Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajuza amfundisha adabu jambazi

Ajuza mwenye umri wa miaka 80 alimpiga mwizi usoni mwake nchini Uingereza na kumuogopesha kiasi cha kutoroka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mzozo wa Syria: Baba amfundisha mwanae kuyacheka mabomu kukabiliana na dhiki ya vita

Mashambulio ya anga na mabomu yalimfanya baba wa Syria Abdullah Mohammad kubuni njia mpya ya kumsaidiabinti yake kuishi na sauti za vita: Kicheko.

 

11 years ago

Habarileo

Abaka ajuza wa miaka 90

MAHAKAMA ya Mkoa wa Tabora, imemhukumu mkazi wa Kijiji cha Mabama wilayani Uyui, Malando Charles (30), kifungo cha miaka 30 jela na kulipa fidia ya Sh 500,000, baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka bibi kizee wa umri wa miaka 90.

 

10 years ago

GPL

JB: JESHI LILINITIA ADABU!

Staa wa Bongo Movie, Jacob Steven Mbura ‘JB’. JACOB Steven Mbura ‘JB’ anaendelea kusimulia historia ya maisha yake tangu utotoni hadi sasa. Ni simulizi ndefu na tamu isiyochosha kwa vimbwanga na kila aina ya mikasa ya kusisimua na kustaajabisha. Uhondo huu ulianza wiki mbili zilizopita. Kwa wale waliokosa kwa bahati mbaya, tuliweka nukta kwenye kipengele cha safari yake ya shuleni na malezi ya nyumbani,...

 

10 years ago

GPL

NJEMBA ASHIKISHWA ADABU!

Gabriel Ng’osha Shika adabu yako! Njemba mmoja ambaye jina halikufahamika ameshikishwa adabu na wananchi wenye hasira kali baada ya kutembezewa kichapo ‘hevi’ alipokwapua simu ya abiria mwenzake. Kijana huyo aliyedaiwa kuwa kibaka akiwa chini ya ulinzi. Ishu hiyo ilijiri wikiendi iliyopita maeneo ya Mtaa wa Kongo-Kariakoo jijini Dar ndani ya basi la UDA ambapo kijana huyo alidaiwa kukwapua simu hiyo.… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Heshima na adabu ya lugha ya Kiswahili

Mbali na kuwa na lafudhi mbalimbali kwa sababu ya kuwa katika mataifa tofauti, kuna heshima na adabu ya lugha ambayo imeingiliwa na tamaduni ya lugha zingine kama vile Kiingereza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ajuza aliyedhulumiwa kukutana na Abe

Mwanammke mmoja wa Korea aliyedhulumiwa kingono na jeshi la Japan atarajiwa kuhudhuria kikao cha baraza la Congress

 

11 years ago

GPL

MKOROGO WAMTIA ADABU WEMA

Na Mwandishi Wetu
MISS Tanzania 2006 aliye pia staa wa filamu za Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amevunja ukimya kwa kuweka wazi kuwa, mkorogo umemtia adabu na anajuta kuutumia  mwilini mwake. Wema Sepetu. Akizungumza juzi na paparazi wetu ofisini kwake jijini Dar, Wema alisema  kuwa baada ya kwenda kliniki nchini China na kupata matatibu ya ngozi yake ambayo sasa imerudi kama mwanzo amejifunza kitu. NI...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ajuza awatukana wapiganaji wa IS Syria

Zaidi ya watu millioni moja katika mtandao wa facebook wameiona video katika mtandao kuhusu ajuza wa Syria anayewakashifu IS

 

10 years ago

Habarileo

TCRA:Tumejizatiti kuwashikisha adabu

MAMLAKA ya Mawasiliano (TCRA) imeendelea kuhadharisha umma dhidi ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii ikisema imejizatiti kwa kuwa na vifaa madhubuti na wataalamu kukabili wimbi la wanaosambaza ujumbe wa uchochezi katika kipindi kuelekea uchaguzi mkuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani