Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manufaa ya wajasiriamali wa nyuki kujisajili TBS

LICHA ya Tanzania kuwa nchi ya pili  Afrika kwa uzalishaji wa asali na nta,  bado mazao ya nyuki  yanashindwa kupenya vizuri katika masoko ya kimataifa na soko la dunia kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Waaswa kufuga nyuki kwa manufaa yao


WANANCHI mkoani Morogoro wametakiwa kufuga nyuki kwa njia ya kisasa ili kuongeza uzalishaji, kuinua kipato na kujitengenezea fursa za ajira.
Hayo yalibainishwa jana na mtaalamu wa ufugaji nyuki  kutoka asasi ambazo zinafuga nyuki kwa njia ya kisasa katika Tarafa ya Turiani wilaya ya Mvomero, Baiton Mshani, alipozungumza na waandishi wa habari mjini hapa.
Alisema ufugaji nyuki unaweza kutoa ajira kwa vijana wengi na kuondoa dhana potofu ya kusubiri ajira toka serikalini iliyojenga kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

MKURABITA yawataka wajasiriamali kujisajili

MPANGO wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara Tanzania (MKURABITA) umewataka wajasiriamali wadogo kusajili biashara zao na kupata mafunzo sahihi ili kufikia malengo yao. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajasiriamali wa nyuki wapewa vifaa kazi

MFUKO wa Hifadhi ya Misitu Tanzania (TaFF) kwa kushirikiana na Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu Kanda ya Kitapilimwa (MJUMIKK) umewakabidhi wajasiriamali mashine sita za kukamua asali na mizinga 20. Vifaa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajasiriamali wailalamikia TBS

SHIRIKA la Viwango nchini (TBS) limetupiwa lawama na wajasiriamali wadogo wanaozalisha bidhaa zinazotengenezwa hapa nchini. Malalamiko hayo yalitolewa jijini Dar es Salaam na baadhi ya wajasiriamali walipozungumza na Tanzania Daima...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wajasiriamali washirikiane na TBS

WAJASIRIAMALI nchini wametakiwa kutoa ushirikiano kwa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), na kufuata taratibu zinazotakiwa ili kuweza kupatiwa alama za uthibitisho wa bidhaa. Akizungumza na Tanzania daima jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBS yawapa somo wajasiriamali

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wajasiriamali na wafanyabiashara wakubwa nchini kuboresha bidhaa zao kwa kuzingatia viwango vya ubora unaotakiwa. Mkurugenzi wa Kudhibiti Ubora wa Viwango wa TBS, Tumaini Mtitu,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Wajasiriamali tumieni nembo ya TBS’

WAJASIRIAMALI nchini wameshauriwa kutumia nembo ya ubora TBS ili kuhakikisha ubora wa mlaji na mtumiaji wa bidhaa hizo. Ushauri huo umetolewa na Ofisa Udhibiti Ubora TBS, Prisca Kisella, wakati akizungumza...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jitihada za TBS kuwainua wajasiriamali kiuchumi

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) ni taasisi isiyowachoka wajasiriamali wakubwa, wa kati na wadogo kwa lengo la kuwainua kiuchumi katika uzalishaji wao. Shirika hili limekuwa likitoa mafunzo kwa wajasiriamali namna...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBS kutokomeza bidhaa bandia kwa wajasiriamali

UZALISHAJI wa bidhaa zilizo chini ya kiwango nchini umekuwa ni tatizo sugu linaloathiri afya za Watanzania na uchumi kwa ujumla. Mazingira duni ya maeneo ya uzalishaji yasiyozingatia masuala ya kitaalamu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani