Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


M/kiti wa CCM Majohe ajiuzulu baada ya tuhuma za rushwa

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kata ya Majohe, Gekura Gisiri, amejiuzulu baada ya mgombea wa udiwani kwenye kata hiyo, Hassan Kingalu aliyekuwa akilalamikiwa kutoa rushwa wakati wa mchakato wa kura za maoni kutangazwa mshindi atakayegombea udiwani wa kata hiyo.

Pamoja na hatua hiyo ya kujiuzulu, wananchi wa eneo hilo nao wameonyesha kutokukubaliana na kupitishwa kwa mgombea huyo, kwa kudai kuwa hana sifa za kuwa kiongozi wao.

Mwenyekiti huyo wa CCM kata ya Majohe, Gekura Gisiri...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

20 CCM washikiliwa kwa tuhuma za rushwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani Nkasi mkoani Rukwa, inawashikilia wanachama 20 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwemo diwani wa Viti Maalumu (CCM) aliyemaliza muda wake, wakituhumiwa kutoa na kupokea rushwa.

 

11 years ago

Habarileo

Tuhuma za rushwa ni hisia tu-Wizara

WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema tuhuma za rushwa zinazoambatanishwa na kazi ya usaili wa nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji ni hisia tu za wahusika.

 

11 years ago

Mwananchi

Hakimu mbaroni kwa tuhuma ya rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Pwani (Takukuru), inamshikilia Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Mailimoja, Ismail Karuta kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya Sh130,000.

 

10 years ago

Michuzi

WATU WANNE MBARONI AKIWEMO M/KITI WA KIJIJI CHA IHANDA WILAYANI KONGWA DODOMA KWA TUHUMA ZA MAUAJI YAKIHUSISHA IMANI ZA KISHIRIKINA

Na. Sylvester Onesmo/Dorice Kigombe wa Jeshi la Polisi Dodoma.

Watu watatu wameuawa Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma katika matukio mawili tofauti yanayohusisha imani za kishirikina.
Akizungumzia matukio Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema tukio la kwanza limetokea tarehe 01/03/2015 majira ya saa 01:00hrs katika kitongoji cha Golani, kijiji cha Masinyeti, kata ya Iduo, tarafa ya Mlali Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma ambapo mtu mmoja...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuhuma za rushwa zawakera wajumbe wateule wa Rais

Sakata la baadhi ya wajumbe wa kuteuliwa katika Bunge la Katiba, kutuhumiwa kuhongwa chakula na vinywaji ili waunge mkono hoja ya Serikali mbili, sasa limetawala mijadala ya wajumbe wa bunge hilo nje ya Bunge, huku wengine wakitaka suala hilo liondolewe kwenye Kamati ya Kanuni na Haki za Bunge.

 

10 years ago

Mwananchi

Mkurugenzi wa Wizara ya Afya kortini kwa tuhuma za rushwa

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Afya na Usafi wa Mazingira wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Elias Chinamo amefikishwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu akikabiliwa na mashtaka 14 ya kuomba na kupokea rushwa.

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA FIFA, THABO MBEKI AHUSISHWA NA TUHUMA ZA RUSHWA

Rais wa zamani wa Afrika kusini, Thabo Mbeki. Waziri wa Michezo wa Afrika Kusini, Fikile Mbalula, amesema rais wa zamani wa Afrika kusini, Thabo Mbeki, ndiye aliyeruhusu ulipwaji wa dola milioni 10 kwa FIFA, hela ambazo sasa zinadaiwa zilikuwa rushwa. Serikali ya Afrika Kusini imekuwa ikisisitiza kwamba fedha hizo zilikuwa ni sehemu ya mchango wa kusaidia kukuza soka katika nchi za Caribbean lakini waendesha mashtaka wa Marekani...

 

10 years ago

Mwananchi

Hakimu anaswa na Takukuru kwa tuhuma za kuomba rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imemnasa Hakimu mmoja wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya Sh500,000.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani