengo la kujenga na kuleta...
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Rais Kikwete afungua kituo cha Michezo Kidogo Chekundu jijini Dar es Salaam
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa Ufunguzi wa Kituo cha michezo cha Jakaya M.Kikwete Youth park huko Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amembeba mtoto wakati wa Sherehe za ufunguzi wa kituo cha michezo cha Jakaya M.Kikwete Youth park huko kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi kituo cha michezo cha Jakaya M.Kikwete Youth park huko Kidongo Chekundu jijini Dar...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNTnTkMYYckHuAViA7Yj8gZWKnulViCalonUMsWqDiby0VLPrtYnawVvuRHfgn7-IDhFZ7gJ5nr8GPsU*pueBEbs/jk2.jpg)
RAIS KIKWETE ATOA MHADHARA KATIKA CHUO CHA ULINZI JIJINI DAR ES SALAAM