Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matusi bungeni kwa faida ya nani?

KINACHOENDELEA ndani ya Bunge la Katiba ni aibu inayofanya wajumbe walioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kupoteza heshima yao mbele ya jamii. Hali hiyo inatokana na jinsi mjadala wa rasimu ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Usiri katika mikataba ni kwa faida ya nani?

Licha ya Serikali kueleza kwamba katika suala la maendeleo ni lazima wananchi washirikishwe kuanzia ngazi ya chini, bado jambo hilo limebaki kuwa hadithi.

 

11 years ago

Mwananchi

Misamaha ya kodi nchini ni kwa faida ya nani?

Kuna idadi kubwa ya wawekezaji kutoka nchi za nje waliopo nchini wakifanya biashara bila kulipa kodi zote zinazostahili; baadhi yao wanasamehewa, ingawa wazawa wakiwamo mama ntilie hawapewi huo msamaha licha ya ukweli kuwa wengi wao wana maendeleo duni.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kina Muhabi wanafanya haya kwa faida ya nani?

KATIKA siku za hivi karibuni kumeibuka kundi la viongozi wa vyama vitano  vya siasa visivyokuwa na uwakilishi wa wabunge bungeni na kutoa matamko mbali mbali kuhusiana na sakata la akaunti ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Mvutano ada elekezi shule binafsi kwa faida ya nani?

Kwa wiki kadhaa sasa, kumekuwapo na hali ya la kuviziana kati ya Serikali na wamiliki wa shule za binafsi nchini kutokana na kuwapa agizo la ada elekezi. Hali ilivyo ni kuwa wamiliki wanadai kutoa elimu bora na kwa gharama ndogo, huku Serikali ikiwatazama kwa hofu ya unyonyaji kupitia ada wanazotoza kwa kila mwanafunzi anayesoma kwenye shule zao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Yanayoendelea Bungeni kwa manufaa ya nani?

LEO na jana jioni katika Vyombo Vya Habari na mitandao ya kijamii, imemnukuu aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba akiendelea kusikitishwa na kinachoendelea bungeni, mjini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matusi bungeni yamuibua JK

RAIS Jakaya Kikwete amekemea vitendo vya wajumbe wa Bunge la Katiba kuwatusi waasisi wa taifa hili na kusema huo ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu. Katika mazungumzo yake...

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Pindi Chana azindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Dkt. Pindi Chana (Mb) akizundua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni na wanaofanya shughuli zao katika sekta zisizo rasmi. Uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa Belinda Jijini Dar es salaam tarehe 27 Februari 2015. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Dkt. Pindi Chana akizungumza mara baada ya kuzindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la...

 

11 years ago

Mwananchi

Siku 67 za mipasho, matusi bungeni

Bunge Maalumu la Katiba linaahirishwa leo baada ya kukutana kwa siku 67 bila kupitisha hata ibara moja kati ya 240 zilizomo katika Rasimu ya Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Makonda agoma kufuta ‘matusi’ bungeni

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Paul Makonda, jana aligoma kufuta kauli yake baada ya kuwaita viongozi wakuu wawili wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuwa ni watoto wa shetani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani