Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUWASEMA VIBAYA NEYERE NA KARUME NI UTOVU WA NIDHAMU NA UKOSEFU WA ADABU - JK

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Utovu wa nidhamu wamponza Mourinho

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho ametozwa faini ya £8,000 kwa kosa la utovu wa nidhamu

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho ashtakiwa utovu wa nidhamu

Mourinho amefunguliwa mashtaka ya utovu wa nidhamu na FA kwa sababu ya lugha aliyoitumia wakati wa mechi ambayo Chelsea walishindwa na West Ham.

 

11 years ago

Dewji Blog

Ni ukosefu wa adabu kuwatukana waasisi wa Tanzania — JK

Untitled

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu kuwa baadhi ya Watanzania kuwatukana, kuwadhihaki na kuwakejeli Waanzilishi wa Taifa la Tanzania, Hayati Julius Nyerere na Hayati Sheikh Abeid Amaan Karume.

Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa viongozi hao wawili wameifanyia Tanzania mambo mengi, mambo makubwa na mambo ya kihistoria kiasi cha kwamba Watanzania wanao wajibu wa kudumisha na kuenzi heshima yao kwa namna...

 

10 years ago

BBCSwahili

TFF yaadhibu kwa utovu wa nidhamu

Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) limetoa adhabu kwa vilabu, kocha na mchezaji kwa utovu wa nidhamu .

 

9 years ago

BBCSwahili

UN yawafutwa kazi 5 kwa utovu wa nidhamu

Wafanyikazi 4 wa umoja wa mataifa wamefutwa kazi baada ya kutizama filamu ya ngono kwenye mtandao wa intanet wa shirika hilo

 

10 years ago

BBCSwahili

TFF yaadhibu tisa kwa utovu wa nidhamu

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limetoa adhabu kwa watu tisa kwa kupatikana na hatia ya makosa ya kinidhamu.

 

11 years ago

Mwananchi

Kikwete: Ni utovu wa nidhamu kuwatukana waasisi wa Taifa

Rais Jakaya Kikwete amesema ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu unaoonyeshwa na baadhi ya Watanzania kuwatukana, kuwadhihaki na kuwakejeli waanzilishi wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wachezaji Simba wasimamishwa kwa utovu wa nidhamu

SIMBA KIKOSI CASILLASI

Na Mwandishi wetu

Wakati benchi la Ufundi la klabu ya Simba likipewa mechi mbili kubadilisha matokeo ya timu hiyo, wachezaji ambao wamesimamishwa kwa tuhuma za kuhujumu timu na ukosefu wa nidhamu, wanatarajia kukutana na Kamati ya Nidhamu ya klabu hiyo kesho.

Hayo yamesemwa  jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Simba, Stephen Ally, alisema kuwa katika kikao cha Kamati ya Utendaji kilichofanyika juzi, kimeafiki kwamba benchi hilo katika mechi hizo mbili timu inatakiwa ishinde na kucheza...

 

9 years ago

Bongo5

Jose Mourinho ashtakiwa kwa utovu wa nidhamu na FA

Chama cha soka nchini Uingereza FA kimemshtaki meneja wa Chelsea Jose Mourinho kutokana na utovu wa nidhamu baada ya matamshi yake juu ya maafisa wa soka wa FA kuhusika kwenye kichapo cha goli 3-1 dhidi ya Southampton siku ya Jumamosi. FA imedai kuwa maoni hayo yalikuwa yakijaribu kuashiria kwamba kulikua na upendeleo kwa upande fulani. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani