Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkutano kuhusu mzozo wa Syria waanza-Uswizi

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ameambia pande zinazozozana nchini Syria kuwa wakati umefika wa kufanya mashauriano ya kusitisha mzozo huo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mkutano kuhusu mzozo wa Libya wafutwa

Serikali ya Tunisia imefutilia mbali mkutano wa dharura kuhusu mzozo wa kisiasa nchini Libya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Angela Merkel azungumzia mzozo wa Syria.

Ujerumani imesema Rais wa Syria Bashar al-Asad, anapaswa kushiriki katika mazungumzo yenye lengo la kumaliza mzozo wa nchi yake.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mzozo wa Syria: Baba amfundisha mwanae kuyacheka mabomu kukabiliana na dhiki ya vita

Mashambulio ya anga na mabomu yalimfanya baba wa Syria Abdullah Mohammad kubuni njia mpya ya kumsaidiabinti yake kuishi na sauti za vita: Kicheko.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mzozo wa wahamiaji kutawala mkutano wa EU

Ujerumani na mataifa mengine yatashauriana na Uturuki jinsi ya kuwapa makao maelfu ya wakimbizi wa Syria kabla ya mkutano wa mwisho wa mwaka wa viongozi wa mataifa wa Umoja wa Ulaya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mzozo kuhusu mshindi wa 'Mr Ugly' Zimbabwe

Mzozo umekumba mashindano ya mtu mwenye sura mbaya zaidi huko Zimbabwe baada ya bingwa mara tatu kushindwa

 

11 years ago

Mwananchi

Wasomi, wajumbe watofautiana kuhusu mzozo wa kanuni

Hatua ya baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupiga kelele na kulivunja jana wakipinga uvunjaji wa kanuni, imepokewa kwa hisia tofauti na baadhi ya wasomi na wanaharakati, huku baadhi wakisema ilikuwa ni sahihi na wengine wakipinga.

 

11 years ago

BBCSwahili

Iran kuhudhuria mkutano wa Syria-UN

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ameilika Iran katika ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa amani kuhusu Syria utakaofanyika wiki hii

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkutano wa Syria wazaa matunda, machache

Siku ya pili ya mazungumzo mjini Geneva, imekubaliwa kuwa baadhi ya wakaazi wa Homs waruhusiwe kutoka

 

11 years ago

BBCSwahili

Vitisho kwenye mkutano wa Syria Geneva

Waziri wa mambo ya nje wa Syria, Walid Muallem, ametoa tisho la kujiondoa kwenye mazungumzo ikiwa hakuna hatua zitakazokuwa zimefikiwa Jumamosi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani