Usiri katika mikataba ni kwa faida ya nani?
Licha ya Serikali kueleza kwamba katika suala la maendeleo ni lazima wananchi washirikishwe kuanzia ngazi ya chini, bado jambo hilo limebaki kuwa hadithi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Zitto: Hakuna sheria ya usiri wa mikataba
10 years ago
Mtanzania28 Oct
Usiri mikataba ya gesi wazua tafrani kamati ya Zitto
![Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Zitto-Kabwe.jpg)
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe
SHABANI MATUTU NA PATRICIA KIMELEMETA
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Mashirika ya Umma (PAC), imetoa siku mbili kwa uongozi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuwasilisha mikataba 26 ya gesi kwa Katibu wa Bunge.
Uamuzi wa kamati hiyo umetokana na menejimenti ya TPDC kushindwa kuwasilisha mkataba hata mmoja kati ya mikataba 26 iliyoombwa na kamati hiyo katika kipindi cha mwaka mmoja sasa.
Akizungumza Dar es Salaam jana wakati wa kupitia...
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Matusi bungeni kwa faida ya nani?
KINACHOENDELEA ndani ya Bunge la Katiba ni aibu inayofanya wajumbe walioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kupoteza heshima yao mbele ya jamii. Hali hiyo inatokana na jinsi mjadala wa rasimu ya...
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Misamaha ya kodi nchini ni kwa faida ya nani?
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Kina Muhabi wanafanya haya kwa faida ya nani?
KATIKA siku za hivi karibuni kumeibuka kundi la viongozi wa vyama vitano vya siasa visivyokuwa na uwakilishi wa wabunge bungeni na kutoa matamko mbali mbali kuhusiana na sakata la akaunti ya...
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Mvutano ada elekezi shule binafsi kwa faida ya nani?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9Ijhbs1O3x0/Xs_TO6ns7QI/AAAAAAALr6Q/uq2W606rk3QlnDWXK4pMT4dIYiyx1ZdHQCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Wadau wapambana kuvunja tamaduni ya usiri wa hedhi kwa wasichana katika jamii
Na Amiri kilagalila,Njombe
Jamii nchini imetakiwa kuvunja tamaduni ya usiri na kuona hedhi ni kitu cha kawaida kwa watoto wa kike hali itakayowafanya wasichana kujiamini na kujivunia wanapokuwa hedhi.
Hayo yamebainishwa na kiongozi mkuu wa mradi kutoka shirika la hamble unemployment solution in tanzania Faraja Eliezer ambaye ni mkuu wa idara ya afya na mazingira kutoka shirika hilo,walipofika kituo cha kulea watoto yatima cha Familia ya Upendo Uwemba kilichopo kijiji cha uwemba kwa ajili ya...
9 years ago
Dewji Blog15 Sep
UNESCO, TCRA yataka wadau wa habari katika matumizi ya intaneti kuzingatia usiri na maadili
Mwenyekiti wa National Governance Internet Forum ambaye pia ni Rais wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC), Kenneth Simbaya akiwakaribisha wadau wa mitandao na watumiaji wa intaneti kwenye jukwaa hilo kabla ya kumkaribisha mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa TCRA kufungua rasmi jukwaa hilo.. Kulia ni Katibu Mtendaji wa Tanzania Education and Research Network (TERNET), Amos Nungu na Kushoto ni Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na...
9 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_8938.jpg)
UNESCO, TCRA YATAKA WADAU WA HABARI KATIKA MATUMIZI YA INTANETI KUZINGATIA USIRI NA MAADILI