Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumaye aelezea kwa kina kuhusu sakata la kuuzwa kwa nyumba za serikali!



Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JE UMECHUKUA MKOPO NA NYUMBA YAKO INATAKA KUUZWA, HAIRUHUSIWI KUUZWA MPAKA UTARATIBU HUU.

Wakopwaji/wadaiwa  wamekuwa  wakipata shida sana  kutoka  kwa wanaokopesha. Mkopesha awe ni mtu binafsi, taasisi ya fedha , kampuni  binafsi au mwingine  yeyote  wamekuwa  wakiwasumbua sana  wadeni  wao. Kubwa  zaidi hasa taasisi za fedha hutumia masharti ya mikataba ambayo  huwa yameandaliwa kitaalam kiasi cha  mtu ambaye  si mwanasheria  kutoelewa kwa undani maana  yake  kuwabana wadeni  ambao  hushtukia  masharti hayo baada  ya  kuwa wameshaanza  kudaiwa. Mbaya  zaidi  wamekuwa  wakifanya...

 

10 years ago

Mwananchi

Ni wakati wa kuihoji Serikali kwa kina

Hakuna shaka, safari ya Dodoma imewadia na saa ya kukuna vichwa kwa viongozi wetu imetimia. Sina shaka, Dodoma ambao ni mji mkuu wa nchi kisiasa, utakuwa umeanza kuchangamka.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI CHIKAWE ASHIRIKIANA NA WAGOMBEA SERIKALI ZA MITAA KUPIGA KAMPENI YA NYUMBA KWA NYUMBA JIMBONI NACHINGWEA

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe akiwasalimia wananchi wa Kijiji cha Libundu, Kitongoji cha Nangote, Kata ya Kiparamnero wilayani Nachingwea katika Kampeni ya nyumba kwa nyumba ya kuwanadi wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wa Serikali za Mitaa wilayani humo. Waziri Chikawe aliwaomba wananchi wa Nachingwea kuwapigia kura viongozi hao waliopitishwa na CCM kugombea nafasi hizo walizoomba. Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika...

 

10 years ago

Vijimambo

Apartments kuuzwa kwa njia ya mortgage kwa Wana-Diaspora wa Tanzania huko Zanzibar!

ZACADIA, which stands for Zanzibar-Canadian Diaspora Association holds a BBQ event annually and in this year of 2015, the event was sponsored by the People's Bank of Zanzibar Limited - The People's Bank, The People's Choice!
For more details on PBZ Diaspora Accounts (features & benefiits) and on ZSSF Mbweni apartments for Diaspora communities, click here:
Many Zanzibaris living in Toronto took application forms to open Diaspora accounts and Online Mobile Banking with the People's Bank of...

 

10 years ago

Vijimambo

Dr. Wilibrod Slaa amesema kuwa akiwa Rais wa Tanzania atamfunga Dr. John Magufuli kwa sababu alisimamia mchakato wa uuzwaji wa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupwa


Dr. Wilibrod Slaa amesema kuwa akiwa Rais wa Tanzania atamfunga Dr. John Magufuli kwa sababu alisimamia mchakato wa uuzwaji wa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupwaDr. Slaa akihojiwa na Radio five ya Arusha jioni hii nini maoni yake kuhusu uteuzi wa Magufuli kuwania Urais. 
Ameongelea mengi lakini amesema iwapo UKAWA wakimpa nafasi na Watanzania wakampa kura za kutosha kushinda Urais atamtia Magufuri ndani ili kujibu tuhuma za uuzwaji wa Nyumba kwa bei ya kutupa. 
Chanzo: Radio five,...

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Mwandishi aelezea kwa nini ilikuwa vigumu kwa yeye kutazama video ya mauaji.

Wamarekani weusi nchini Marekani wameeleza namna ilivyo vigumu kutazama picha ya video ya mauaji ya Floyd.

 

10 years ago

Vijimambo

HII NDIO MAELEZO YA SERIKALI KUHUSU SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO

Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo.
TAARIFA YA WAZIRI WA NISHANI NA MADINI PROF.MUHONGO KUHUSIANA NA SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO BONYEZA HAPA USOME TAARIFA KAMILI

 

10 years ago

GPL

NYUMBA YA GURUMO YASALIMIKA KUUZWA

Nyumba aliyokuwa akiishi marehemu Maalim Gulumo.
Mayasa Mariwata/ijumaawikienda
MKE wa aliyekuwa mwimbaji dansi Bongo, marehemu Muhidin Maalim Gurumo (Pichani), Pili Nassor amesema anamshukuru Mungu baada ya watoto wa mumewe kukaa na kukubaliana kutoiuza nyumba aliyokuwa akiishi na mumewe huyo iliyopo Tabata jijini Dar. Maalim Gulumo enzi za uhai… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani