Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajasiriamali wa nyuki wapewa vifaa kazi

MFUKO wa Hifadhi ya Misitu Tanzania (TaFF) kwa kushirikiana na Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu Kanda ya Kitapilimwa (MJUMIKK) umewakabidhi wajasiriamali mashine sita za kukamua asali na mizinga 20. Vifaa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Manufaa ya wajasiriamali wa nyuki kujisajili TBS

LICHA ya Tanzania kuwa nchi ya pili  Afrika kwa uzalishaji wa asali na nta,  bado mazao ya nyuki  yanashindwa kupenya vizuri katika masoko ya kimataifa na soko la dunia kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga, Simba wapewa vifaa

KAMPUNI ya Bia Tanzania kupitia bia yake ya Kilimanjaro Premium Lager jana ilikabidhi vifaa vya michezo vyenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 70 kwa timu za Yanga na Simba kwa ajili ya Ligi Kuu inayotazamiwa kuanza Septemba 12.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajasiriamali wasaidiwa vifaa vya Sh24ml

Wajasiriamali 80 kutoka Halmashauri za Wilaya ya Chamwino na Manispaa ya Dodoma wamepewa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya Sh24 milioni kutoka Shirika la la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) na mradi wa Tools for Self Reliance (TFSR) kutoka Uingereza

 

11 years ago

Mwananchi

Wajasiriamali wasaidiwa mafunzo, vifaa Moshi

Vikundi vya wanawake wa kata tofauti za Mkoa wa Kilimanjaro wamefanikiwa kupata mafunzo ya ujasiriamali kama hatua mojawapo ya kuwakwamua kiuchumi.

 

10 years ago

GPL

TSJ WAPEWA ZAWADI ZA VIFAA VYA HABARI

Mkuu wa Chuo cha Uandishi wa Habari cha TSJ, Blandina Semaganga(kushoto), Sweetbeth Bruno wa The Sanitarium Kliniki (katikati) pamoja na Dr. Fadhil Emily. Wanachuo wa TSJ wakifurahia msaada huo. Mwanachuo wa TSJ, Florida Moses akitumbuiza katika hafla hiyo.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Wadau waliohudhuria kongamano la Nyuki mjini Arusha, watembelea shamba la darasa la Nyuki wilayani Ikungi

DSC02197
Kaimu Mkurugenzi wa idara ya Nyuki Gladness Mkanda,akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mahambe wilaya ya Ikungi muda mfupi baada ya kuongoza wadau wa nyuki kutoka sehemu mbalimbali duniani,kutembelea shamba darasa la ufugaji bora wa nyuki linalomilikiwa na shirika la Future Development Initiatives (Fu-DI).Mkamba alitoa wito kwa wananchi kujiunga katika vikundi vya ufugaji Nyuki ili waweze kujikomboa kiuchumi.

DSC02184

Meneja wa shirika la Future Development Initiatives (Fu-DI), Jonathani Njau,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wageni 7,000 wapewa vibali vya kazi

SERIKALI imesema wageni 7,037 wamepatiwa vibali vya kazi kwa kuwa na sifa stahiki katika kipindi cha mwaka 2012/13. Hayo yalibainishwa bungeni jana na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Makongoro...

 

11 years ago

Michuzi

WATOTO WAISHIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU WA KITUO CHA CHILD IN THE SUN WAPEWA MSAADA WA VIFAA VYA SHULE NA TCAA

Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)Ally CHangwila akimkabidhi msaada wa Madaftari na vyakula mbalimbali Samson Ali (12) ambaye ni mmoja wa watoto waishio katika mazingira magumu ambao hivi sasa wanalelewa katika Kituo cha Child In The Sun kilichopo Manzese Dar es Salaam kituo hicho kinachomilikiwa na Kanisa Katoliki.watoto hao wanapatikana kwa kukusanywa mitaani. Mwalimu wa Kituo cha Kulea watoto waishio katika mazingira Magumu cha Child In The Sun kilichopo...

 

5 years ago

Michuzi

Watumishi wawili wafutwa kazi Njombe,watano wapewa onyo

Na Amiri kilagalila,NjombeBARAZA la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Njombe Kwa Kauli Moja limeazimia kuwafuta kazi watumishi wawili kwa tuhuma za utoro kazini na kutoa barua ya onyo kwa wengine watano baada ya kamati ya maadili kufanya uchunguzi wa kina na kujiridhisha kuwakuta na tuhuma za uzembe zilizowafanya kukiuka taratibu za manunuzi.
Watumishi waliofutwa kazi ni Patrick Kigola mtendaji wa kijiji cha mfiliga pamoja na Asma Ally ambaye ni mtabibu ambao wanadaiwa kukutwa na makosa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani