Vurugu bungeni zawakera wasomi
Vurugu na mivutano inayoendelea katika Bunge Maalumu la Katiba imewakera baadhi ya wasomi ambao kwa nyakati tofauti, wamesema kinachoendelea sasa ni matokeo ya mchakato mbovu wa namna ya kupata Katiba Mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Feb
Vurugu bungeni ‘kifungo’ siku 10
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba atakayevunja, kujaribu kuvunja utaratibu, amani na utulivu au kuonesha tabia za vurugu kwa kutumia nguvu na mabavu ndani ya ukumbi wa mikutano, atakabiliwa na adhabu ya kuzuiwa vikao kwa siku 10.
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Vurugu kura ya maoni bungeni
NA WAANDISHI WETU, DODOMA NA DAR
WABUNGE wa upinzani jana walisababisha kikao cha asubuhi cha Bunge kivunjike, baada ya kusimama na kutaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda atoe kauli juu ya mustakabali wa uandikishaji wapigakura na hatima ya kura ya maoni.
Spika wa Bunge, Anne Makinda, alilazimika kuahirisha kikao hicho baada ya wabunge hao kusimama wote na kuwasha vipaza sauti wakimtaka Pinda atoe kauli, kwani kwa muda mrefu Serikali imekuwa haitoi majibu ya suala hilo.
CHANZO CHA VURUGU
Dalili za...
10 years ago
CloudsFM13 Feb
VURUGU ZA ZUKA BUNGENI AFRIKA KUSINI
Sakata hilo lilizuka wakati Rais wa nchi hio Jacob Zuma alipokuwa akilihutubia taifa na kuulizwa maswali na wabunge wa chama cha EFF...
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Afrika Kusini:Vurugu zatanda Bungeni
11 years ago
Habarileo19 Apr
Mwanasiasa mkongwe haoni mantiki ‘vurugu’ bungeni
MWANASIASA wa siku nyingi hapa nchini, Pancras Ndejembi amesema haoni mantiki ya wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kususa vikao vya bunge la katiba na kutaka kukimbilia kwa wananchi.
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Mswada tata wazua vurugu bungeni Kenya
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Kodi za mabango zawakera wafanyabiashara
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Tuhuma za rushwa zawakera wajumbe wateule wa Rais
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_r7eQYpXhjo/U3JOLwB0bFI/AAAAAAAFhbU/R20IeCt1v6w/s72-c/download+(4).jpg)