Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzozo wa wahamiaji kutawala mkutano wa EU

Ujerumani na mataifa mengine yatashauriana na Uturuki jinsi ya kuwapa makao maelfu ya wakimbizi wa Syria kabla ya mkutano wa mwisho wa mwaka wa viongozi wa mataifa wa Umoja wa Ulaya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mkutano kuhusu mzozo wa Libya wafutwa

Serikali ya Tunisia imefutilia mbali mkutano wa dharura kuhusu mzozo wa kisiasa nchini Libya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkutano kuhusu mzozo wa Syria waanza-Uswizi

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ameambia pande zinazozozana nchini Syria kuwa wakati umefika wa kufanya mashauriano ya kusitisha mzozo huo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkutano kuhusu wahamiaji wafanyika Ulaya

Mawaziri kutoka nchi za Ulaya wanakutana nchini Luxembourg hii leo kuzungumzia mipango ya kukabiliana na maelfu ya wahamiaji

 

11 years ago

Habarileo

Taarifa ya CAG kutawala Bunge

MKUTANO wa 14 wa Bunge unaendelea leo huku taarifa ya ukaguzi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na taarifa nyingine za kamati, zikitarajiwa kutawala mkutano huo.

 

9 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kutawala mafanikio yako - 1

Kwa muda mrefu nimezungumzia juu ya namna ya kupata mafanikio. Nilianza kwa kueleza namna mtu anavyoweza kutumia muda vizuri ili kupata mafanikio. Hapa nikasisitiza juu ya kuwa mshindi au bingwa wa kutumia muda na siyo kusema; ‘muda si rafiki.’

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ni Katiba ya kuongoza au ya kutawala?

KUTAWALA na kuongoza ni vitu viwili ambavyo aghalabu hufananishwa kimakosa, hivi ni vitu vilivyo tofauti kabisa, naweza kusema vimetizamana bila kuwa na mkabala mwema. Sababu kutawala ni kwa mabavu, penda...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kocha wa Simba ajinasibu kutawala soka.

Kocha mpya wa Simba, Muingereza Dylan Kerr amesema ana imani timu ya Simba itakuwa tishio msimu ujao wa ligi kuu Tanzania Bara.

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Sefu atamba CCM kuendelea kutawala

948

Balozi Seif akiwapongeza Viongozi wa CCM Majimbo,Wadi, na Matawi yaliyomo ndani ya Wilaya ya kati kwa kusimamia vyema ujenzi wa ofisi za chama hicho katika maeneo mbali mbali ya Wilaya hiyo.(Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ).

975

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif akiwasisitiza wana CCM wa matawi na Wadi za Wilaya ya Kati Kujenga Ofisi za chama zitakazoambatana na miradi ya kuichumi ili kuepuka tegemezi alipokuwa katika ziara ya kukagua ujenzi wa ofisi hizo.

Mjumbe wa Kamati Kuu...

 

10 years ago

Habarileo

Lipumba asema yeye ndiye anayefaa kutawala

WAKATI kitendawili cha sitofahamu cha uwezekano wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kusimamisha mgombea mmoja wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa , Profesa Ibrahim Lipumba, ameibuka na kusema taifa linahitaji kuwa na kiongozi mwenye uwezo wa kuinua na kuboresha uchumi kupitia sekta ya viwanda na kilimo.

Alisema uchumi unaosimamiwa na viwanda na sekta ya kilimo ndiyo njia pekee itakayowezesha kuongeza ajira...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani