Ni ukosefu wa adabu kuwatukana waasisi wa Tanzania — JK
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu kuwa baadhi ya Watanzania kuwatukana, kuwadhihaki na kuwakejeli Waanzilishi wa Taifa la Tanzania, Hayati Julius Nyerere na Hayati Sheikh Abeid Amaan Karume.
Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa viongozi hao wawili wameifanyia Tanzania mambo mengi, mambo makubwa na mambo ya kihistoria kiasi cha kwamba Watanzania wanao wajibu wa kudumisha na kuenzi heshima yao kwa namna...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Kikwete: Ni utovu wa nidhamu kuwatukana waasisi wa Taifa
11 years ago
Michuzi18 Apr
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-haE6RIzUbNc/U1TZ6lpKtFI/AAAAAAAFcHs/BKCOHl7FTnk/s72-c/New+Picture+(11).png)
SHIRIKISHO LA MCHEZO WA BAO TANZANIA LA LAANI VIKALI WANASIASA WANAO WAKASHFU WAASISI WA MUUNGANO
Shirikisho la Mchezo wa Bao Tanzania limelaani vikali wanasiasa wanao simama na kutoa maneno ya kejeli zidi ya waasisi wa Muungano wa Tanzania Bara na Visiwani kwani huko ni kutokuwa na maadili yenye sura alisi ya Utanzania.
Hayo yamesemwa na Raisi wa shirikisho hilo Bw Monday Likwepa kwenye Mashindano ya Mchezo maalum wa Bao wa Maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania Bara na Visiwani yanayo fanyika Makumbusho na Nyumba ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mWfaKhL_V2s/VTJt_iQl5dI/AAAAAAAHR24/eptj5VPLntk/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
TANZANIA KUPAMBANA NA UKOSEFU WA LISHE BORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mWfaKhL_V2s/VTJt_iQl5dI/AAAAAAAHR24/eptj5VPLntk/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vBcByvUqtFk/VTJt_h9WKyI/AAAAAAAHR20/nJufAzFkmLE/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8EYXrZmMHGU/VTJt_9XEXyI/AAAAAAAHR2w/T63CT4VR8ro/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Ukosefu wa dawa kuathiri afya Tanzania
9 years ago
StarTV12 Nov
 Tanzania yatishiwa na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa ukosefu wa bajeti.
Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazoendelea duniani inayokabiliwa na athari kubwa zinazosababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa duniani, huku ikiwa haina bajeti mahususi ya kukabiliana na tishio hilo, hatua inayopelekea athari zake sasa kuanza kuonekana dhahiri.
Pamoja na kuwepo kwa fungu dogo la fedha zinazotolewa na Serikali za kukabiliana na athari hizo, bado kuna tatizo la mfumo duni wa ufuatiliaji, hali inayowafaya wadau kuitaka Serikali kulitazama upya suala hilo la bajeti.
Madhara...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DS3fBDgklopdOX8udY0pK0mgOHwZDajuBP9jcEda9PlOtall1vjCT7bYh99Yx499I0brzRDqHv3-BQUPMz42oJzDIwQNUu9D/jacobstevenjb.jpg)
JB: JESHI LILINITIA ADABU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXTywF4ka0f1kAhAY1Sd3IAP1dw*EbO*x7KQmGwuQ9qy9r-n1eDZr84RuzO3M1v6HuR52qsFvwh7nRazDaa60LRT/njembacopy.jpg?width=650)
NJEMBA ASHIKISHWA ADABU!
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
Heshima na adabu ya lugha ya Kiswahili