Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afrika Kusini:Vurugu zatanda Bungeni

Wapinzani wa Chama cha EFF watolewa nje ya Bunge la Afrika kusini kwa nguvu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

VURUGU ZA ZUKA BUNGENI AFRIKA KUSINI

Bunge la Afrika kusini liligeuka kuwa uwanja wa vita ambapo wabunge wa upinzani ilifikia hatua ya kuvutana mashati na maafisa wa usalama na kufanya wabunge wa upinzani wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF) wakiongozwa na Julias Malema kutolewa nje ya ukumbi wa bunge kwa nguvu na baadae wabunge wengine wa upanzani nao wakatoka nje ya ukumbi.
Sakata hilo lilizuka wakati Rais wa nchi hio Jacob Zuma alipokuwa akilihutubia taifa na kuulizwa maswali na wabunge wa chama cha EFF...

 

10 years ago

Mtanzania

Vurugu Afrika Kusini zavuka mipaka

jacob-zumaDurban, Afrika Kusini

LICHA ya Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma kulaani vurugu zinazoendelea nchini humo dhidi ya wageni (xenophobia), vurugu hizo zimezidi kupamba moto na sasa zimevuka mipaka ya nchi hiyo.
Wakati vurugu zikiendelea kwa wenyeji kuvamia na kuiba kwenye maduka ya raia wa kigeni katika hali ambayo imeonesha kama ni kulipa kisasi, raia wa Afrika Kusini wanaoishi na kufanya biashara katika nchi za Msumbiji na Zimbabwe siku nzima ya jana baadhi yao wameanza kushambuliwa.
Taarifa...

 

10 years ago

Vijimambo

Mtanzania asimulia vurugu Afrika Kusini.

Walengwa wakuu walikuwa Wanigeria, Wasomalia, Wachina, Watanzania 21 wakubali kurejeshwa nchini, wanaishi kambini.Wakati serikali ikitangaza kuwarejesha Watanzania 21 kati ya 23 walioko kwenye moja ya makambi yanayowahifadhi raia wa kigeni walioathirika na vurugu zilizohusisha mauaji, uporaji na watu kukimbia makazi nchini Afrika Kusini, Mtanzania aliyeko nchini humo, amesimulia jinsi raia wengi wa kigeni walivyoathirika.

Joseph Moses, anayeishi mjini Durban, amesema pamoja na baadhi ya raia...

 

10 years ago

Habarileo

Jeshi laingilia kati vurugu Afrika Kusini

Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma.KATIKA kuhakikisha vurugu dhidi ya raia wa kigeni zinakomeshwa nchini hapa, Serikali imetangaza kuwa, jeshi sasa litatumika kudhibiti ghasia zilizosababisha vifo vya watu saba, huku zaidi ya 5,000 wakitajwa kuyaacha makazi yao na kwenda kuishi katika kambi maalumu ili kuokoa maisha yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Vurugu Afrika Kusini zadaiwa kuua Mtanzania

Dar es Salaam. Baadhi ya Watanzania wanaoishi Afrika Kusini wamedai kuwa mwenzao mmoja amefariki dunia kutokana na vurugu zinazoendelea nchini humo.

 

10 years ago

GPL

VURUGU ZA AFRIKA KUSINI, WAZIRI MEMBE ATOA TAMKO

Na Denis Mtima / GPL WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe (pichani) ametoa tamko kuhusiana na Watanzania waliopo nchini Afrika Kusini. Waziri Membe amesema Watanzania 21 watarejeshwa nchini kutokana na vurugu zinazoendelea za wenyeji kuwashambulia wageni huko Afrika Kusini. Aidha, Membe ameongeza kuwa Watanzania watatu wamefariki kwa maradhi lakini si kuuawa katika vurugu hizo, hivyo hakuna mtu...

 

10 years ago

GPL

NHLANHLA NCIZA WA MAFIKIZOLO KUSAIDIA WAHANGA WA VURUGU AFRIKA KUSINI

Nhlanhla Nciza. MMOJA wa wanamuziki wanaounda Kundi la Mafikizolo la nchini Afrika Kusini, Nhlanhla Nciza, ametangaza uamuzi wake wa kusaidia familia zilizokimbia makazi yao kutokana na vurugu zinazoendelea nchini humo. Vurugu zikiendelea katika Mji wa Durban, Afrika Kusini. Ni wiki ya pili sasa tangu Afrika Kusini ikumbwe na vurugu zinazoambatana na mauaji zinazosababishwa na makundi ya watu wenye silaha ambayo yanawalaumu...

 

10 years ago

Michuzi

HAKUNA MTANZANIA ALIEFARIKI KWA VURUGU ZA AFRIKA KUSINI - MEMBE

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii 
SERIKALI imesema hakuna mtanzania aliyepoteza maisha kwa vurugu zinazoendelea nchini Afrika Kusini kutokana na wenyeji wa nchi hiyo kuwachukia wageni.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe amesema watanzania waliofariki nchini Afrika Kusini hawatokani na vurugu za wenyeji kuwakataa wageni.
Membe amesema tatizo hilo lilianza 2008 na 2014 hiyo lilichangiwa na Mfalme wa nchini...

 

10 years ago

Mwananchi

VURUGU AFRIKA KUSINI: Membe adai hakuna mtanzania aliyeuawa, 21 kurejea nchini

Watanzania 23 waishio Afrika Kusini wamewekwa kwenye kambi maalumu ya Isipingo nchini humo ili kupewa ulinzi wa maisha yao yaliyo hatarini kufuatia mashambulizi yanayofanywa na wazawa dhidi ya wageni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani