Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NJEMBA ASHIKISHWA ADABU!

Gabriel Ng’osha Shika adabu yako! Njemba mmoja ambaye jina halikufahamika ameshikishwa adabu na wananchi wenye hasira kali baada ya kutembezewa kichapo ‘hevi’ alipokwapua simu ya abiria mwenzake. Kijana huyo aliyedaiwa kuwa kibaka akiwa chini ya ulinzi. Ishu hiyo ilijiri wikiendi iliyopita maeneo ya Mtaa wa Kongo-Kariakoo jijini Dar ndani ya basi la UDA ambapo kijana huyo alidaiwa kukwapua simu hiyo.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JB: JESHI LILINITIA ADABU!

Staa wa Bongo Movie, Jacob Steven Mbura ‘JB’. JACOB Steven Mbura ‘JB’ anaendelea kusimulia historia ya maisha yake tangu utotoni hadi sasa. Ni simulizi ndefu na tamu isiyochosha kwa vimbwanga na kila aina ya mikasa ya kusisimua na kustaajabisha. Uhondo huu ulianza wiki mbili zilizopita. Kwa wale waliokosa kwa bahati mbaya, tuliweka nukta kwenye kipengele cha safari yake ya shuleni na malezi ya nyumbani,...

 

11 years ago

GPL

MKOROGO WAMTIA ADABU WEMA

Na Mwandishi Wetu
MISS Tanzania 2006 aliye pia staa wa filamu za Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amevunja ukimya kwa kuweka wazi kuwa, mkorogo umemtia adabu na anajuta kuutumia  mwilini mwake. Wema Sepetu. Akizungumza juzi na paparazi wetu ofisini kwake jijini Dar, Wema alisema  kuwa baada ya kwenda kliniki nchini China na kupata matatibu ya ngozi yake ambayo sasa imerudi kama mwanzo amejifunza kitu. NI...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ajuza amfundisha adabu jambazi

Ajuza mwenye umri wa miaka 80 alimpiga mwizi usoni mwake nchini Uingereza na kumuogopesha kiasi cha kutoroka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Heshima na adabu ya lugha ya Kiswahili

Mbali na kuwa na lafudhi mbalimbali kwa sababu ya kuwa katika mataifa tofauti, kuna heshima na adabu ya lugha ambayo imeingiliwa na tamaduni ya lugha zingine kama vile Kiingereza.

 

10 years ago

Habarileo

TCRA:Tumejizatiti kuwashikisha adabu

MAMLAKA ya Mawasiliano (TCRA) imeendelea kuhadharisha umma dhidi ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii ikisema imejizatiti kwa kuwa na vifaa madhubuti na wataalamu kukabili wimbi la wanaosambaza ujumbe wa uchochezi katika kipindi kuelekea uchaguzi mkuu.

 

11 years ago

Dewji Blog

Ni ukosefu wa adabu kuwatukana waasisi wa Tanzania — JK

Untitled

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu kuwa baadhi ya Watanzania kuwatukana, kuwadhihaki na kuwakejeli Waanzilishi wa Taifa la Tanzania, Hayati Julius Nyerere na Hayati Sheikh Abeid Amaan Karume.

Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa viongozi hao wawili wameifanyia Tanzania mambo mengi, mambo makubwa na mambo ya kihistoria kiasi cha kwamba Watanzania wanao wajibu wa kudumisha na kuenzi heshima yao kwa namna...

 

11 years ago

GPL

KUAMBIANA: KIPIGO KIMEWAPA ADABU WEMA, AUNT

Stori: Imelda Mtema ‘DAIREKTA’ na muigizaji wa filamu Bongo, Adamu Phillip Kuambiana amefunguka kuwa kitendo cha kuwatia makofi waigizaji Wema Spetu na Aunt Ezekiel kilikuwa cha kiungwana sababu amewafundisha. Adamu Phillip Kuambiana. Akipiga stori na paparazi wetu, Kuambiana alisema bila kuwa mkali wakati mwingine mambo huwa hayaendi kwenye uigizaji hivyo anapotembeza kichapo kidogo, mambo yanakwenda katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Maaskofu wasamehe lakini wasiache msimamo wa kuishikisha adabu CCM

Wahenga husema: “Usitukane wakunga na uzazi ungalipo.” Maana yake wewe unaamua kuwatukana wauguzi wanaozalisha hospitalini au vijijini wakati bado unaendelea kubeba mimba. Huko ni kujikaanga kwa mafuta yako.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani