Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkutano kuhusu mzozo wa Libya wafutwa

Serikali ya Tunisia imefutilia mbali mkutano wa dharura kuhusu mzozo wa kisiasa nchini Libya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mkutano kuhusu mzozo wa Syria waanza-Uswizi

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ameambia pande zinazozozana nchini Syria kuwa wakati umefika wa kufanya mashauriano ya kusitisha mzozo huo

 

9 years ago

BBCSwahili

Mabunge 2 ya Libya kutatua mzozo wa kisiasa

Mabunge mawili yanayopingana ya Libya, yamefikia makubaliano ya awali, yanayolenga kutatua msukosuko wa kisiasa nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkutano wa Nobel A.Kusini wafutwa

Mkutano wa washindi wa taji la Nobel unaotarajiwa kufanyika mjini Cape Town umefutiliwa mbali

 

9 years ago

BBCSwahili

Mzozo wa wahamiaji kutawala mkutano wa EU

Ujerumani na mataifa mengine yatashauriana na Uturuki jinsi ya kuwapa makao maelfu ya wakimbizi wa Syria kabla ya mkutano wa mwisho wa mwaka wa viongozi wa mataifa wa Umoja wa Ulaya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mzozo kuhusu mshindi wa 'Mr Ugly' Zimbabwe

Mzozo umekumba mashindano ya mtu mwenye sura mbaya zaidi huko Zimbabwe baada ya bingwa mara tatu kushindwa

 

11 years ago

Mwananchi

Wasomi, wajumbe watofautiana kuhusu mzozo wa kanuni

Hatua ya baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupiga kelele na kulivunja jana wakipinga uvunjaji wa kanuni, imepokewa kwa hisia tofauti na baadhi ya wasomi na wanaharakati, huku baadhi wakisema ilikuwa ni sahihi na wengine wakipinga.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wajumbe wa Libya waafikiana kuhusu serikali

Wawakilishi kutoka mabunge hasimu nchini Libya wametia saini mkataba wa kuundwa kwa serikali ya umoja, kufuatia mashauriano nchini Morocco.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya amani kuhusu Libya yaanza

Mazungumzo kuhusu Libya yalioidhinishwa na Umoja wa mataifa yameanza huko Geneva leo yanayonuiwa kufikia makubaliano ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.

 

9 years ago

Mwananchi

MAONI : Mfano wa Dk Magufuli kuhusu Libya unapotosha

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli alinukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari akiwaasa Watanzania wasitamani mabadiliko ya haraka, kwani hayana tija.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani