Waaswa kufuga nyuki kwa manufaa yao
WANANCHI mkoani Morogoro wametakiwa kufuga nyuki kwa njia ya kisasa ili kuongeza uzalishaji, kuinua kipato na kujitengenezea fursa za ajira.
Hayo yalibainishwa jana na mtaalamu wa ufugaji nyuki kutoka asasi ambazo zinafuga nyuki kwa njia ya kisasa katika Tarafa ya Turiani wilaya ya Mvomero, Baiton Mshani, alipozungumza na waandishi wa habari mjini hapa.
Alisema ufugaji nyuki unaweza kutoa ajira kwa vijana wengi na kuondoa dhana potofu ya kusubiri ajira toka serikalini iliyojenga kwa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Manufaa ya wajasiriamali wa nyuki kujisajili TBS
LICHA ya Tanzania kuwa nchi ya pili Afrika kwa uzalishaji wa asali na nta, bado mazao ya nyuki yanashindwa kupenya vizuri katika masoko ya kimataifa na soko la dunia kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HlNu1m9ZpxU/Ve3Tr_LFnzI/AAAAAAAC-wc/qHUBG8wlf0w/s72-c/_MG_2991.jpg)
NITASIMAMIA SHERIA KWA KUWAWAJIBISHA WATAKAO PINDISHA SHERIA KWA MANUFAA YAO-DKT MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-HlNu1m9ZpxU/Ve3Tr_LFnzI/AAAAAAAC-wc/qHUBG8wlf0w/s640/_MG_2991.jpg)
Wakati kampeni za kuwania Urais,Ubunge na Udiwani zikidizi kushika kasi nchini,Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli,amesema atasimamia utawala wa sheria kwa kuwawajibisha wale...
10 years ago
Habarileo24 Dec
Madereva waaswa, ulevi ni hatari kwa maisha yao
MADEREVA nchini wametakiwa kuzingatia sheria, kutotumia vinywaji vyenye ulevi na kuacha tabia ya kuongea na simu kwa kutuma au kupokea ujumbe wa maneno wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto.
9 years ago
Michuzi14 Dec
Wasanii waaswa kuendeleza ushirikiano baina yao na Serikali
![cb3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/cb3.jpg)
![cb2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/cb2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Nov
Wadau waliohudhuria kongamano la Nyuki mjini Arusha, watembelea shamba la darasa la Nyuki wilayani Ikungi
Kaimu Mkurugenzi wa idara ya Nyuki Gladness Mkanda,akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mahambe wilaya ya Ikungi muda mfupi baada ya kuongoza wadau wa nyuki kutoka sehemu mbalimbali duniani,kutembelea shamba darasa la ufugaji bora wa nyuki linalomilikiwa na shirika la Future Development Initiatives (Fu-DI).Mkamba alitoa wito kwa wananchi kujiunga katika vikundi vya ufugaji Nyuki ili waweze kujikomboa kiuchumi.
Meneja wa shirika la Future Development Initiatives (Fu-DI), Jonathani Njau,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cRRTAGA9oaA/Xn-WTJ1PxeI/AAAAAAALlaw/Ra6TGfHFKWE6uEvRjPmvf9RsLppRIyxaACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0088-2048x1369.jpg)
Watumishi wa Serikali mipakani waaswa kutoisaliti nchi yao kujiepusha na ugonjwa wa Corona.
![](https://1.bp.blogspot.com/-cRRTAGA9oaA/Xn-WTJ1PxeI/AAAAAAALlaw/Ra6TGfHFKWE6uEvRjPmvf9RsLppRIyxaACLcBGAsYHQ/s640/DSC_0088-2048x1369.jpg)
Bandari ya Kabwe, Wilayani Nkasi, Mkoani Rukwa
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_0102-scaled.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo pamoja na Kikosi cha Ulinzi na Usalama Mkoa akitoa maelekezo baada ya kuiona nyumba itakayotumika kwaajili ya kuhifadhi wageni kwa siku 14 katika bandari ya Kabwe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_0086-scaled.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (katikati) akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Mh. Said Mtanda (kushoto) pamoja na msimamizi wa Bandari ya Kabwe Mohamed Issa (Kulia) na wengineo wakati wakiingia katika lango kuu la bandari hiyo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Weu4L-MAIgw/Xn84ad_q3nI/AAAAAAAC18U/B_nlmTHrFmMMFlb92F-JAl-m0sjcIaJegCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAASWA WATUMISHI WA SERIKALI MIPAKANI KUTOISALITI NCHI YAO KUJIEPUSHA NA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Weu4L-MAIgw/Xn84ad_q3nI/AAAAAAAC18U/B_nlmTHrFmMMFlb92F-JAl-m0sjcIaJegCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
Mh. Wangabo amewataka watumishi hao kufanya kazi kwa uadilifu mkubwa kwani kuwapitisha wageni hao kwa kutumia rushwa kutasababisha nchi itaingia kwenye...
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Je unatumia viungo vya chakula kwa namna inayofaa kwa manufaa ya afya yako?
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Yanayoendelea Bungeni kwa manufaa ya nani?
LEO na jana jioni katika Vyombo Vya Habari na mitandao ya kijamii, imemnukuu aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba akiendelea kusikitishwa na kinachoendelea bungeni, mjini...