Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi wa Homs Syria wapata afueni

Mwandishi wa BBC katika mji uliozungukwa Homs nchni Syria anasema magari mawili yaliobeba chakula yamefika katika mji huo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Syria: Wajumbe waafikiana kuhusu Homs

Serikali ya Syria, imesema itawaruhusu watoto pamoja na wanawake kuondoka katika mji uliozingirwa wa Homs.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine:Upinzani wapata afueni

Rais wa Ukraine Victor Yanukovych ameupa upinzani baadhi ya nyadhifa muhimu za serikali katika juhudi za kumaliza mgogoro wa kisiasa

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafungwa wa Burundi wapata afueni

Hatua ya Serikali ya Burundi kuwaachia kwa msamaha wa Rais wafungwa zaidi ya elfu tatu imeanza kutekelezwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Syria ilitumia Chlorine dhidi ya wakazi

Gesi ya Chlorine ilitumika kuwashambulia watu Kaskazini mwa Syria mwaka huu, kwa mujibu wa shirika la (OPCW)

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Wakazi wa Singida wapata burudani ya kutosha ya Serengeti Fiesta 2014

Wakazi wa mkoa wa Singida usiku wa kuamkia leo wamepata burudani ya kutosha ya Serengeti Fiesta ambapo zaidi ya wasanii 15 walitumbuiza. Full shangwe Singida Show hiyo iliyofanyika katika katika uwanja wa Namfua ilihudhuriwa na wakazi wa Singida na vitongoji vyake huku Nay wa Mitego, Mr Blue, Dully Sykes, Makomando, Linah, Recho, Mwana FA, Nick […]

 

9 years ago

Michuzi

WAKAZI WA WILAYA YA MBOGWE WAPATA UJASIRI WA KUTUMBUA MAJIPU BAADA YA MAFUNZO YA URAGHABISHI

Na Krantz Mwantepele, Geita 
Ni miaka mitatu na miezi nane toka mraghbishi Fedson Yaida na wenzake toka vijiji vya jirani kukutana na Chukua Hatua. Ni rafiki waliyekutana naye mwaka 2011 katika mazungumzo maalumu ambayo walitakiwa kuyafikisha kwa wananchi wenzao wa vijiji vya Shenda, Iponya, Nyakasumula na Bukandwe katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita. 
Ni katika mazungumzo hayo ya siku tatu, ambayo Fedson toka kijiji cha Shenda alibadilishwa na kuwa mraghbishi wa aling’amua uwezo alio nao...

 

11 years ago

BBCSwahili

misaada kupelekwa kwa waathirika wa Homs

Mashirika ya misaada yanuwia kupeleka misaada ya chakula na dawa kwa waathiriwa wa mapigano mjini Homs

 

11 years ago

BBCSwahili

Misaada ya chakula yaelekea mjini Homs.

Umoja wa mataifa unataraji kuwafikishia chakula na dawa raia waliokwama katika mji Homs nchini Urusi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani