Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajumbe wa Libya waafikiana kuhusu serikali

Wawakilishi kutoka mabunge hasimu nchini Libya wametia saini mkataba wa kuundwa kwa serikali ya umoja, kufuatia mashauriano nchini Morocco.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Syria: Wajumbe waafikiana kuhusu Homs

Serikali ya Syria, imesema itawaruhusu watoto pamoja na wanawake kuondoka katika mji uliozingirwa wa Homs.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mawaziri EU waafikiana kuhusu wahamiaji

Mawaziri wa masuala ya ndani EU wamekubaliana kuhusu mpango wa kuwapokea wahamiaji 120,000 walioingia katika bara Ulaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Ukraine na waasi waafikiana

Rais wa Zamani wa Ukraine amesema kuwa mpango wa amani umeafikiwa katika mazungumzo yanayolenga kusitisha vita huko Ukraine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Msumbiji:Serikali na Renamo waafikiana

Serikali ya Msumbiji imetiliana saini na chama cha upinzani cha Renamo ili kukomesha vita nchini humo.

 

10 years ago

Michuzi

TAMKO LA POLISI KUHUSU ZOEZI LA KUAPISHWA KWA WENYEVITI NA WAJUMBE WA SERIKALI ZA MITAA

Kufuatia kukamilika kwa mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji na hivi sasa kuendelea kwa zoezi la kuapishwa kwa viongozi hao katika maeneo mbalimbali hapa nchini, kumejitokeza tabia ya baadhi ya wananchi kufanya vurugu na fujo katika zoezi hilo.
Baadhi ya wananchi wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya kihalifu kwa kufanya fujo na vitendo vya vurugu ikiwemo kuwapiga baadhi ya watendaji wanaosimamia zoezi la kuapisha na kuwapiga viongozi wateule...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya amani kuhusu Libya yaanza

Mazungumzo kuhusu Libya yalioidhinishwa na Umoja wa mataifa yameanza huko Geneva leo yanayonuiwa kufikia makubaliano ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkutano kuhusu mzozo wa Libya wafutwa

Serikali ya Tunisia imefutilia mbali mkutano wa dharura kuhusu mzozo wa kisiasa nchini Libya.

 

9 years ago

Mwananchi

MAONI : Mfano wa Dk Magufuli kuhusu Libya unapotosha

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli alinukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari akiwaasa Watanzania wasitamani mabadiliko ya haraka, kwani hayana tija.

 

11 years ago

GPL

TAARIFA KUHUSU KAIMU BALOZI WA LIBYA KUJIUA

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa leo imepokea taarifa kutoka Ubalozi wa Libya hapa nchini kuwa aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Bwana Ismail Nwairat, amefariki dunia jana kwa kujipiga risasi. Taarifa hiyo ya ubalozi imeeleza kuwa kifo hicho kimetokea majira ya saa Saba mchana ofisini kwa Kaimu Balozi huyo katika jengo la Ubalozi wa Lbya. Inataarifiwa kuwa Bwana Nwairat alijifungia ofisini na kujifyatulia risasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani