Lowassa kuhamia Chadema?
SIKU chache baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumtangaza Dk. John Magufuli kuwa mgombea urais katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu, baadhi ya wapenzi wa Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, wamemtaka akihame chama chake.
Kati ya wapenzi hao ni mbunge wa zamani wa Monduli, Luteni Lepilal Ole Molloimet, aliyesema jana kwamba iwapo Lowassa ataondoka CCM chama kitakuwa katika hali mbaya.
Akizungumza na Raia Tanzaia jana kwa simu, Molloimet alisema: “Tena mimi ninataka ‘a-cross’ (ahame). Afanye...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-G8CHuQ9Is3s/VcDGCkqsYSI/AAAAAAAB9jU/OKZ5lmbh9zY/s72-c/mbowe.jpg)
MSUMARI WA MWISHO KWENYE JENEZA WA MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE KUHUSU LOWASA KUHAMIA CHADEMA LIVE!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-G8CHuQ9Is3s/VcDGCkqsYSI/AAAAAAAB9jU/OKZ5lmbh9zY/s640/mbowe.jpg)
"Haukuwa uamuzi rahisi.. Kamati Kuu ilifanya utafiti kwa vikao vingi na mashauriano. Tafiti zilituambia kuwa Edward Lowassa akipeperusha bendera ya Chadema/UKAWA,ndoto ya mabadiliko makubwa nchini itatimia. Kwa Kauli moja, Kamati Kuu iliridhia Edward Lowassa awe mgombea kwa Chadema na baadae tukawauliza wenzetu wa UKAWA kama wanakubali ama kukataa. Wajumbe wote akiwemo Katibu Mkuu Dr W Slaa waliridhia... baadae kuna watu labda wakamshauri vingine... " - Freeman Mbowe.. Mwenyekiti Taifa wa...
10 years ago
Vijimambo31 Jul
OLE SENDEKA AKANUSHA KUHAMIA CHADEMA
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/index19.jpg)
Uvumi ulioenezwa na mitandao ya kijamii kuwa mh.Christopher Ole Sendeka anahamia chadema ameikanusha na kusema kuwa haina tija na niupotoshaji wa jamii na kuwa yeye atabakia kuwa muuumini wa chama cha Mapinduzi wala hajaona chama mbadala zaidi ya chama hicho.
Sendeka ameyasema hayo leo wakati akiongea na vyombo vya habari jijini hapa na kuwataka wanaoeneza kuacha mara moja kumuhusisha na kuhamia kwenye chama hicho kwani yeye ni muumini wa CCM.
Alisema kuwa hajaona chama...
10 years ago
Habarileo08 Aug
Mke azungumzia mume kuhamia Chadema
MKE wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro mkoani hapa, Fatuma Ngorisa ambaye ameteuliwa kuwa diwani wa Viti Maalumu (UWT) amesema kuwa kuhama kwa mume wake, ni uamuzi wake binafsi, hakumshirikisha hivyo hawezi kuhama Chama Cha Mapinduzi (CCM).
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--TxPMkL3dxQ/Xqf5TPT-6RI/AAAAAAAC4Hg/wZTegmj-CkgD5zP8HImDvka8h44o53HoACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MBUNGE CHADEMA ATANGAZA KUHAMIA NCCRA MAGEUZI
![](https://1.bp.blogspot.com/--TxPMkL3dxQ/Xqf5TPT-6RI/AAAAAAAC4Hg/wZTegmj-CkgD5zP8HImDvka8h44o53HoACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Rombo, Joseph Selasini, leo Aprili 28, 2020 ametangaza rasmi kukihama Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kujiunga na chama cha NCCR-Mageuzi baada ya kumalizika kwa vikao vya Bunge.
Jana, Selasini alidai kutengwa na wabunge wenzake wa chama chake cha CHADEMA ikiwemo kuondolewa bila kupewa taarifa kwenye 'Group la WhatsApp' la Wabunge wa chama hicho ambalo pia yumo Mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe
10 years ago
Mwananchi23 Jul
Lembeli: Mwanahabari aliyeitosa CCM na kuhamia Chadema
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kEOmwtgnu-M/XufY4XJnKCI/AAAAAAALt8A/800oS3ii98kghfsYcuhfLAPDL-yxL4LqACLcBGAsYHQ/s72-c/1336486e-8cc2-4124-bdc9-e1d767411e3b.jpg)
MBUNGE LATIFA CHANDE WA CHADEMA ATANGAZA KUHAMIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-kEOmwtgnu-M/XufY4XJnKCI/AAAAAAALt8A/800oS3ii98kghfsYcuhfLAPDL-yxL4LqACLcBGAsYHQ/s1600/1336486e-8cc2-4124-bdc9-e1d767411e3b.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9YrsKDbyY0o/XufYSW08aPI/AAAAAAALt70/NF23GeHCmQ8D3CTN6A4GUJ9qUWk9mHOMQCLcBGAsYHQ/s1600/1336486e-8cc2-4124-bdc9-e1d767411e3b.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/b226a35d-3258-48ad-a982-03a93b02e9d5.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/OKoHDsxB4rg/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XPD2mfj8OjE/XkahzcpGoTI/AAAAAAALdXk/3Fuz-BdFl0gUzcEP_BZ5CjsTo-bqtGfXQCLcBGAsYHQ/s72-c/5b8f0741-9dcd-405e-aecd-b49c2d7f35ae.jpg)
CHADEMA YATIKISIKA KILOMBERO,VIONGOZI WAKE WAJIVUA UANACHAMA NA KUHAMIA CCM
Waliojivua uanachama wa Chadema ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara CHADEMA, Mashaka Mbilinyi, Diwani kata ya Mbasa ,Chiza Shungu, Mwenyekiti wa kamati huduma za Jamii Ifakara, Digna Nyangile, Diwani Viti Maaalum Ifakara, Antony Mwampunga Kamanda wa Red Briged wilaya Kilombero, Clarens Manyota na Baraka Masala.
Wanachama hao wapya...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/OKoHDsxB4rg/default.jpg)