Mzozo wa Syria: Baba amfundisha mwanae kuyacheka mabomu kukabiliana na dhiki ya vita
Mashambulio ya anga na mabomu yalimfanya baba wa Syria Abdullah Mohammad kubuni njia mpya ya kumsaidiabinti yake kuishi na sauti za vita: Kicheko.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Dhiki na mahangaiko nchini Syria
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Angela Merkel azungumzia mzozo wa Syria.
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Mkutano kuhusu mzozo wa Syria waanza-Uswizi
11 years ago
GPL
BABA ACHOMA MOTO MWANAE
10 years ago
BBCSwahili14 Sep
Milipuko ya mabomu yaua watu 20 Syria
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Baba Mbeya aua mwanae kwa ngumi
MKAZI wa Kijiji cha Isisi, wilayani Mbarali, Patrick Njolo, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mwanae kwa kumpiga ngumi. Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed Msangi, alisema jana kuwa...
10 years ago
Dewji Blog30 Dec
Baba mzazi wa Nyalandu afagilia mwanae kutaka Urais
Baba yake Waziri wa Maliasili na Utalii na mbunge wa jimbo la Singida kaskazini,(Lazaro Samwel Nyalandu), mzee Samwel Nyalandu akizungumzia uamuzi wa mtotowake Lazaro kuwania urasi kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Amedai amepokea uamuzi huo kwa mikono miwili akiamini kuwa Lazaro atamudu nafasi hiyo nyeti ya urais.
Na Nathaniel Limu, Singida
BABA mzazi wa Waziri wa Maliasili na Utalii na mbunge wa jimbo la Singida kaskazini, Samwel Nyalandu (70), alisema amepokea kwa...
10 years ago
Vijimambo09 Jan
KATIKA HALI YA KUTATANISHA BABA AMTUPA MWANAE KWENYE MAJI

Mwanaume mmoja amefikishwa mahakamani kwa kosa la mauaji baada ya polisi kudai kuwa alimtupa mtoto wake mwenye umri wa miaka 5 kutoka juu ya daraja mjini St Petersburg.Afisa wa polisi alisema alijionea tukio hilo la kushangaza baada kumwandama John Jonchuck Jr, mwenye umri wa miaka 25, baada ya kuona akiendesha gari lake kwa kasi, alisema afisaa mkuu wa polisi Anthony Holloway.Mtoto huyo aliyetupwa ndani ya maji yenye kina cha mita 18 alipatikana akiwa amefariki saa moja baadaye.Polisi...