Syria: Wajumbe waafikiana kuhusu Homs
Serikali ya Syria, imesema itawaruhusu watoto pamoja na wanawake kuondoka katika mji uliozingirwa wa Homs.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili17 Dec
Wajumbe wa Libya waafikiana kuhusu serikali
Wawakilishi kutoka mabunge hasimu nchini Libya wametia saini mkataba wa kuundwa kwa serikali ya umoja, kufuatia mashauriano nchini Morocco.
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
Wakazi wa Homs Syria wapata afueni
Mwandishi wa BBC katika mji uliozungukwa Homs nchni Syria anasema magari mawili yaliobeba chakula yamefika katika mji huo.
9 years ago
BBCSwahili22 Sep
Mawaziri EU waafikiana kuhusu wahamiaji
Mawaziri wa masuala ya ndani EU wamekubaliana kuhusu mpango wa kuwapokea wahamiaji 120,000 walioingia katika bara Ulaya.
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Kerry na Putin kujadiliana kuhusu Syria
Waziri wa mashauri ya kigeni wa Marekani John Kerry yumo nchini Moscow kwa mashauriano na Rais Vladimir Putin kuhusu njia za kumaliza vita Syria.
11 years ago
BBCSwahili24 Jan
Mazungumzo kuhusu Syria yanaendelea Geneva
Siku ya kwanza ya mazungumzo ya amani kati ya wawakilishi wa serikali ya Syria na waasi yanatarajiwa kuanza mjini Geneva nchini Uswizi
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Putin azungumza na Rouhani kuhusu Syria
Rais Vladmir Putin wa Urusi amefanya mazungumzo na Rais wa Iran, Hassan Rouhani kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran na mkutano wa kimataifa wa amani wa Geneva 2.
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Umoja wa Mataifa walaumiwa kuhusu Syria
Ripoti ya mashirika zaidi ya ishirini ya misaada ya kibinadamu na yale ya kutetea haki za binadamu yamelishutumu Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa kushindwa kutetea raia walio katikati ya vita nchini Syria.
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Mkutano kuhusu mzozo wa Syria waanza-Uswizi
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ameambia pande zinazozozana nchini Syria kuwa wakati umefika wa kufanya mashauriano ya kusitisha mzozo huo
9 years ago
BBCSwahili31 Oct
Urusi yaonya kuhusu hatari ya vita Syria
Urusi imeonya kuwa kuna hatari ya kuzuka vita hatari Syria baada ya Marekani kusema itawatuma wanajeshi maalum kusaidia waasi Syria.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania