Wajumbe wateule waendelea kupinga kufutwa kwa matokeo Uchaguzi  Zanzibar
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Wateule Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF) wamesema hawapo tayari kurudia Uchaguzi Mkuu kwa madai ya kuwa uchaguzi uliofanyika Oktoba 25 siyo batili.
Huku wakiitaka Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kutengua tamko la kufutwa kwa matokeo ya Uchaguzi na badala yake kutangaza matokeo ya Majimbo yote yaliyofanyika uchaguzi huo.
Abubakari Khamis Bakari ametoa tamko hilo ambalo ni azimio la wawakilishi wateule 27 kupitia chama hicho Zanzibar na kusema kuwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ksmOm5Zogvo/VkCGzFLkIII/AAAAAAAIE_Q/p-lV-eQ7aTY/s72-c/IMG_3540.jpg)
WAJUMBE WA BARAZA LA WAKILISHI WA CUF ZANZIBAR WAMEPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA ZANZIBAR KUFUTWA
Wajumbe 27 wa baraza hilo wamewasili jijini Dar es Salaam kuzungumza na waandishi wa habari juu ya kizungumkuti cha matokeo ya uchaguzi kufutwa huku wakiwa wenyewe hatambui hatua hiyo.
Akizungumza mmoja wa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi,...
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
Taarifa ya ZADIA kuhusu kufutwa kwa matokeo ya Uchaguzi Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-SIQ_BbYAmzM/VXfGH3gBtWI/AAAAAAAAkXY/gp8vIk1mf84/s400/zadia.png)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SIQ_BbYAmzM/VXfGH3gBtWI/AAAAAAAAkXY/gp8vIk1mf84/s72-c/zadia.png)
ZADIA YAZUNGUMZIA HALI YA KUFUTWA KWA MATOKEO YA UCHAGUZI ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-SIQ_BbYAmzM/VXfGH3gBtWI/AAAAAAAAkXY/gp8vIk1mf84/s400/zadia.png)
Ama kwa hakika kitendo hicho hakikuwa cha busara na...
9 years ago
StarTV30 Oct
Kufutwa matokeo ya uchaguzi zanzibar  Vyama vya siasa vyapinga
Baadhi ya vyama vya siasa vilivyoshiriki uchaguzi mkuu wa Zanzibar vimeeleza kutokubaliana na kauli ya mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ZEC Jecha Salim Jecha ya kufuta uchaguzi mkuu ulioelezwa kujaa mizengwe na kukiuka taratibu.
Wanadai kuwa tangazo hilo linawatia mashaka wakimtaka mwenyekiti wa Tume achambue vipengele vitakavyothibitisha kasoro zilizosababisha kufutwa kwa sheria hiyo.
Akizungumza wakati wa mkutano na wanahabari malindi visiwani Zanzibar Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi...
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Marekani yalaani kufutwa kwa matokeo Zanzibar
9 years ago
BBCSwahili28 Oct
Sababu 8 za kufutwa kwa uchaguzi Zanzibar
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Makamishna wapinga kufutwa kwa uchaguzi Zanzibar
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Uingereza yapinga kufutwa matokeo Zanzibar