Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HABARI MBALIMBALI PAMOJA NA MATUKIO YANAYOENDELEA BUNGENI


Uongozi wa mabigwa wa soka nchini Yanga umethibitisha kumsajili kihalali mchezaji Geofrey Mwashuya kutokaKimondo FC ya mbeya.  https://youtu.be/cYGXZTeWWOw
Watuhumiwa wanne mkoani mbeya wamehukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kufanya mauaji ya Mlemavu wa ngozi   http://youtu.be/_hXJgsMGqiI
SIMUtv:  Chile imefanikiwa kutinga  fainali za Copa Amerika baada ya kuifunga Peru bao 2-1 katika mechi ya nusu fainali mjini Santiago.   http://youtu.be/URSePAX6_ho


BUNGE.
TBC
SIMUtv: ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali kutoka Bungeni mjini Dodoma

PG4A3749

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na madiwani kutoka jimbo la Mkuranga kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 24, 2014. Madiwani hao walikwenda  Bungeni kwa mwaliko wa Mbunge wao, Adam Malima ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

PG4A3758

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  akizungumza na  Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema, Bungeni mjini Dodoma.

PG4A3768

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na  Mbunge wa Mtwara Mjini  Hasnan Murji,bungeni mjini Dodoma Juni 25, 2014. (Picha...

 

11 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali kutoka bungeni mjini Dodoma leo

PG4A2298

 

Mbunge wa Mwibara Kange Lugola  akiomba kura za kuwania nafasi ya Mjumbe  wa Tume ya Utumishi Bungeni kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.

PG4A2310

Mbunge wa Mwibara akivua bango alilokuwaameva wakati akiomba kura kwa wabunge za kuwania kuteuliwa kuwa  Mjumbe wa Tume ya  Utumishi  Bungeni kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma Juni 11, 2014. Aliamriwa kuvua bango hilo na Spika wa Bunge Anne Makinda. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

PG4A2314

 

PG4A2347

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Mwanza...

 

10 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali ya picha kutoka Bungeni mjini Dodoma

PG4A9014

Spika wa Bunge Anne Makinda akizungumza Bungeni Mjini Dodoma Januari 28, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). PG4A9034 Spika wa Bunge Anne Makinda akitoka Bungeni baada ya kulazimika kuahirisha kikao kabla ya muda wake. PG4A9084 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Rose Kamili kwenye viwanja vya Bunge mjini  Dodoma Januari 28, 2015. (Picha na Ofisiya Waziri Mkuu).

 

11 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali ya Waziri Mkuu Pinda Bungeni mjini Dodoma

PG4A0727

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Madiwani na Watendaji wa Halmashauri ya Wilaya  ya Kishapu mkoani Shinyanga kwenye ukumbi wa Spika .Bungeni mjini Dodoma Mei 27, 2014.Walipotembelea Bunge kwa mwaliko wa Mbunge wao, Suleiman Nchambi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A0674

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifurahia jambo katika mazungumzo kati yake na Mbunge wa Moshi Vijijini, Cyrli Chami kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma.

PG4A0701

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiteta na Mwandishi  wa habari...

 

10 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali ya Waziri Mkuu Pinda kutoka Bungeni mjini Dodoma

PG4A0322

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akitoa kauli kuhusu mgogoro wa wakulima na wafugaji wilayani Kiteto , Bungeni mjini Dodoma Novembe 17, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A0421

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Waziri wa Fedha,Saada Mkuya (kulia) na Naibu wake, Mwigulu Lameck Nchemba kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Novemba 17, 2014. (Picha na  Ofisi ya Waziri Mkuu)

PG4A0436

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (kushoto) akisalimiana na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu,...

 

11 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali kutoka Bungeni mjini Dodoma linakoendelea Bunge la Bajeti

PG4A9866

Waziri wa Ujenzi, Mh. John Magufuli  akisoma bajeti ya Wizara  hiyo bungeni mjini Dodoma Mei 21, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A9913

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na wabunge kutoka bunge la Uganda , Ssentongo Theopista Nabulya (kushoto) na Dr. Chris Baryomunsi, ofisini kwake bungeni mjini Dodoma  Mei  21, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A9928

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera,  Uratibu  na Bunge, William Lukuvi akisalimiana na ujumbe wa wabunge kutoka  Bunge la...

 

10 years ago

GPL

MATUKIO YA IYF YANAYOENDELEA MLIMANI CITY DAR

Viongozi wa IYF wakitoa mafunzo ambapo kushoto ni mkalimani wa lugha ya Kiswahili. Washereheshaji wa hafla MCs) wakiwa kazini katika semina hiyo. Kwaya ya Gracias ikitoa burudani.…

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZA MATUKIO YANAYOENDELEA KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI DMV


Mkutano mkubwa ulioandaliwa na kanisa la Cathedral of Praise unaendelea ukiwa katika hatua za mwishomwisho. Mkutano huo uliofanyika katika hotel ya Hampton iliyoko Baltimore ave College Park umefanyika kwa mafanikio ukishirikisha wahubiri kutoka states mbalimbali za hapa Marekani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Yanayoendelea Bungeni kwa manufaa ya nani?

LEO na jana jioni katika Vyombo Vya Habari na mitandao ya kijamii, imemnukuu aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba akiendelea kusikitishwa na kinachoendelea bungeni, mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani