Siku 67 za mipasho, matusi bungeni
Bunge Maalumu la Katiba linaahirishwa leo baada ya kukutana kwa siku 67 bila kupitisha hata ibara moja kati ya 240 zilizomo katika Rasimu ya Katiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Matusi bungeni yamuibua JK
RAIS Jakaya Kikwete amekemea vitendo vya wajumbe wa Bunge la Katiba kuwatusi waasisi wa taifa hili na kusema huo ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu. Katika mazungumzo yake...
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Makonda agoma kufuta ‘matusi’ bungeni
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Matusi bungeni kwa faida ya nani?
KINACHOENDELEA ndani ya Bunge la Katiba ni aibu inayofanya wajumbe walioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kupoteza heshima yao mbele ya jamii. Hali hiyo inatokana na jinsi mjadala wa rasimu ya...
10 years ago
Dewji Blog25 Aug
Makanisa Singida yaonya matusi na ubaguzi Bungeni
Askofu wa kanisa la Evanglist Assembels of God Tanzania (E.A.G.T) Singida mjini, John Mafwimbo akizungumza kwenye mkutano wa Injili uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Ukombozi mjini Singida.Pamoja na mambo mengi, askofu Mafwimbo amewasihi wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, kufanya mambo waliyotumwa na Watanzania na si vinginevyo.
Na Nathaniel Limu, Singida
Makanisa ya Kipentekoste mkoani Singida, yameungana na Watanzania wengine kuwaomba wajumbe wa Bunge Maalum la kuandaa Katiba...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC00479.jpg)
MAKANISA SINGIDA YAONYA MATUSI NA UBAGUZI BUNGENI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
Mh. Pindi Chana azindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2rPPy745xUw/VPJJRZYuk7I/AAAAAAAHGq8/ZVCD-U9qGG8/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
11 years ago
Habarileo20 Feb
Vurugu bungeni ‘kifungo’ siku 10
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba atakayevunja, kujaribu kuvunja utaratibu, amani na utulivu au kuonesha tabia za vurugu kwa kutumia nguvu na mabavu ndani ya ukumbi wa mikutano, atakabiliwa na adhabu ya kuzuiwa vikao kwa siku 10.
10 years ago
Mtanzania28 May
Kikwete:Tutaongeza siku 10 za miswada bungeni
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali inafanya mazungumzo na Ofisi ya Spika wa Bunge kuongeza siku 10 za kuwasilisha miswada mbalimbali.
Kauli hiyo aliitoa juzi mkoani hapa alipofungua Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) ambao ulikuwa pamoja na uchaguzi wa nafasi za juu za chama hicho.
Akizungumza katika mkutano huo ulikuwa na wajumbe zaidi ya 1,200 ambako mke wake Salma Kikwete pia alihudhuria, Rais Kikwete alitumia fursa hiyo kuwaaga walimu hao.
Katika...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Mipasho haifai muziki wa Injili
STAILI, vionjo na mfumo mzima wa muziki umekuwa ukibadilika kila siku kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo hali ya kwenda na wakati. Mabadiliko haya kwa upande mwingine yamekuwa sababu ya changamoto...