Mbunge CCM atangaza mapema msimamo
Mbunge wa Viti Maalumu, Dk Prudenciana Kikwembe (CCM), ametangaza kufa na tai shingoni akiunga mkono msimamo wa Serikali mbili kwa maelezo kuwa ndilo suluhisho la migogoro ya wanyonge Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kEOmwtgnu-M/XufY4XJnKCI/AAAAAAALt8A/800oS3ii98kghfsYcuhfLAPDL-yxL4LqACLcBGAsYHQ/s72-c/1336486e-8cc2-4124-bdc9-e1d767411e3b.jpg)
MBUNGE LATIFA CHANDE WA CHADEMA ATANGAZA KUHAMIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-kEOmwtgnu-M/XufY4XJnKCI/AAAAAAALt8A/800oS3ii98kghfsYcuhfLAPDL-yxL4LqACLcBGAsYHQ/s1600/1336486e-8cc2-4124-bdc9-e1d767411e3b.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9YrsKDbyY0o/XufYSW08aPI/AAAAAAALt70/NF23GeHCmQ8D3CTN6A4GUJ9qUWk9mHOMQCLcBGAsYHQ/s1600/1336486e-8cc2-4124-bdc9-e1d767411e3b.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/b226a35d-3258-48ad-a982-03a93b02e9d5.jpg)
10 years ago
StarTV03 Feb
Mbunge wa Nyang’hwale atangaza kutogombea.
Na Wilson Elisha,
Nyang’hwale.
Kutovunjwa kwa makambi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika chaguzi mbalimbali nchini ni moja ya sababu zinazochangia kurudisha nyuma maendeleo yanayokusudiwa kufanyika.
Hali hii imemlazimu Mbunge wa Jimbo la Nyang’hwale mkoani Geita Mheshimiwa Hussein Kasu kutangaza rasmi kutogombea nafsi hiyo katika uchaguzi mkuu ujao na kutaka juhudi za makusudi zifanyike kuondaa makambi vinginevyo yataendelea kukitafuna chama hicho.
Kauli ya mbunge wa Jimbo la...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--TxPMkL3dxQ/Xqf5TPT-6RI/AAAAAAAC4Hg/wZTegmj-CkgD5zP8HImDvka8h44o53HoACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MBUNGE CHADEMA ATANGAZA KUHAMIA NCCRA MAGEUZI
![](https://1.bp.blogspot.com/--TxPMkL3dxQ/Xqf5TPT-6RI/AAAAAAAC4Hg/wZTegmj-CkgD5zP8HImDvka8h44o53HoACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Rombo, Joseph Selasini, leo Aprili 28, 2020 ametangaza rasmi kukihama Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kujiunga na chama cha NCCR-Mageuzi baada ya kumalizika kwa vikao vya Bunge.
Jana, Selasini alidai kutengwa na wabunge wenzake wa chama chake cha CHADEMA ikiwemo kuondolewa bila kupewa taarifa kwenye 'Group la WhatsApp' la Wabunge wa chama hicho ambalo pia yumo Mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u8u3TSbJ0Sw/XpW6-80Xm6I/AAAAAAALm7I/zF8bWtC-XXYoVEC0P5oxIZCX62TWI1C9QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-14%2Bat%2B4.09.13%2BPM.jpeg)
MBUNGE CHADEMA ANG'ATUKA, ATANGAZA KUTOGOMBEA TENA
![](https://1.bp.blogspot.com/-u8u3TSbJ0Sw/XpW6-80Xm6I/AAAAAAALm7I/zF8bWtC-XXYoVEC0P5oxIZCX62TWI1C9QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-14%2Bat%2B4.09.13%2BPM.jpeg)
Mbunge huyo ametangaza kauli hiyo leo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya makadirio ya mapato ya Wizara ya Tamisemi ambapo amewatakia kila heri wabunge wengine.
Tofauti na Komu, Lwakatare yeye hajatangaza kuhamia chama chochote badala yake amesema hatogombea tena katika uchaguzi Mkuu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-esbi6gGa_9k/XkghNxY0xyI/AAAAAAACHqI/L64D059JACU0vLTA0XLRgQ_Xo1vQHdJTgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200215_194650_953.jpg)
11 years ago
Mwananchi24 Jun
FALSAFA MBADALA: Waelimike mapema badala ya kuzaa mapema
10 years ago
Uhuru Newspaper21 Aug
Msimamo mzito Kamati Kuu CCM
Bunge la Katiba mbele kwa mbele, mchakato safiCC yawaengua mawaziri safari za JK nje ya nchiYatoa maagizo mazito kwa mawaziri na wabunge
Na Happiness Mtweve, Dodoma
KAMATI Kuu ya CCM, imewaagiza mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wasiohudhuria vikao vya Bunge Maalumu la Katiba, kuhudhuria mara moja.
Imesema mchango wa mawaziri na wabunge katika Bunge hilo ni muhimu ili kuhakikisha Katiba bora ya wananchi na yenye maoni ya wengi inapatikana.
Kutokana na hilo, imetangaza kupunguza idadi ya...
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
CCM Kibaha yaweka hadharani msimamo
NA MWANDISHI WETU
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kibaha Mjini, kimesema wanachama wake watakaoongoza kura za maoni pasipo mizengwe, watateuliwa kuwania uongozi katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa.
Kimesema kitakabiliana na wagombea wote wasiokubali kushindwa, ambao mara nyingi wamekuwa chanzo cha kuendeleza makundi na kuleta matatizo kwenye uchaguzi.
Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Abdallah Mdimu, alisema hayo juzi kwa wenyeviti wa serikali za mitaa na madiwani alipokuwa akifunga...
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Kumbe CCM ilipanga mapema kuhujumu BMK!
OKTOBA 8 mwaka huu, baada ya kukabidhiwa Katiba mpya inayopendekezwa na Bunge Maalum la Katiba (BMK) kutoka kwa Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta, Rais Jakaya Kikwete alifichua siri ya...