Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PSPF YAANDAA CHAKULA CHA JIONI KWA WALIMU MJINI MOROGORO

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (Kulia), akiteta jambo na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Afande Leonard Paul, wakati wa chakula cha usiku kilichoandaliwa na Mfuko huo kwa baadhi ya wachezaji wa timu ya polisi mkoani Morogoro na wajumbe wa  idara ya utumishi wa walimu wanaohudhuria semina ya siku moja iliyoandaliwa na Mfuko huo mkoani Morogoro.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

PSPF YAANDAA CHAKULA CHA JIONI KWA WALIMU MJINI MOROGORO

 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (Kulia), akiteta jambo na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Afande Leonard Paul, wakati wa chakula cha usiku kilichoandaliwa na Mfuko huo kwa baadhi ya wachezaji wa timu ya polisi mkoani Morogoro na wajumbe wa  idara ya utumishi wa walimu wanaohudhuria semina ya siku moja iliyoandaliwa na Mfuko huo mkoani Morogoro, Alhamisi Oktoba 23, 2014. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akisalimiana na baadhi ya...

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA EXIM YAANDAA HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI KWA WATEJA WAKE MTWARA

 Mkuu wa Hazina Benki ya Exim Tanzania Bw. George Shumbusho (Kushoto) pamoja na  Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya STE BPS (COTE DIVOIRE) S.A LTD Bw. Vijayan Vetharethinam kwa pamoja wakifungua shampeni wakati wa hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Benki hiyo kwa ajili ya wateja wake Mkoani Mtwara hivi karibuni.Mkuu wa Hazina Benki ya Exim Tanzania Bw. George Shumbusho (wa pili kulia) akibadilishana mawazo na  Bw. Anoop Kumar  pamoja na  Bw  Prasoon kutoka kampuni ya Regal Holdings...

 

10 years ago

Michuzi

Wajumbe wa idara ya utumishi wa walimu watembelea nyumba za PSPF zilizopo eneo la Lukobe mjini Morogoro.

 Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Neema Muro, (Kushoto), akizungumza na baadhi ya wajumbe wa idara ya utumishi wa walimu, kwenye eneo la mradi wa nyumba za Mfuko huo eneo la Lukobe mjini Morogoro mwishoni mwa wiki. Wajumbe hao walifanya ziara hiyo mara baada yab kuhudhuria semina ya siku moja iliyoandaliwa na Mfuko huo kwa lengo la kuwaelimisha juu ya faida mwanachama anazoweza kupata anapojiunga na Mfuko huo.  Mkurugenzi wa uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Karibuni Semina na Chakula cha Jioni — Valentine Day Februari 14, 2015 Kuanzia saa kumi na mbili jioni 6:00pm EST

***   ***   ***   www.iykcolumbus.org   ***   ***   ***Simu: 1-614-664-9564 au 1-614-66-IYK-OH  

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. Bilal ashiriki hafla ya chakula cha jioni cha hisani kuchangia mfuko wa kampeni wa jitolee kwa ajili ya kinamama wa Afrika, Jijini Dar

01

Makamua wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa hafla ya Chakula cha Hisani kwa ajili ya kuchangia Mfuko wa Kampeni ya Jitolee kwa ajili ya Akinamama wa Afrika, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena jana usiku Oktoba 9, 2014 jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).

03

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Push Mobile, Freddie Manento, wakati wa hafla ya Chakula...

 

10 years ago

Vijimambo

FAMILIA YA NDASHAU WAMUAGA DJ LUKE KWA CHAKULA CHA JIONI HOUSTON, TEXAS


 Familia ya Ndashau ambao ndio waliokuwa wenyeji wa Dj Luke wakila chakula cha jioni ndani ya mgahawa wa Kichina maalum kwa ajili ya kumuaga baa da ya Dj Luke kumaliza kilichomleta Houston alipokuwepo kwa ajili ya Pazi Reunion siku ya Jumamosi March 14, 2015. Dj Luke akiwa na familia ya Ndashau siku walipompeleka katika chakula cha jioni ndani ya mgahawa wa Kichina Houston kwa chakula cha pamoja na familia. Bwn na Bibi Ndashau ambao ndio waliokuwa wenyeji wa Dj Luke. Mjukuu akijinafasi na...

 

10 years ago

Vijimambo

UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC WAMKARIBISHA BALOZI OMBENI SEFUE KWA CHAKULA CHA JIONI

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwasili kwenye Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Washington, DC nchini Marekani alikokaribishwa chakula cha jioni wakiwemo viongozi mbalimbali wa Wizara ya Fedha na Benki Kuu ya Tanzania. Mhe. Ombeni Sefue ndiye aliyewezesha ununuzi wa jengo hilo la Ubalozi wakati alipokua Balozi wa Tanzania nchini Marekani mwaka 2007Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akimpokea Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI CHA HISANI KUCHANGIA MFUKO WA KAMPENI WA JITOLEE KWA AJILI YA KINAMAMA WA AFRIKA, JIJINI DAR

 Makamua wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa hafla ya Chakula cha Hisani kwa ajili ya kuchangia Mfuko wa Kampeni ya Jitolee kwa ajili ya Akinamama wa Afrika, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena jana usiku Oktoba 9, 2014 jijini Dar es Salaam. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Push Mobile, Freddie Manento, wakati wa hafla ya Chakula cha Hisani kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

WAJUMBE IDARA YA UTUMISHI WA WALIMU WATEMBELEA NYUMBA ZA PSPF LUKOMBE, MOROGORO

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Neema Muro, (Kushoto), akizungumza na baadhi ya wajumbe wa idara ya utumishi wa walimu, kwenye eneo la mradi wa nyumba za Mfuko huo eneo la Lukobe mjini Morogoro mwishoni mwa wiki. Wajumbe hao walifanya ziara hiyo mara baada yab kuhudhuria semina ya siku moja iliyoandaliwa na Mfuko huo kwa lengo la kuwaelimisha juu ya faida mwanachama anazoweza kupata anapojiunga na Mfuko huo.Mkurugenzi wa uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Neema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani