Sumaye aelezea kwa kina kuhusu sakata la kuuzwa kwa nyumba za serikali!
![](http://img.youtube.com/vi/LofQGOS0bCM/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IulEvqGJ9iQ/VNfTUEYQqsI/AAAAAAAHCgU/Yg0K9pHFGXw/s72-c/download.jpg)
JE UMECHUKUA MKOPO NA NYUMBA YAKO INATAKA KUUZWA, HAIRUHUSIWI KUUZWA MPAKA UTARATIBU HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-IulEvqGJ9iQ/VNfTUEYQqsI/AAAAAAAHCgU/Yg0K9pHFGXw/s1600/download.jpg)
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Ni wakati wa kuihoji Serikali kwa kina
Hakuna shaka, safari ya Dodoma imewadia na saa ya kukuna vichwa kwa viongozi wetu imetimia.
Sina shaka, Dodoma ambao ni mji mkuu wa nchi kisiasa, utakuwa umeanza kuchangamka.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RGKUO9VU1_E/VIKmAht9tzI/AAAAAAAG1gw/jol8eTR4M1k/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
WAZIRI CHIKAWE ASHIRIKIANA NA WAGOMBEA SERIKALI ZA MITAA KUPIGA KAMPENI YA NYUMBA KWA NYUMBA JIMBONI NACHINGWEA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RGKUO9VU1_E/VIKmAht9tzI/AAAAAAAG1gw/jol8eTR4M1k/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/fK6DLjaMDpM/default.jpg)
Apartments kuuzwa kwa njia ya mortgage kwa Wana-Diaspora wa Tanzania huko Zanzibar!
ZACADIA, which stands for Zanzibar-Canadian Diaspora Association holds a BBQ event annually and in this year of 2015, the event was sponsored by the People's Bank of Zanzibar Limited - The People's Bank, The People's Choice!
For more details on PBZ Diaspora Accounts (features & benefiits) and on ZSSF Mbweni apartments for Diaspora communities, click here:
Many Zanzibaris living in Toronto took application forms to open Diaspora accounts and Online Mobile Banking with the People's Bank of...
For more details on PBZ Diaspora Accounts (features & benefiits) and on ZSSF Mbweni apartments for Diaspora communities, click here:
Many Zanzibaris living in Toronto took application forms to open Diaspora accounts and Online Mobile Banking with the People's Bank of...
11 years ago
Michuzi16 Jun
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dYLrpk-c-H8/VaUKqktO8JI/AAAAAAAAAOE/tuhgf3-m-EY/s72-c/9.jpg)
Dr. Wilibrod Slaa amesema kuwa akiwa Rais wa Tanzania atamfunga Dr. John Magufuli kwa sababu alisimamia mchakato wa uuzwaji wa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-dYLrpk-c-H8/VaUKqktO8JI/AAAAAAAAAOE/tuhgf3-m-EY/s640/9.jpg)
Dr. Wilibrod Slaa amesema kuwa akiwa Rais wa Tanzania atamfunga Dr. John Magufuli kwa sababu alisimamia mchakato wa uuzwaji wa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupwaDr. Slaa akihojiwa na Radio five ya Arusha jioni hii nini maoni yake kuhusu uteuzi wa Magufuli kuwania Urais.
Ameongelea mengi lakini amesema iwapo UKAWA wakimpa nafasi na Watanzania wakampa kura za kutosha kushinda Urais atamtia Magufuri ndani ili kujibu tuhuma za uuzwaji wa Nyumba kwa bei ya kutupa.
Chanzo: Radio five,...
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
George Floyd: Mwandishi aelezea kwa nini ilikuwa vigumu kwa yeye kutazama video ya mauaji.
Wamarekani weusi nchini Marekani wameeleza namna ilivyo vigumu kutazama picha ya video ya mauaji ya Floyd.
10 years ago
Vijimambo27 Nov
HII NDIO MAELEZO YA SERIKALI KUHUSU SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO
TAARIFA YA WAZIRI WA NISHANI NA MADINI PROF.MUHONGO KUHUSIANA NA SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO BONYEZA HAPA USOME TAARIFA KAMILI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWl*1KpAo2rLbC*SsliyNWpcXKU2s8S7LtuovQGx8mqGRO9i-WQnm*CHgNXETvs9eix5rtlx-oUkkJ8oaA2t4HHW/gurumo3.jpg)
NYUMBA YA GURUMO YASALIMIKA KUUZWA
Nyumba aliyokuwa akiishi marehemu Maalim Gulumo.
Mayasa Mariwata/ijumaawikienda
MKE wa aliyekuwa mwimbaji dansi Bongo, marehemu Muhidin Maalim Gurumo (Pichani), Pili Nassor amesema anamshukuru Mungu baada ya watoto wa mumewe kukaa na kukubaliana kutoiuza nyumba aliyokuwa akiishi na mumewe huyo iliyopo Tabata jijini Dar. Maalim Gulumo enzi za uhai… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania