Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katibu Mkuu Kiongozi Afungua Mdahalo katika Maadhimisho ya Siku ya Maadili Chuo Kikuu cha Dar es salaam leo


 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza na wageni waalikwa leo katika Ukumbi wa Nkrumah Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (ambao hawapo katika picha) jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa  Mdahalo katika kuadhimisha Siku ya MaadiliBaadhi ya wageni waalikwa katika Mdahalo wa Maadhimisho ya Siku ya Maadili wakifuatilia hotuba ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue alipokuwa akifungua mdahalo huo leo jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Roundtable Bw.Ali Mufuruki...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu Kiongozi afungua Mdahalo katika Maadhimisho ya Siku ya Maadili

PIX 3 (2)

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza na wageni waalikwa jana katika Ukumbi wa Nkrumah Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (ambao hawapo katika picha) jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa Mdahalo katika kuadhimisha Siku ya Maadili.

PIX 5 (4)

Mkurugenzi Mtendaji wa Roundtable Bw.Ali Mufuruki akizungumza na wageni waalikwa (ambao hapo katika picha) wakati wa ufunguzi wa  Mdahalo katika Madhimisho ya Siku ya Maadili jana jijini Dar es Salaam.

PIX 4 (2)

Baadhi ya wageni waalikwa katika Mdahalo wa...

 

9 years ago

CCM Blog

MHE. NAPE AFUNGUA MDAHALO WA KUJADILI HOTUBA YA RAIS CHUO KIKUU JIJINI DAR ES SALAAM

 Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam pamoja na wageni waalikwa wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya Mdahalo wa kuijadili hotuba ya Rais aliyoitoa siku ya ufunguzi wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mdahalo ulioandaliwa na TAHLISO wenye lengo la kujadili hotuba ya Mheshimiwa Rais Dk. John Pombe Magufuri aliyoitoa wakazi wa uzinduzi wa bunge la 11 mjini Dodoma.
 Waziri wa Habari,...

 

9 years ago

Vijimambo

KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA TAKWIMU DAR ES SALAAM LEO

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (kushoto), akihutubia wakati akifungua mkutano wa wadau wa takwimu Dar es Salaam leo asubuhi. Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Profesa Adolph Mkenda na Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dk.Albina Chuwa. Mkutano huo uliandaliwa na NBS.Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dk.Albina Chuwa akihutubia kwenye mkutano huo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Profesa Adolph Mkenda  akizungumza katika mkutano huo.
Mwakilishi wa...

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA TAKWIMU DAR ES SALAAM

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (kushoto), akihutubia wakati akifungua mkutano wa wadau wa takwimu Dar es Salaam leo asubuhi. Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Profesa Adolph Mkenda na Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dk.Albina Chuwa. Mkutano huo uliandaliwa na NBS.Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dk.Albina Chuwa akihutubia kwenye mkutano huo.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Profesa Adolph Mkenda  akizungumza katika mkutano huo.


Mwakilishi wa...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU KIONGOZI AKUTANA NA NCHI WASHIRIKA WA MAENDELEO JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wa saba kutoka kushoto) akiwa katika mazungumzo na mabalozi na wawakilishi wan chi washirika wa maendeleo katika mkutano aliowaandalia leo Mei 30, 2014 katika hoteli ya Hyatt Kilimanjaro hotel jijini Dar es salaam kuzungumzia michango katika Kapu la Afya (Health Basket Fund) pamoja na mpango wa serikali wa kuiingiza sekta ya afya katika kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN). Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akibadilishana...

 

9 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu Kiongozi awaasa watanzania kuzingatia Maadili katika Utumishi

Na Jacquiline Mrisho -MAELEZO
Watanzania wameaswa kuzingatia Maadili ya Kitaifa ambayo ni kiini cha kuboresha na kusimamia maadili ya viongozi, watumishi wa Umma na watu wanaojishughulisha na sekta binafsi nchini ili kuendelea kuimarisha utendaji kazi na kupambana na uovu katika jamii.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es salaam na Mhe. Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika maadhimisho hayo ambapo alisema kuwa maadili ya Taifa ni moja ya tunu muhimu...

 

9 years ago

Michuzi

Dkt. Pindi Chana mgeni rasmi katika mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es salaam

Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Dkt. Pindi H. Chana (Mb) akihutubia wasichana waliohitimu mafunzo ya ujasiriamali, mawasiliano, na ususi wa nywele kwenye mahafali ya yaliyofanyika katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es salaam tarehe 20/08/2015. Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Dkt. Pindi H. Chana (Mb)akimpongeza Bi. Jane Malyi kiongozi wa wahitimu wa mafunzo ya ujasiriamali na urembo mara baada ya kutoa neno...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani