Vurugu bungeni ‘kifungo’ siku 10
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba atakayevunja, kujaribu kuvunja utaratibu, amani na utulivu au kuonesha tabia za vurugu kwa kutumia nguvu na mabavu ndani ya ukumbi wa mikutano, atakabiliwa na adhabu ya kuzuiwa vikao kwa siku 10.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Vurugu kura ya maoni bungeni
NA WAANDISHI WETU, DODOMA NA DAR
WABUNGE wa upinzani jana walisababisha kikao cha asubuhi cha Bunge kivunjike, baada ya kusimama na kutaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda atoe kauli juu ya mustakabali wa uandikishaji wapigakura na hatima ya kura ya maoni.
Spika wa Bunge, Anne Makinda, alilazimika kuahirisha kikao hicho baada ya wabunge hao kusimama wote na kuwasha vipaza sauti wakimtaka Pinda atoe kauli, kwani kwa muda mrefu Serikali imekuwa haitoi majibu ya suala hilo.
CHANZO CHA VURUGU
Dalili za...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Vurugu bungeni zawakera wasomi
10 years ago
CloudsFM13 Feb
VURUGU ZA ZUKA BUNGENI AFRIKA KUSINI
Sakata hilo lilizuka wakati Rais wa nchi hio Jacob Zuma alipokuwa akilihutubia taifa na kuulizwa maswali na wabunge wa chama cha EFF...
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Afrika Kusini:Vurugu zatanda Bungeni
11 years ago
Habarileo19 Apr
Mwanasiasa mkongwe haoni mantiki ‘vurugu’ bungeni
MWANASIASA wa siku nyingi hapa nchini, Pancras Ndejembi amesema haoni mantiki ya wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kususa vikao vya bunge la katiba na kutaka kukimbilia kwa wananchi.
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Mswada tata wazua vurugu bungeni Kenya
11 years ago
BBCSwahili01 May
Vurugu, maandamano siku ya May Day
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Siku 67 za mipasho, matusi bungeni
10 years ago
Mtanzania28 May
Kikwete:Tutaongeza siku 10 za miswada bungeni
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali inafanya mazungumzo na Ofisi ya Spika wa Bunge kuongeza siku 10 za kuwasilisha miswada mbalimbali.
Kauli hiyo aliitoa juzi mkoani hapa alipofungua Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) ambao ulikuwa pamoja na uchaguzi wa nafasi za juu za chama hicho.
Akizungumza katika mkutano huo ulikuwa na wajumbe zaidi ya 1,200 ambako mke wake Salma Kikwete pia alihudhuria, Rais Kikwete alitumia fursa hiyo kuwaaga walimu hao.
Katika...