Mkutano kuhusu mzozo wa Syria waanza-Uswizi
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ameambia pande zinazozozana nchini Syria kuwa wakati umefika wa kufanya mashauriano ya kusitisha mzozo huo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili01 Jun
Mkutano kuhusu mzozo wa Libya wafutwa
Serikali ya Tunisia imefutilia mbali mkutano wa dharura kuhusu mzozo wa kisiasa nchini Libya.
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Angela Merkel azungumzia mzozo wa Syria.
Ujerumani imesema Rais wa Syria Bashar al-Asad, anapaswa kushiriki katika mazungumzo yenye lengo la kumaliza mzozo wa nchi yake.
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Mzozo wa Syria: Baba amfundisha mwanae kuyacheka mabomu kukabiliana na dhiki ya vita
Mashambulio ya anga na mabomu yalimfanya baba wa Syria Abdullah Mohammad kubuni njia mpya ya kumsaidiabinti yake kuishi na sauti za vita: Kicheko.
9 years ago
BBCSwahili17 Dec
Mzozo wa wahamiaji kutawala mkutano wa EU
Ujerumani na mataifa mengine yatashauriana na Uturuki jinsi ya kuwapa makao maelfu ya wakimbizi wa Syria kabla ya mkutano wa mwisho wa mwaka wa viongozi wa mataifa wa Umoja wa Ulaya.
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Mzozo kuhusu mshindi wa 'Mr Ugly' Zimbabwe
Mzozo umekumba mashindano ya mtu mwenye sura mbaya zaidi huko Zimbabwe baada ya bingwa mara tatu kushindwa
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Wasomi, wajumbe watofautiana kuhusu mzozo wa kanuni
Hatua ya baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupiga kelele na kulivunja jana wakipinga uvunjaji wa kanuni, imepokewa kwa hisia tofauti na baadhi ya wasomi na wanaharakati, huku baadhi wakisema ilikuwa ni sahihi na wengine wakipinga.
11 years ago
BBCSwahili20 Jan
Iran kuhudhuria mkutano wa Syria-UN
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ameilika Iran katika ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa amani kuhusu Syria utakaofanyika wiki hii
11 years ago
BBCSwahili26 Jan
Mkutano wa Syria wazaa matunda, machache
Siku ya pili ya mazungumzo mjini Geneva, imekubaliwa kuwa baadhi ya wakaazi wa Homs waruhusiwe kutoka
11 years ago
BBCSwahili24 Jan
Vitisho kwenye mkutano wa Syria Geneva
Waziri wa mambo ya nje wa Syria, Walid Muallem, ametoa tisho la kujiondoa kwenye mazungumzo ikiwa hakuna hatua zitakazokuwa zimefikiwa Jumamosi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania