Walalamika mikataba kupelekwa kwa AG
UTARARIBU wa kupeleka mikataba yote ya miradi ya barabara yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 50 kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), umelalamikiwa kutokana na kukwamisha miradi ya barabara katika halmashauri za Manispaa za Mkoa wa Dodoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Kisumo kupelekwa India kwa matibabu
Mwanasiasa mkongwe na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Peter Kisumo ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) akisumbuliwa na maradhi ya moyo na figo, amesema wiki hii atapelekwa nchini India kwa matibabu zaidi.
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
misaada kupelekwa kwa waathirika wa Homs
Mashirika ya misaada yanuwia kupeleka misaada ya chakula na dawa kwa waathiriwa wa mapigano mjini Homs
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Dk Bisimba kupelekwa India kwa matibabu
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk Hellen Kijo-Bisimba anatarajia kusafirishwa kwenda nchini India kwa ajili ya matibabu zaidi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuulkQLooFedGRprcK-eK1zL6Z1iFq7eej8Ws60J0bOGhEYJ7rrVFs02fAnCndjHvdQZ*b7c8zvvy1z77JX3EGa9rf/FASTFURIOUS.jpg?width=650)
WALALAMIKA KWA KUTOTAJWA KATIKA FILAMU YA FURIOUS 7
The Rock, Vin Diesel na Paul Walker ni baadhi ya majina ambayo yametajwa mwishoni mwa filamu ya kusisimua ya "Furious 7" iliyoingia sokoni hivi karibuni ... tatizo ni kwamba kuna baadhi ya watu ambao walishiriki kikamilifu kwenye matukio muhimu ya filamu hiyo ambao hawakupewa 'credit' mwishoni. Sehemu ya matukio waliyoshiriki watu hao. Vyanzo vya karibu na wazalishaji wa filamu hiyo vimeeleza kuwa watu hao walishiriki katika...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pDPix7u_8K0/VlmwyVeBySI/AAAAAAAII1E/x4GqpY_REn8/s72-c/75c70b20-aa79-4a7b-9f65-1c7eb991b9dc.jpg)
dada yetu Joyce aliyepata ajali Mbeya ahamishiwa hospitali, kupelekwa Dar es salaam Alhamisi kwa matibabu
Na Deo Kakuru, Mbeya
Ndugu Wasamaria wema na wadau,Napenda kutumia fursa hii kukufahamisheni kuwa hatimaye dada yetu Joyce Mwambepo ametoka nyumbani yupo hospitali ya rufaa Mbeya chini ya uangalizi wa Dr. Mboma akifanyiwa mazoezi ya viungo kabla ya kuelekea hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam kwa vipimo na matibabu. Baada ya michango mbalimbali ambayo wasamaria wema wamekuwa wakichangia toka ndani na nje ya nchi, hatimaye Dada Joyce na mimi tutasafiri pamoja Alhamisi ijayo...
Ndugu Wasamaria wema na wadau,Napenda kutumia fursa hii kukufahamisheni kuwa hatimaye dada yetu Joyce Mwambepo ametoka nyumbani yupo hospitali ya rufaa Mbeya chini ya uangalizi wa Dr. Mboma akifanyiwa mazoezi ya viungo kabla ya kuelekea hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam kwa vipimo na matibabu. Baada ya michango mbalimbali ambayo wasamaria wema wamekuwa wakichangia toka ndani na nje ya nchi, hatimaye Dada Joyce na mimi tutasafiri pamoja Alhamisi ijayo...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/UvbA724MJSs/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Umuhimu wa mikataba ya huduma kwa mwanachama
Mifuko itambue kwamba kuwa na mkataba wa huduma kwa wanachama, kutawezesha wanachama wao kujua mafao yanayotolewa, haki na wajibu wao ndani ya mifuko hiyo.
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Usiri katika mikataba ni kwa faida ya nani?
Licha ya Serikali kueleza kwamba katika suala la maendeleo ni lazima wananchi washirikishwe kuanzia ngazi ya chini, bado jambo hilo limebaki kuwa hadithi.
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Makonda atoa saa 48 kwa mwekezaji kutoa mikataba ya ajira
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ametoa siku mbili kwa mmiliki wa Kiwanda cha kukarabati magari cha Sringcity Enterprises kuwapa wafanyakazi wao mikataba ya ajira ama sivyo atakifungia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania