Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuhuma za rushwa zawakera wajumbe wateule wa Rais

Sakata la baadhi ya wajumbe wa kuteuliwa katika Bunge la Katiba, kutuhumiwa kuhongwa chakula na vinywaji ili waunge mkono hoja ya Serikali mbili, sasa limetawala mijadala ya wajumbe wa bunge hilo nje ya Bunge, huku wengine wakitaka suala hilo liondolewe kwenye Kamati ya Kanuni na Haki za Bunge.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Wajumbe wateule waendelea kupinga kufutwa kwa matokeo Uchaguzi  Zanzibar

Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Wateule Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF) wamesema hawapo tayari kurudia Uchaguzi Mkuu kwa madai ya kuwa uchaguzi uliofanyika Oktoba 25 siyo batili.

Huku wakiitaka Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kutengua tamko la kufutwa kwa matokeo ya Uchaguzi na badala yake kutangaza matokeo ya Majimbo yote yaliyofanyika uchaguzi huo.

Abubakari Khamis Bakari ametoa tamko hilo ambalo ni azimio la wawakilishi wateule 27 kupitia chama hicho Zanzibar na kusema kuwa...

 

11 years ago

Habarileo

Tuhuma za rushwa ni hisia tu-Wizara

WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema tuhuma za rushwa zinazoambatanishwa na kazi ya usaili wa nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji ni hisia tu za wahusika.

 

11 years ago

Mwananchi

Hakimu mbaroni kwa tuhuma ya rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Pwani (Takukuru), inamshikilia Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Mailimoja, Ismail Karuta kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya Sh130,000.

 

10 years ago

Habarileo

20 CCM washikiliwa kwa tuhuma za rushwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani Nkasi mkoani Rukwa, inawashikilia wanachama 20 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwemo diwani wa Viti Maalumu (CCM) aliyemaliza muda wake, wakituhumiwa kutoa na kupokea rushwa.

 

10 years ago

GPL

MAAFISA WA FIFA WAKAMATWA ZURICH KWA TUHUMA ZA RUSHWA

Polisi wakiwa katika harakati ya kuwakamata maofisa hao. Makamu wa rais wa FIFA Jeffrey Webb ni miongoni mwa maofisa wa FIFA waliokamatwa katika hotelia ya Zurich nchini Switzerland. Polisi wakiwakamata maofisa hao.…

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA FIFA, THABO MBEKI AHUSISHWA NA TUHUMA ZA RUSHWA

Rais wa zamani wa Afrika kusini, Thabo Mbeki. Waziri wa Michezo wa Afrika Kusini, Fikile Mbalula, amesema rais wa zamani wa Afrika kusini, Thabo Mbeki, ndiye aliyeruhusu ulipwaji wa dola milioni 10 kwa FIFA, hela ambazo sasa zinadaiwa zilikuwa rushwa. Serikali ya Afrika Kusini imekuwa ikisisitiza kwamba fedha hizo zilikuwa ni sehemu ya mchango wa kusaidia kukuza soka katika nchi za Caribbean lakini waendesha mashtaka wa Marekani...

 

10 years ago

Mwananchi

Hakimu anaswa na Takukuru kwa tuhuma za kuomba rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imemnasa Hakimu mmoja wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya Sh500,000.

 

9 years ago

StarTV

M/kiti wa CCM Majohe ajiuzulu baada ya tuhuma za rushwa

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kata ya Majohe, Gekura Gisiri, amejiuzulu baada ya mgombea wa udiwani kwenye kata hiyo, Hassan Kingalu aliyekuwa akilalamikiwa kutoa rushwa wakati wa mchakato wa kura za maoni kutangazwa mshindi atakayegombea udiwani wa kata hiyo.

Pamoja na hatua hiyo ya kujiuzulu, wananchi wa eneo hilo nao wameonyesha kutokukubaliana na kupitishwa kwa mgombea huyo, kwa kudai kuwa hana sifa za kuwa kiongozi wao.

Mwenyekiti huyo wa CCM kata ya Majohe, Gekura Gisiri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani