Wakazi wa Homs Syria wapata afueni
Mwandishi wa BBC katika mji uliozungukwa Homs nchni Syria anasema magari mawili yaliobeba chakula yamefika katika mji huo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Syria: Wajumbe waafikiana kuhusu Homs
Serikali ya Syria, imesema itawaruhusu watoto pamoja na wanawake kuondoka katika mji uliozingirwa wa Homs.
11 years ago
BBCSwahili26 Jan
Ukraine:Upinzani wapata afueni
Rais wa Ukraine Victor Yanukovych ameupa upinzani baadhi ya nyadhifa muhimu za serikali katika juhudi za kumaliza mgogoro wa kisiasa
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Wafungwa wa Burundi wapata afueni
Hatua ya Serikali ya Burundi kuwaachia kwa msamaha wa Rais wafungwa zaidi ya elfu tatu imeanza kutekelezwa.
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Syria ilitumia Chlorine dhidi ya wakazi
Gesi ya Chlorine ilitumika kuwashambulia watu Kaskazini mwa Syria mwaka huu, kwa mujibu wa shirika la (OPCW)
10 years ago
Bongo504 Oct
Picha: Wakazi wa Singida wapata burudani ya kutosha ya Serengeti Fiesta 2014
Wakazi wa mkoa wa Singida usiku wa kuamkia leo wamepata burudani ya kutosha ya Serengeti Fiesta ambapo zaidi ya wasanii 15 walitumbuiza. Full shangwe Singida Show hiyo iliyofanyika katika katika uwanja wa Namfua ilihudhuriwa na wakazi wa Singida na vitongoji vyake huku Nay wa Mitego, Mr Blue, Dully Sykes, Makomando, Linah, Recho, Mwana FA, Nick […]
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mvDS5gR6I3o/VoNcLNcsM8I/AAAAAAAAXtw/aBOShEtkBwA/s72-c/1236143_172920136229682_1686983149_n.jpg)
WAKAZI WA WILAYA YA MBOGWE WAPATA UJASIRI WA KUTUMBUA MAJIPU BAADA YA MAFUNZO YA URAGHABISHI
Na Krantz Mwantepele, Geita
Ni miaka mitatu na miezi nane toka mraghbishi Fedson Yaida na wenzake toka vijiji vya jirani kukutana na Chukua Hatua. Ni rafiki waliyekutana naye mwaka 2011 katika mazungumzo maalumu ambayo walitakiwa kuyafikisha kwa wananchi wenzao wa vijiji vya Shenda, Iponya, Nyakasumula na Bukandwe katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita.
Ni katika mazungumzo hayo ya siku tatu, ambayo Fedson toka kijiji cha Shenda alibadilishwa na kuwa mraghbishi wa aling’amua uwezo alio nao...
Ni miaka mitatu na miezi nane toka mraghbishi Fedson Yaida na wenzake toka vijiji vya jirani kukutana na Chukua Hatua. Ni rafiki waliyekutana naye mwaka 2011 katika mazungumzo maalumu ambayo walitakiwa kuyafikisha kwa wananchi wenzao wa vijiji vya Shenda, Iponya, Nyakasumula na Bukandwe katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita.
Ni katika mazungumzo hayo ya siku tatu, ambayo Fedson toka kijiji cha Shenda alibadilishwa na kuwa mraghbishi wa aling’amua uwezo alio nao...
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
misaada kupelekwa kwa waathirika wa Homs
Mashirika ya misaada yanuwia kupeleka misaada ya chakula na dawa kwa waathiriwa wa mapigano mjini Homs
11 years ago
BBCSwahili08 Feb
Misaada ya chakula yaelekea mjini Homs.
Umoja wa mataifa unataraji kuwafikishia chakula na dawa raia waliokwama katika mji Homs nchini Urusi.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki
Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania