Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kina Muhabi wanafanya haya kwa faida ya nani?

KATIKA siku za hivi karibuni kumeibuka kundi la viongozi wa vyama vitano  vya siasa visivyokuwa na uwakilishi wa wabunge bungeni na kutoa matamko mbali mbali kuhusiana na sakata la akaunti ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wagombea urais mtueleze na haya kwa kina!

Mwaka 1995 wakati akihutubia mkutano mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mwalimu Julius Nyerere alisema mgombea urais kupitia chama hicho anatakiwa kukidhi matarajio ya Watazania na siyo anayekidhi matarajio ya wachache wenye fedha zao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matusi bungeni kwa faida ya nani?

KINACHOENDELEA ndani ya Bunge la Katiba ni aibu inayofanya wajumbe walioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kupoteza heshima yao mbele ya jamii. Hali hiyo inatokana na jinsi mjadala wa rasimu ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Misamaha ya kodi nchini ni kwa faida ya nani?

Kuna idadi kubwa ya wawekezaji kutoka nchi za nje waliopo nchini wakifanya biashara bila kulipa kodi zote zinazostahili; baadhi yao wanasamehewa, ingawa wazawa wakiwamo mama ntilie hawapewi huo msamaha licha ya ukweli kuwa wengi wao wana maendeleo duni.

 

10 years ago

Mwananchi

Usiri katika mikataba ni kwa faida ya nani?

Licha ya Serikali kueleza kwamba katika suala la maendeleo ni lazima wananchi washirikishwe kuanzia ngazi ya chini, bado jambo hilo limebaki kuwa hadithi.

 

9 years ago

Mwananchi

Mvutano ada elekezi shule binafsi kwa faida ya nani?

Kwa wiki kadhaa sasa, kumekuwapo na hali ya la kuviziana kati ya Serikali na wamiliki wa shule za binafsi nchini kutokana na kuwapa agizo la ada elekezi. Hali ilivyo ni kuwa wamiliki wanadai kutoa elimu bora na kwa gharama ndogo, huku Serikali ikiwatazama kwa hofu ya unyonyaji kupitia ada wanazotoza kwa kila mwanafunzi anayesoma kwenye shule zao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ni kina nani walio katika hatari ya kupaya ugonjwa huu?

Kwa sasa kukisiwa kwamba uwezekano wa Coronavirus kusababisha kifo ni asilimia sio kwa kila mmoja

 

10 years ago

Habarileo

Wasichana wengi wadogo wanafanya ngono

WATOTO wa kike nchini wametajwa kujihusisha katika mapenzi katika umri mdogo kuliko wa kiume. Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete alisema takwimu zinaonesha kwamba asilimia 13 ya wasichana, wanaanza kufanya mapenzi wakiwa na umri wa chini ya miaka 15 wakati kwa upande wa wavulana ni asilimia saba.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanaojinadi urais CCM wanafanya kazi ya bure

>Wakati makada wanaotangaza nia na kuchukua fomu kugombea urais kupitia CCM wakiendelea kujinadi kwa kutaja sifa mbalimbali za rais ajaye, chama hicho kimesema hayo yote ni kazi bure kwa kuwa chenyewe kina vigezo vyake 13 ambavyo kitavitumia kumpata mgombea wake wa nafasi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani