MSIKILIZE SENDEKA ALICHOSEMA KUHUSU YEYE KUHAMIA CHADEMA
![](http://img.youtube.com/vi/OKoHDsxB4rg/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/OKoHDsxB4rg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo31 Jul
OLE SENDEKA AKANUSHA KUHAMIA CHADEMA
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/index19.jpg)
Uvumi ulioenezwa na mitandao ya kijamii kuwa mh.Christopher Ole Sendeka anahamia chadema ameikanusha na kusema kuwa haina tija na niupotoshaji wa jamii na kuwa yeye atabakia kuwa muuumini wa chama cha Mapinduzi wala hajaona chama mbadala zaidi ya chama hicho.
Sendeka ameyasema hayo leo wakati akiongea na vyombo vya habari jijini hapa na kuwataka wanaoeneza kuacha mara moja kumuhusisha na kuhamia kwenye chama hicho kwani yeye ni muumini wa CCM.
Alisema kuwa hajaona chama...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-G8CHuQ9Is3s/VcDGCkqsYSI/AAAAAAAB9jU/OKZ5lmbh9zY/s72-c/mbowe.jpg)
MSUMARI WA MWISHO KWENYE JENEZA WA MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE KUHUSU LOWASA KUHAMIA CHADEMA LIVE!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-G8CHuQ9Is3s/VcDGCkqsYSI/AAAAAAAB9jU/OKZ5lmbh9zY/s640/mbowe.jpg)
"Haukuwa uamuzi rahisi.. Kamati Kuu ilifanya utafiti kwa vikao vingi na mashauriano. Tafiti zilituambia kuwa Edward Lowassa akipeperusha bendera ya Chadema/UKAWA,ndoto ya mabadiliko makubwa nchini itatimia. Kwa Kauli moja, Kamati Kuu iliridhia Edward Lowassa awe mgombea kwa Chadema na baadae tukawauliza wenzetu wa UKAWA kama wanakubali ama kukataa. Wajumbe wote akiwemo Katibu Mkuu Dr W Slaa waliridhia... baadae kuna watu labda wakamshauri vingine... " - Freeman Mbowe.. Mwenyekiti Taifa wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-pTGeTGakb4Q/VYCvJ1prnrI/AAAAAAADsEA/OKmORIsSMMg/s72-c/wema-in-my-shoes9.jpg)
.MSIKILIZE WEMA AKIONGELEA YEYE KUGOMBEA UBUNGE KUPITIA MKOA WA SINGIDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-pTGeTGakb4Q/VYCvJ1prnrI/AAAAAAADsEA/OKmORIsSMMg/s640/wema-in-my-shoes9.jpg)
MSIKILIZE WEMA AKIONGELEA YEYE KUGOMBEA UBUNGE KUPITIA MKOA WA SINGIDA
5 years ago
MichuziMBUNGE LIJUALIKALI ASEMA KAMA CHADEMA KIMEMTOA MBALI NA YEYE PIA AMEKITOA MBALI,AANIKA KILA KITU KUHUSU WABUNGE WANAVYOKATWA MISHAHARA YAO KUCHANGIA CHAMA
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
MBUNGE wa Jimbo la Kilombero kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Peter Lijualikali amezidi kuanika namna ambavyo wabunge wa Chama hicho ambavyo wamekuwa wakikatwa fedha zao na kisha kuzuliwa kuhoji matumizi ya fedha na namna zinavyotumika huku akieleza hatishwi na kauli za kwamba Chama kimemtoa mbali kwani hata yeye amekitoa mbali tu.
Siku za karibuni mbunge huyoa ameingia kwenye malumbano na Chama chake baada ya kuamua kubaki na msimamo wake...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Alichosema waziri wa Uingereza kuhusu ujangili nchini
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q2Rw0WFHT4aFKB9O-0si*aziWBtRbr6BT6rqG-j*azpHnsVE0gpOCMkKT2a3bwTxDvmaaO20MTFAPnfUA0fEdf9/kingunge1.jpg?width=650)
ALICHOSEMA MZEE KINGUNGE KUHUSU JAJI WARIOBA NI SAHIHI
5 years ago
Bongo Movies02 Mar
Alichosema Jay Moe kuhusu kutofanya collabo na wakongwe wa Bongo fleva
Mashabiki wengi hujiuliza inakuaje kwenye upande wa Bongo Fleva mastaa wakongwe katika game hii wanashindwa kufanya collaboration wao kwa wao , ugumu unakuwa wapi?? Je ni kwamba ladha ya muziki itapungua kutokana na wao kuwa wakongwe katika muziki?
Majibu yote anayo Jay Moe, alisema
“Naona watu wanacho jaribu kukitafuta saivi ni kitu kipya , Solo nipo naye karibu lakini badala solo ashiriki nyimbo na mimi nitamshauri afanye na Godzilla, afanye na billnass. Kwa sababu naona kabisa kwamba...