Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


misaada kupelekwa kwa waathirika wa Homs

Mashirika ya misaada yanuwia kupeleka misaada ya chakula na dawa kwa waathiriwa wa mapigano mjini Homs

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Misaada ya chakula yaelekea mjini Homs.

Umoja wa mataifa unataraji kuwafikishia chakula na dawa raia waliokwama katika mji Homs nchini Urusi.

 

10 years ago

Habarileo

Pinda aahidi misaada waathirika wa mvua

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.WAKATI Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwasili mjini hapa kwa ajili ya kujionea maafa yaliyosababishwa na mvua kubwa ya mawe katika kijiji cha Mwakata kata ya Isaka wilaya ya Kahama, idadi ya watu waliokufa imeongezeka na kufikia 42 na idadi ya majeruhi ni 98.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waathirika Bulembo walalamikia misaada kufungiwa

WANANCHI ambao nyumba zao zimeanguka, kuezuliwa na mazao yao kuharibiwa na mvua iliyonyesha ikiambatana na upepo mkali, wameulalamikia uongozi wa Kijiji cha Bulembo, Kata ya Ibuga, Wilaya ya Muleba, Kagera...

 

11 years ago

Habarileo

Waathirika mafuriko Kilosa wahitaji misaada zaidi

SERIKALI ya Mkoa wa Morogoro inahitaji misaada zaidi ya kibinadamu, itakayowasaidia watu zaidi ya 8,000 waliokumbwa na mafuriko katika Kata tatu ya Magole, Dumila na Berega zilizopo Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa. Misaada hiyo inatakiwa kutokana na makazi yao kubomoka na kujaa maji ya mafuriko na kupoteza vyakula.

 

10 years ago

Habarileo

Walalamika mikataba kupelekwa kwa AG

Luteni Mstaafu Chiku GallawaUTARARIBU wa kupeleka mikataba yote ya miradi ya barabara yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 50 kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), umelalamikiwa kutokana na kukwamisha miradi ya barabara katika halmashauri za Manispaa za Mkoa wa Dodoma.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Bisimba kupelekwa India kwa matibabu

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk Hellen Kijo-Bisimba anatarajia kusafirishwa kwenda nchini India kwa ajili ya matibabu zaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

Kisumo kupelekwa India kwa matibabu

Mwanasiasa mkongwe na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Peter Kisumo ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) akisumbuliwa na maradhi ya moyo na figo, amesema wiki hii atapelekwa nchini India kwa matibabu zaidi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Syria: Wajumbe waafikiana kuhusu Homs

Serikali ya Syria, imesema itawaruhusu watoto pamoja na wanawake kuondoka katika mji uliozingirwa wa Homs.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani