Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Misaada ya chakula yaelekea mjini Homs.

Umoja wa mataifa unataraji kuwafikishia chakula na dawa raia waliokwama katika mji Homs nchini Urusi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

misaada kupelekwa kwa waathirika wa Homs

Mashirika ya misaada yanuwia kupeleka misaada ya chakula na dawa kwa waathiriwa wa mapigano mjini Homs

 

11 years ago

Michuzi

MH. CHIKAWE AWAMWAGIA MISAADA MAMA LISHE MJINI NACHINGWEA

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe akimpa msaada wa boksi lenye vyombo mbalimbali Mama Lishe wa Soko Kuu mjini Nachingwea mkoani Lindi leo. Mama Lishe hao zaidi ya 120, kila mmoja alipewa boksi ambalo ndani yake kuna Chupa ya Chai, Sahani, Vijiko, Birika, Umma pamoja na Vikombe vikubwa vya maji. Mama Lishe hao walishukuru misaada hiyo ambayo itawasaidia katika biashara yao. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa jimbo la Morogogo mjini Mh Abood amwaga misaada kata ya Bigwa Morogoro

 

Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akijibu Hoja mbalimbali kuhusu kero zinazowakabili wakazi wa kata ya bigwa katika ziara yake ya kutembelea kata mbalimbali za jimbo la Morogoro Mjini.Mh Abood aliata nafasi ya kuongea na wakazi wa mitaa wa mitaa mbalimbali inayounda kata ya Bigwa.Mh Abood alijibu na kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wakazi wa kata hiyo.Mbunge huyo alitoa majibu kuhusu kero ya umeme, maji ,barabara na nyinginezo.Pia Mh Abood alitoa misaada mbalimbali...

 

10 years ago

Michuzi

PSPF YAANDAA CHAKULA CHA JIONI KWA WALIMU MJINI MOROGORO

 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (Kulia), akiteta jambo na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Afande Leonard Paul, wakati wa chakula cha usiku kilichoandaliwa na Mfuko huo kwa baadhi ya wachezaji wa timu ya polisi mkoani Morogoro na wajumbe wa  idara ya utumishi wa walimu wanaohudhuria semina ya siku moja iliyoandaliwa na Mfuko huo mkoani Morogoro, Alhamisi Oktoba 23, 2014. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akisalimiana na baadhi ya...

 

10 years ago

GPL

PSPF YAANDAA CHAKULA CHA JIONI KWA WALIMU MJINI MOROGORO

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (Kulia), akiteta jambo na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Afande Leonard Paul, wakati wa chakula cha usiku kilichoandaliwa na Mfuko huo kwa baadhi ya wachezaji wa timu ya polisi mkoani Morogoro na wajumbe wa  idara ya utumishi wa walimu wanaohudhuria semina ya siku moja iliyoandaliwa na Mfuko huo mkoani Morogoro.… ...

 

5 years ago

Michuzi

WAKALA WA CHAKULA DAWA NA VIPODOZI WATOA ELIMU KWA MASHEHA WA WILAYA YA MJINI

Na Khadija Khamis
Mkurugenzi wa Wakala wa Chakula Dawa na Vipodozi  Zanzibar  Dkt. Khamis Ali Omar amewataka wananchi kujitahadhari na matumizi ya chakula na dawa  ambazo zimemaliza muda na vipodozi ambavyo havijathibitishwa  ili kuepuka maradhi yatokanayo na sumu .

Hayo aliyasema huko katika Ofisi ya Mkuu wa  Wilaya ya Mjini,  Sebleni wakati akitoa Mafunzo ya usalama wa chakula dawa na vipodozi  kwa Masheha wa Wilaya hiyo  na kuwataka ushirikiano wa pamoja ili kuhakikisha wanathibitisha ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakazi wa Homs Syria wapata afueni

Mwandishi wa BBC katika mji uliozungukwa Homs nchni Syria anasema magari mawili yaliobeba chakula yamefika katika mji huo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Syria: Wajumbe waafikiana kuhusu Homs

Serikali ya Syria, imesema itawaruhusu watoto pamoja na wanawake kuondoka katika mji uliozingirwa wa Homs.

 

10 years ago

Michuzi

TWIGA STARS YAELEKEA ZANZIBAR

Kikosi cha timu ya Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars).

Kikosi cha timu ya Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) kimeodoka leo saa 6 mchana jijini Dar es salaam kuelekea kisiwani Zanzibari, ambapo kitaweka kambi ya mwezi mmoja kujiandaa na fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) mwezi Septemba.
Msafara wa Twiga Stars umeondoka na boti ya Azam (Kilimanjaro) ukiwa na watu 32, wakiwemo wachezaji 25, benchi la ufundi 6 pamoja na kiongozi wa msafara, ambapo TFF imegharamia kambi hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani