Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vurugu bungeni ‘kifungo’ siku 10

Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir KifichoMJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba atakayevunja, kujaribu kuvunja utaratibu, amani na utulivu au kuonesha tabia za vurugu kwa kutumia nguvu na mabavu ndani ya ukumbi wa mikutano, atakabiliwa na adhabu ya kuzuiwa vikao kwa siku 10.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Vurugu kura ya maoni bungeni

NA WAANDISHI WETU, DODOMA NA DAR
WABUNGE wa upinzani jana walisababisha kikao cha asubuhi cha Bunge kivunjike, baada ya kusimama na kutaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda atoe kauli juu ya mustakabali wa uandikishaji wapigakura na hatima ya kura ya maoni.
Spika wa Bunge, Anne Makinda, alilazimika kuahirisha kikao hicho baada ya wabunge hao kusimama wote na kuwasha vipaza sauti wakimtaka Pinda atoe kauli, kwani kwa muda mrefu Serikali imekuwa haitoi majibu ya suala hilo.

CHANZO CHA VURUGU
Dalili za...

 

11 years ago

Mwananchi

Vurugu bungeni zawakera wasomi

Vurugu na mivutano inayoendelea katika Bunge Maalumu la Katiba imewakera baadhi ya wasomi ambao kwa nyakati tofauti, wamesema kinachoendelea sasa ni matokeo ya mchakato mbovu wa namna ya kupata Katiba Mpya.

 

10 years ago

CloudsFM

VURUGU ZA ZUKA BUNGENI AFRIKA KUSINI

Bunge la Afrika kusini liligeuka kuwa uwanja wa vita ambapo wabunge wa upinzani ilifikia hatua ya kuvutana mashati na maafisa wa usalama na kufanya wabunge wa upinzani wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF) wakiongozwa na Julias Malema kutolewa nje ya ukumbi wa bunge kwa nguvu na baadae wabunge wengine wa upanzani nao wakatoka nje ya ukumbi.
Sakata hilo lilizuka wakati Rais wa nchi hio Jacob Zuma alipokuwa akilihutubia taifa na kuulizwa maswali na wabunge wa chama cha EFF...

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini:Vurugu zatanda Bungeni

Wapinzani wa Chama cha EFF watolewa nje ya Bunge la Afrika kusini kwa nguvu

 

11 years ago

Habarileo

Mwanasiasa mkongwe haoni mantiki ‘vurugu’ bungeni

MWANASIASA wa siku nyingi hapa nchini, Pancras Ndejembi amesema haoni mantiki ya wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kususa vikao vya bunge la katiba na kutaka kukimbilia kwa wananchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mswada tata wazua vurugu bungeni Kenya

Wabunge wa Kenya wametofautiana pakubwa bungeni kufuatia mjadala mkali kuhusu mswaada tatanishi wa usalama kiasi cha kulazimisha bunge kusitisha kikao kwa muda

 

11 years ago

BBCSwahili

Vurugu, maandamano siku ya May Day

Maandamano na vurugu zimefanyika leo siku ya wafanyakazi duniani nchini Uturuki na maeneo mengine duniani.

 

11 years ago

Mwananchi

Siku 67 za mipasho, matusi bungeni

Bunge Maalumu la Katiba linaahirishwa leo baada ya kukutana kwa siku 67 bila kupitisha hata ibara moja kati ya 240 zilizomo katika Rasimu ya Katiba.

 

10 years ago

Mtanzania

Kikwete:Tutaongeza siku 10 za miswada bungeni

Jakaya-Kikwete1NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali inafanya mazungumzo na Ofisi ya Spika wa Bunge kuongeza siku 10 za kuwasilisha miswada mbalimbali.
Kauli hiyo aliitoa juzi mkoani hapa alipofungua Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) ambao ulikuwa pamoja na uchaguzi wa nafasi za juu za chama hicho.
Akizungumza katika mkutano huo ulikuwa na wajumbe zaidi ya 1,200 ambako mke wake Salma Kikwete pia alihudhuria, Rais Kikwete alitumia fursa hiyo kuwaaga walimu hao.
Katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani