Wajumbe wa Libya waafikiana kuhusu serikali
Wawakilishi kutoka mabunge hasimu nchini Libya wametia saini mkataba wa kuundwa kwa serikali ya umoja, kufuatia mashauriano nchini Morocco.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Syria: Wajumbe waafikiana kuhusu Homs
Serikali ya Syria, imesema itawaruhusu watoto pamoja na wanawake kuondoka katika mji uliozingirwa wa Homs.
9 years ago
BBCSwahili22 Sep
Mawaziri EU waafikiana kuhusu wahamiaji
Mawaziri wa masuala ya ndani EU wamekubaliana kuhusu mpango wa kuwapokea wahamiaji 120,000 walioingia katika bara Ulaya.
10 years ago
BBCSwahili20 Sep
Serikali ya Ukraine na waasi waafikiana
Rais wa Zamani wa Ukraine amesema kuwa mpango wa amani umeafikiwa katika mazungumzo yanayolenga kusitisha vita huko Ukraine.
10 years ago
BBCSwahili25 Aug
Msumbiji:Serikali na Renamo waafikiana
Serikali ya Msumbiji imetiliana saini na chama cha upinzani cha Renamo ili kukomesha vita nchini humo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GHj0aXUtmGc/VLAljH2GZHI/AAAAAAAG8TQ/8b4wh4h91v8/s72-c/image061.jpg)
TAMKO LA POLISI KUHUSU ZOEZI LA KUAPISHWA KWA WENYEVITI NA WAJUMBE WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://4.bp.blogspot.com/-GHj0aXUtmGc/VLAljH2GZHI/AAAAAAAG8TQ/8b4wh4h91v8/s1600/image061.jpg)
Baadhi ya wananchi wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya kihalifu kwa kufanya fujo na vitendo vya vurugu ikiwemo kuwapiga baadhi ya watendaji wanaosimamia zoezi la kuapisha na kuwapiga viongozi wateule...
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
Mazungumzo ya amani kuhusu Libya yaanza
Mazungumzo kuhusu Libya yalioidhinishwa na Umoja wa mataifa yameanza huko Geneva leo yanayonuiwa kufikia makubaliano ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.
11 years ago
BBCSwahili01 Jun
Mkutano kuhusu mzozo wa Libya wafutwa
Serikali ya Tunisia imefutilia mbali mkutano wa dharura kuhusu mzozo wa kisiasa nchini Libya.
9 years ago
Mwananchi10 Sep
MAONI : Mfano wa Dk Magufuli kuhusu Libya unapotosha
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli alinukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari akiwaasa Watanzania wasitamani mabadiliko ya haraka, kwani hayana tija.
11 years ago
GPLTAARIFA KUHUSU KAIMU BALOZI WA LIBYA KUJIUA
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa leo imepokea taarifa kutoka Ubalozi wa Libya hapa nchini kuwa aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Bwana Ismail Nwairat, amefariki dunia jana kwa kujipiga risasi. Taarifa hiyo ya ubalozi imeeleza kuwa kifo hicho kimetokea majira ya saa Saba mchana ofisini kwa Kaimu Balozi huyo katika jengo la Ubalozi wa Lbya. Inataarifiwa kuwa Bwana Nwairat alijifungia ofisini na kujifyatulia risasi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania