Katibu Mkuu Kiongozi awaasa watanzania kuzingatia Maadili katika Utumishi
![](http://1.bp.blogspot.com/-TiWw7YbgAe4/VmnamAOXIzI/AAAAAAAILjs/c1FcayDh9yE/s72-c/0D6A2900.jpg)
Na Jacquiline Mrisho -MAELEZO
Watanzania wameaswa kuzingatia Maadili ya Kitaifa ambayo ni kiini cha kuboresha na kusimamia maadili ya viongozi, watumishi wa Umma na watu wanaojishughulisha na sekta binafsi nchini ili kuendelea kuimarisha utendaji kazi na kupambana na uovu katika jamii.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es salaam na Mhe. Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika maadhimisho hayo ambapo alisema kuwa maadili ya Taifa ni moja ya tunu muhimu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Katibu Mkuu Kiongozi afungua Mdahalo katika Maadhimisho ya Siku ya Maadili
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza na wageni waalikwa jana katika Ukumbi wa Nkrumah Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (ambao hawapo katika picha) jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa Mdahalo katika kuadhimisha Siku ya Maadili.
Mkurugenzi Mtendaji wa Roundtable Bw.Ali Mufuruki akizungumza na wageni waalikwa (ambao hapo katika picha) wakati wa ufunguzi wa Mdahalo katika Madhimisho ya Siku ya Maadili jana jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wageni waalikwa katika Mdahalo wa...
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU KIONGOZI, BALOZI OMBENI SEFUE ATEMBELEA BANDA LA 'NHIF' KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA LEO
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-58EX4tY5Jlw/VmnVv82pwiI/AAAAAAAILjI/MatSrufblOU/s72-c/f4MvYqr5ma8Tbw5UcP7hqvBQKZz8xWdLPz2emqNkwAQ%252CIL-D6Ila1EVBVHdSUtlIzGZYpf9-1808Oy9dYc4C5wI.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Afungua Mdahalo katika Maadhimisho ya Siku ya Maadili Chuo Kikuu cha Dar es salaam leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-58EX4tY5Jlw/VmnVv82pwiI/AAAAAAAILjI/MatSrufblOU/s640/f4MvYqr5ma8Tbw5UcP7hqvBQKZz8xWdLPz2emqNkwAQ%252CIL-D6Ila1EVBVHdSUtlIzGZYpf9-1808Oy9dYc4C5wI.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza na wageni waalikwa leo katika Ukumbi wa Nkrumah Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (ambao hawapo katika picha) jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa Mdahalo katika kuadhimisha Siku ya Maadili
![](http://3.bp.blogspot.com/-SmUyRSPpGkQ/VmnWqvwZm8I/AAAAAAAILjc/3APWi-zq52g/s640/5SwFIA0NFHChcXGDCesCMxBw2tfMeniS3DCcoPfFYO8%252CCxcYTX16QvdYEtsDNL3_O3IihOb9iNBKtpnNOOGtCh0.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fX0YuCCBf4I/VmnV5Wxn_EI/AAAAAAAILjM/L_z4Q3zWPB0/s640/OAAx2ixrI5_E8yqtOgjfZxNV3OrOwELVYYJKbLTEllc%252CXj13SIzXIAPprRHwTw8Dk6i34RM0vyycY2xiHrLACIM.jpg)
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU KIONGOZI ATEMBELEA BANDA LA MAMBO YA NJE KWENYE WIKI YA UTUMISHI WA UMMA
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AKIFUNGUA KONGAMANO LA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA LEO JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AMTUNUKU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI, MBARAK ABDULWAKIL NISHANI YA UTUMISHI MREFU NA MAADILI MEMA DARAJA LA (I)
10 years ago
VijimamboWAKUU WA IDARA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAMPA ZAWADI KATIBU MKUU WAO BAADA YA KUTUNIKIWA NISHANI YA UTUMISHI MREFU NA MAADILI MEMA DARAJA LA (I)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-duns1XOpzHQ/VRT7Wzg9VaI/AAAAAAAHNjY/KXHNAWrPKfA/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
KATIBU MKUU UTUMISHI GEORGE YAMBESI ASTAAFU UTUMISHI WA UMMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-duns1XOpzHQ/VRT7Wzg9VaI/AAAAAAAHNjY/KXHNAWrPKfA/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SxNA-brbblY/VRT7WxYebMI/AAAAAAAHNjc/fQVdKoy45cY/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YAKE KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA