MBUNGE CHADEMA ATANGAZA KUHAMIA NCCRA MAGEUZI
![](https://1.bp.blogspot.com/--TxPMkL3dxQ/Xqf5TPT-6RI/AAAAAAAC4Hg/wZTegmj-CkgD5zP8HImDvka8h44o53HoACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Rombo, Joseph Selasini, leo Aprili 28, 2020 ametangaza rasmi kukihama Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kujiunga na chama cha NCCR-Mageuzi baada ya kumalizika kwa vikao vya Bunge.
Jana, Selasini alidai kutengwa na wabunge wenzake wa chama chake cha CHADEMA ikiwemo kuondolewa bila kupewa taarifa kwenye 'Group la WhatsApp' la Wabunge wa chama hicho ambalo pia yumo Mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kEOmwtgnu-M/XufY4XJnKCI/AAAAAAALt8A/800oS3ii98kghfsYcuhfLAPDL-yxL4LqACLcBGAsYHQ/s72-c/1336486e-8cc2-4124-bdc9-e1d767411e3b.jpg)
MBUNGE LATIFA CHANDE WA CHADEMA ATANGAZA KUHAMIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-kEOmwtgnu-M/XufY4XJnKCI/AAAAAAALt8A/800oS3ii98kghfsYcuhfLAPDL-yxL4LqACLcBGAsYHQ/s1600/1336486e-8cc2-4124-bdc9-e1d767411e3b.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9YrsKDbyY0o/XufYSW08aPI/AAAAAAALt70/NF23GeHCmQ8D3CTN6A4GUJ9qUWk9mHOMQCLcBGAsYHQ/s1600/1336486e-8cc2-4124-bdc9-e1d767411e3b.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/b226a35d-3258-48ad-a982-03a93b02e9d5.jpg)
5 years ago
MichuziMBUNGE CHADEMA ATANGAZA KUWA KATIKA UCHAGUZI MKUU MWAKA 2020 ATAGOMBEA UBUNGE KWA TIKETI YA NCCR-MAGEUZI...
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
MBUNGE wa Jimbo la Moshi Vijijini Anthony Komu(Chadema) amtengaza rasmi baada ya muda wake wa ubunge kumalizika kwa mujibu wa sheria basi ataachana na Chama hicho na kisha kujiunga na NCCR-Mageuzi ambacho ndicho atatumia kugombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2020.
Mbali na kutangaza msimamo wake wa kuondoka Chadema wakati utakapofika, komu ametumia nafasi hiyo kuelezea hatua kwa hatua mwenendo wake wa kisiasa ndani ya Chadema ambao uaonesha kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O8QviIT6bFk/Vfq_mt0SrhI/AAAAAAAH5lY/TT9TVsj-Dy0/s72-c/IMG-20150917-WA0031.jpg)
BREAKING NEWSSS!!!! UONGOZI WA NCCRA-MAGEUZI WATOFAUTIANA NDANI YA "UKAWA"
![](http://4.bp.blogspot.com/-O8QviIT6bFk/Vfq_mt0SrhI/AAAAAAAH5lY/TT9TVsj-Dy0/s640/IMG-20150917-WA0031.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zifhJL5uS68/VfrE0gJMmlI/AAAAAAAH5lo/oFoilpgm3T0/s640/IMG-20150917-WA0033.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-oWawFESssmo/Xl41M0RUILI/AAAAAAACz9o/PSVbeSo_WFszrfNxsbBienruy0IQEtxZwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA JAMES MBATIA NCCRA MAGEUZI NA PROFESA IBRAHIM LIPUMBA CUF IKULU DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-oWawFESssmo/Xl41M0RUILI/AAAAAAACz9o/PSVbeSo_WFszrfNxsbBienruy0IQEtxZwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9FsEyEZyHGI/Xl41VXrW3zI/AAAAAAACz9w/IDic8dm5eukTX4ptXlTPrYWPeQD-4yIsACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-m7-TxEbYDfo/Xl41Uz4lY-I/AAAAAAACz9s/VzUfNV6Qm7Q5VyB1RlgDMNuEHkKIMbY_QCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O8QviIT6bFk/Vfq_mt0SrhI/AAAAAAAH5lY/TT9TVsj-Dy0/s72-c/IMG-20150917-WA0031.jpg)
BREAKING NEWSSS!!!! UONGOZI WA JUU WA NCCRA-MAGEUZI WAONGEA NA WANAHABARI SASA HIVI KATIKA HOTELI YA LAND MARK JIJINI DAR.
![](http://4.bp.blogspot.com/-O8QviIT6bFk/Vfq_mt0SrhI/AAAAAAAH5lY/TT9TVsj-Dy0/s640/IMG-20150917-WA0031.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u8u3TSbJ0Sw/XpW6-80Xm6I/AAAAAAALm7I/zF8bWtC-XXYoVEC0P5oxIZCX62TWI1C9QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-14%2Bat%2B4.09.13%2BPM.jpeg)
MBUNGE CHADEMA ANG'ATUKA, ATANGAZA KUTOGOMBEA TENA
![](https://1.bp.blogspot.com/-u8u3TSbJ0Sw/XpW6-80Xm6I/AAAAAAALm7I/zF8bWtC-XXYoVEC0P5oxIZCX62TWI1C9QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-14%2Bat%2B4.09.13%2BPM.jpeg)
Mbunge huyo ametangaza kauli hiyo leo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya makadirio ya mapato ya Wizara ya Tamisemi ambapo amewatakia kila heri wabunge wengine.
Tofauti na Komu, Lwakatare yeye hajatangaza kuhamia chama chochote badala yake amesema hatogombea tena katika uchaguzi Mkuu...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-G8CHuQ9Is3s/VcDGCkqsYSI/AAAAAAAB9jU/OKZ5lmbh9zY/s72-c/mbowe.jpg)
MSUMARI WA MWISHO KWENYE JENEZA WA MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE KUHUSU LOWASA KUHAMIA CHADEMA LIVE!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-G8CHuQ9Is3s/VcDGCkqsYSI/AAAAAAAB9jU/OKZ5lmbh9zY/s640/mbowe.jpg)
"Haukuwa uamuzi rahisi.. Kamati Kuu ilifanya utafiti kwa vikao vingi na mashauriano. Tafiti zilituambia kuwa Edward Lowassa akipeperusha bendera ya Chadema/UKAWA,ndoto ya mabadiliko makubwa nchini itatimia. Kwa Kauli moja, Kamati Kuu iliridhia Edward Lowassa awe mgombea kwa Chadema na baadae tukawauliza wenzetu wa UKAWA kama wanakubali ama kukataa. Wajumbe wote akiwemo Katibu Mkuu Dr W Slaa waliridhia... baadae kuna watu labda wakamshauri vingine... " - Freeman Mbowe.. Mwenyekiti Taifa wa...
9 years ago
Bongo507 Nov
Producer Tiddy Hotter wa One Love Fx ya Mwanza atangaza kuhamia Dar na kufungua studio nyingine
![tiddy hotter](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/tiddy-hotter-300x194.jpg)
Producer aliyetengeneza singles kama ‘Listen’ ya Belle 9, ‘Mwambie Mwenzio’ ya stamina, ‘Nisome’ ya Godzila na G-nako na nyingine kadhaa, Tiddy Hotter ametangaza kuhamisha makazi yake jijini Dar es salaam kutoka jijini mwanza.
Tiddy ambaye anamiliki studio ya One Love FX ya Mwanza amesema kuwa pia anafungua studio nyingine Dar, na ile ya mwanza itaendelea kuwepo.
Producer huyo ameitaja sababu kubwa ya kurudi Dar ambako alianzia kabla ya kwenda kufungua studio Mwanza, “Nimeona nisogee...
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
Lowassa kuhamia Chadema?
SIKU chache baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumtangaza Dk. John Magufuli kuwa mgombea urais katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu, baadhi ya wapenzi wa Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, wamemtaka akihame chama chake.
Kati ya wapenzi hao ni mbunge wa zamani wa Monduli, Luteni Lepilal Ole Molloimet, aliyesema jana kwamba iwapo Lowassa ataondoka CCM chama kitakuwa katika hali mbaya.
Akizungumza na Raia Tanzaia jana kwa simu, Molloimet alisema: “Tena mimi ninataka ‘a-cross’ (ahame). Afanye...