Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge CCM atangaza mapema msimamo

Mbunge wa Viti Maalumu, Dk Prudenciana Kikwembe (CCM), ametangaza kufa na tai shingoni akiunga mkono msimamo wa Serikali mbili kwa maelezo kuwa ndilo suluhisho la migogoro ya wanyonge Tanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MBUNGE LATIFA CHANDE WA CHADEMA ATANGAZA KUHAMIA CCM

Mbunge wa Viti Maalum  kupitia CHADEMA, Latifa Chande akitamka bungeni kukihama chama hicho kwa kusema anarejea nyumbani CCM Juni 15, 2020. Kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Grace Kiwelu na kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Risala Kabongo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Mbunge wa Viti Maalum  kupitia CHADEMA, Latifa Chande akitamka...

 

10 years ago

StarTV

Mbunge wa Nyang’hwale atangaza kutogombea.

Na Wilson Elisha,

Nyang’hwale.

 

Kutovunjwa kwa makambi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika chaguzi mbalimbali nchini ni moja ya sababu zinazochangia kurudisha nyuma maendeleo yanayokusudiwa kufanyika.

 

Hali hii imemlazimu Mbunge wa Jimbo la Nyang’hwale mkoani Geita Mheshimiwa Hussein Kasu kutangaza rasmi kutogombea nafsi hiyo katika uchaguzi mkuu ujao na kutaka juhudi za makusudi zifanyike kuondaa makambi vinginevyo yataendelea kukitafuna chama hicho.

 

Kauli ya mbunge wa Jimbo la...

 

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE CHADEMA ATANGAZA KUHAMIA NCCRA MAGEUZI


Mbunge wa Jimbo la Rombo, Joseph Selasini, leo Aprili 28, 2020 ametangaza rasmi kukihama Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kujiunga na chama cha NCCR-Mageuzi baada ya kumalizika kwa vikao vya  Bunge.


Jana, Selasini alidai kutengwa na wabunge wenzake wa chama chake cha CHADEMA ikiwemo  kuondolewa bila kupewa taarifa kwenye 'Group la WhatsApp' la Wabunge wa chama hicho  ambalo pia yumo Mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE CHADEMA ANG'ATUKA, ATANGAZA KUTOGOMBEA TENA

Charles James, Michuzi TVMBUNGE jimbo la Bukoba Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfried Lwakatare ang'atuka na kutoa kauli ya kutogombea tena katika Uchaguzi hapa nchini.
Mbunge huyo ametangaza kauli hiyo leo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya makadirio ya mapato ya Wizara ya Tamisemi ambapo amewatakia kila heri wabunge wengine.
Tofauti na Komu, Lwakatare yeye hajatangaza kuhamia chama chochote badala yake amesema hatogombea tena katika uchaguzi Mkuu...

 

11 years ago

Mwananchi

FALSAFA MBADALA: Waelimike mapema badala ya kuzaa mapema

Mimba kwa wasichana wadogo ni miongoni mwa sababu zinazowakatisha masomo wasichana wengi hapa Tanzania.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Msimamo mzito Kamati Kuu CCM



Bunge la Katiba mbele kwa mbele, mchakato safiCC yawaengua mawaziri safari za JK nje ya nchiYatoa maagizo mazito kwa mawaziri na wabunge
Na Happiness Mtweve, Dodoma
KAMATI Kuu ya CCM, imewaagiza mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wasiohudhuria vikao vya Bunge Maalumu la Katiba, kuhudhuria mara moja.
Imesema mchango wa mawaziri na wabunge katika Bunge hilo ni muhimu ili kuhakikisha Katiba bora ya wananchi na yenye maoni ya wengi inapatikana.
Kutokana na hilo, imetangaza kupunguza idadi ya...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

CCM Kibaha yaweka hadharani msimamo


NA MWANDISHI WETU
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kibaha Mjini, kimesema wanachama wake watakaoongoza kura za maoni pasipo mizengwe, watateuliwa kuwania uongozi katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa.
Kimesema kitakabiliana na wagombea wote wasiokubali kushindwa, ambao mara nyingi wamekuwa chanzo cha kuendeleza makundi na kuleta matatizo kwenye uchaguzi.
Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Abdallah Mdimu, alisema hayo juzi kwa wenyeviti wa serikali za mitaa na madiwani alipokuwa akifunga...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kumbe CCM ilipanga mapema kuhujumu BMK!

OKTOBA 8 mwaka huu, baada ya kukabidhiwa Katiba mpya inayopendekezwa na Bunge Maalum la Katiba (BMK) kutoka kwa Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta, Rais Jakaya Kikwete alifichua siri ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani