Yanayoendelea Bungeni kwa manufaa ya nani?
LEO na jana jioni katika Vyombo Vya Habari na mitandao ya kijamii, imemnukuu aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba akiendelea kusikitishwa na kinachoendelea bungeni, mjini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Matusi bungeni kwa faida ya nani?
KINACHOENDELEA ndani ya Bunge la Katiba ni aibu inayofanya wajumbe walioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kupoteza heshima yao mbele ya jamii. Hali hiyo inatokana na jinsi mjadala wa rasimu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HRRHmSttR9o/default.jpg)
HABARI MBALIMBALI PAMOJA NA MATUKIO YANAYOENDELEA BUNGENI
Uongozi wa mabigwa wa soka nchini Yanga umethibitisha kumsajili kihalali mchezaji Geofrey Mwashuya kutokaKimondo FC ya mbeya. https://youtu.be/cYGXZTeWWOw
Watuhumiwa wanne mkoani mbeya wamehukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kufanya mauaji ya Mlemavu wa ngozi http://youtu.be/_hXJgsMGqiI
SIMUtv: Chile imefanikiwa kutinga fainali za Copa Amerika baada ya kuifunga Peru bao 2-1 katika mechi ya nusu fainali mjini Santiago. http://youtu.be/URSePAX6_ho
BUNGE.
TBC
SIMUtv: ...
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Je unatumia viungo vya chakula kwa namna inayofaa kwa manufaa ya afya yako?
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Manufaa mengi ya mende kwa binadamu
10 years ago
Uhuru Newspaper28 Aug
Waaswa kufuga nyuki kwa manufaa yao
WANANCHI mkoani Morogoro wametakiwa kufuga nyuki kwa njia ya kisasa ili kuongeza uzalishaji, kuinua kipato na kujitengenezea fursa za ajira.
Hayo yalibainishwa jana na mtaalamu wa ufugaji nyuki kutoka asasi ambazo zinafuga nyuki kwa njia ya kisasa katika Tarafa ya Turiani wilaya ya Mvomero, Baiton Mshani, alipozungumza na waandishi wa habari mjini hapa.
Alisema ufugaji nyuki unaweza kutoa ajira kwa vijana wengi na kuondoa dhana potofu ya kusubiri ajira toka serikalini iliyojenga kwa...
11 years ago
BBCSwahili14 May
Mvinyo haina manufaa kwa Afya yako
10 years ago
StarTV31 Dec
Waliohitimu JKT wahimizwa kuyatumia kwa manufaa ya taifa
Na Magesa Magesa
Arusha
Vijana wanaohitimu mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria wameaswa kuyatumia mafunzo wanayoyapata katika kambi mbalimbali hapa nchini kwa faida ya Taifa.
Hatua hii inaelezwa kuwa kama itazingatiwa na vijana wanaohitimu mafunzo ya muda mfupi ya JKT upo uwezekano mkubwa wa taifa kuwa na vijana ambao watakuwa waadilifu pindi watakapokuwa wakilitumikia taifa.
Akizungumza na wahitimu hao Mkuu wa Mkoa wa Arusha Daudi Ntibenda amewataka kuyatumia vizuri katika...
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
Redio jamii zisikubali kutumiwa na wanasiasa kwa manufaa binafsi
Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) Bw. Al Amin Yusuph akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mtungi kuzungumza na washiriki 31 wa mtandao wa redio jamii Tanzania (COMNETA) unaotekeleza mradi wa demokrasia na amani (DEP) kuelekea uchaguzi mkuu 2015 wanaohudhuria warsha ya siku nne inayoendelea mjini Dodoma.
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HlNu1m9ZpxU/Ve3Tr_LFnzI/AAAAAAAC-wc/qHUBG8wlf0w/s72-c/_MG_2991.jpg)
NITASIMAMIA SHERIA KWA KUWAWAJIBISHA WATAKAO PINDISHA SHERIA KWA MANUFAA YAO-DKT MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-HlNu1m9ZpxU/Ve3Tr_LFnzI/AAAAAAAC-wc/qHUBG8wlf0w/s640/_MG_2991.jpg)
Wakati kampeni za kuwania Urais,Ubunge na Udiwani zikidizi kushika kasi nchini,Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli,amesema atasimamia utawala wa sheria kwa kuwawajibisha wale...