Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maaskofu wasamehe lakini wasiache msimamo wa kuishikisha adabu CCM

Wahenga husema: “Usitukane wakunga na uzazi ungalipo.” Maana yake wewe unaamua kuwatukana wauguzi wanaozalisha hospitalini au vijijini wakati bado unaendelea kubeba mimba. Huko ni kujikaanga kwa mafuta yako.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MBOWE:TUTAHAKIKISHA KILA MWANANCHI AMEJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA LAKINI KWA UPANDE WA KATIBA MSIMAMO WETU KAMA UKAWA UKO PALE PALE WA KUTOSHIRIKI

Mwenyekiti wa Chadema Freman Mbowe akiwa anasoma utuba wakati wa ufunguzi wa mkutano wa viongozi wa chama hicho wa kanda ya kaskazini unaofanyika leo katika hotel ya new Arusha jijini hapa.viongizo wa chadema akiwemo mwenyekiti wakiwa wanasali kwanza kabla mkutano wa viongozi wa kanda ya kaskazini kuanza.Naibu katibu mkuu wa Chadema Salum Mwalimu akiwa anaongea nawaandishi wahabari
MWENYEKITI wa chama cha demokrasi na maendeleo Chadema Freeman Mbowe amesema kuwa chama chao kimejipanga...

 

10 years ago

Michuzi

MBOWE:TUTAAKIKISHA KILA MWANANCHI AMEJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA LAKINI KWA UPANDE WA KATIBA MSIMAMO WETU KAMA UKAWA UKO PALE PALE WA KUTOSHIRIKI

Mwenyekiti wa Chadema Freman Mbowe akiwa anasoma utuba wakati wa ufunguzi wa mkutano wa viongozi wa  chama hicho wa kanda ya kaskazini unaofanyika leo katika  hotel ya new Arusha jijini hapaviongizo wa chadema  akiwemo mwenyekiti wakiwa wanasali kwanza kabla ya mkutano wa viongozi wa kanda ya kaskazini kuanza Naibu katibu mkuu wa Chadema Salum Mwalimu akiwa anaongea na waandishi wa habari Na Woinde Shizza
MWENYEKITI wa chama cha demokrasi na maendeleo Chadema Freeman Mbowe amesema kuwa  chama...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Msimamo mzito Kamati Kuu CCM



Bunge la Katiba mbele kwa mbele, mchakato safiCC yawaengua mawaziri safari za JK nje ya nchiYatoa maagizo mazito kwa mawaziri na wabunge
Na Happiness Mtweve, Dodoma
KAMATI Kuu ya CCM, imewaagiza mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wasiohudhuria vikao vya Bunge Maalumu la Katiba, kuhudhuria mara moja.
Imesema mchango wa mawaziri na wabunge katika Bunge hilo ni muhimu ili kuhakikisha Katiba bora ya wananchi na yenye maoni ya wengi inapatikana.
Kutokana na hilo, imetangaza kupunguza idadi ya...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

CCM Kibaha yaweka hadharani msimamo


NA MWANDISHI WETU
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kibaha Mjini, kimesema wanachama wake watakaoongoza kura za maoni pasipo mizengwe, watateuliwa kuwania uongozi katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa.
Kimesema kitakabiliana na wagombea wote wasiokubali kushindwa, ambao mara nyingi wamekuwa chanzo cha kuendeleza makundi na kuleta matatizo kwenye uchaguzi.
Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Abdallah Mdimu, alisema hayo juzi kwa wenyeviti wa serikali za mitaa na madiwani alipokuwa akifunga...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge CCM atangaza mapema msimamo

Mbunge wa Viti Maalumu, Dk Prudenciana Kikwembe (CCM), ametangaza kufa na tai shingoni akiunga mkono msimamo wa Serikali mbili kwa maelezo kuwa ndilo suluhisho la migogoro ya wanyonge Tanzania.

 

10 years ago

Habarileo

Katibu mpya wa CCM Arusha aweka msimamo

KATIBU mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Alphonce Kinamhala ameingia ofisini kuanza kwa kazi kwa kukataa majungu.

 

9 years ago

Vijimambo

DKT MAGUFULI APEWA MSIMAMO NA WENYEVITI WA CCM MIKOANI.

Chama cha mapinduzi CCM kupitia wenyeviti wa mikoa wa chama hicho, wameapa kukipigania chama hicho hadi hatua ya mwisho na kuwa hakuna chama mbadala cha kutatua matatizo ya wananchi zaidi ya CCM kwa kuwa vyama vingi vya kisiasa hapa nchini viko kwa ajili ya maslahi ya viongozi huku wananchi wakitakiwa kutafakari na kuwachambua wagombea ili kufahamu azma yao ya kusaka madaraka na kutofautisha wale wenye maslahi binafsi na wale wenye nia ya kuleta maendeleo nchini.Mwenyekiti wa wenyeviti wa...

 

10 years ago

Mwananchi

John Komba Mpiga debe wa CCM aliyekuwa na msimamo

>Huwezi kumzungumzia John Damiano Komba kwa kirefu bila ya kutaja kikundi cha uhamasishaji cha CCM cha Tanzania One Theatre (TOT), msimamo wake na tuhuma ambazo zimekuwa zikimuandama katika siku za karibuni, hasa kwenye mitandao ya kijamii.

 

11 years ago

Mwananchi

Tendwa: Kikwete ameteleza kusemea msimamo wa CCM bungeni

>Aliyekuwa msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa amesema Rais Jakaya Kikwete aliteleza kueleza msimamo wake na ambao baadaye ulibainika kuwa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati akizindua Bunge Maalumu la Katiba, Machi 21.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani