KUWASEMA VIBAYA NEYERE NA KARUME NI UTOVU WA NIDHAMU NA UKOSEFU WA ADABU - JK
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili10 Apr
Utovu wa nidhamu wamponza Mourinho
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Mourinho ashtakiwa utovu wa nidhamu
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Ni ukosefu wa adabu kuwatukana waasisi wa Tanzania — JK
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu kuwa baadhi ya Watanzania kuwatukana, kuwadhihaki na kuwakejeli Waanzilishi wa Taifa la Tanzania, Hayati Julius Nyerere na Hayati Sheikh Abeid Amaan Karume.
Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa viongozi hao wawili wameifanyia Tanzania mambo mengi, mambo makubwa na mambo ya kihistoria kiasi cha kwamba Watanzania wanao wajibu wa kudumisha na kuenzi heshima yao kwa namna...
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
TFF yaadhibu kwa utovu wa nidhamu
9 years ago
BBCSwahili31 Oct
UN yawafutwa kazi 5 kwa utovu wa nidhamu
10 years ago
BBCSwahili05 Feb
TFF yaadhibu tisa kwa utovu wa nidhamu
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Kikwete: Ni utovu wa nidhamu kuwatukana waasisi wa Taifa
10 years ago
Dewji Blog30 Oct
Wachezaji Simba wasimamishwa kwa utovu wa nidhamu
Na Mwandishi wetu
Wakati benchi la Ufundi la klabu ya Simba likipewa mechi mbili kubadilisha matokeo ya timu hiyo, wachezaji ambao wamesimamishwa kwa tuhuma za kuhujumu timu na ukosefu wa nidhamu, wanatarajia kukutana na Kamati ya Nidhamu ya klabu hiyo kesho.
Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Simba, Stephen Ally, alisema kuwa katika kikao cha Kamati ya Utendaji kilichofanyika juzi, kimeafiki kwamba benchi hilo katika mechi hizo mbili timu inatakiwa ishinde na kucheza...
9 years ago
Bongo506 Oct
Jose Mourinho ashtakiwa kwa utovu wa nidhamu na FA