Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watumishi wawili wafutwa kazi Njombe,watano wapewa onyo

Na Amiri kilagalila,NjombeBARAZA la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Njombe Kwa Kauli Moja limeazimia kuwafuta kazi watumishi wawili kwa tuhuma za utoro kazini na kutoa barua ya onyo kwa wengine watano baada ya kamati ya maadili kufanya uchunguzi wa kina na kujiridhisha kuwakuta na tuhuma za uzembe zilizowafanya kukiuka taratibu za manunuzi.
Watumishi waliofutwa kazi ni Patrick Kigola mtendaji wa kijiji cha mfiliga pamoja na Asma Ally ambaye ni mtabibu ambao wanadaiwa kukutwa na makosa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RC NJOMBE AWAPONGEZA WALIMU WAWILI LUDEWA KWA KAZI NZURI


Na Shukrani Kawogo, Njombe.

Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka amewapongeza walimu wawili wa shule ya msingi Nindi iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe kwa juhudi wanazofanya kwa kuwafundisha wanafunzi wa shule hiyo kwa moyo wote bila kujali upungufu wa walimu walionao.

Walimu hao waliofahamika kwa majina ya Rebeca Mhagama Pamoja na Judith Kayombo wamekuwa wakifundisha wawili tu katika mikondo kumi na moja huku jumla ya wanafunzi wote ikiwa ni 308 wa shule ya msingi na 42 wa...

 

10 years ago

Habarileo

Wanaovamia viwanja wapewa onyo

na kuendeleza viwanja visivyokuwa vyao, wametakiwa kuacha tabia hiyo na kwamba Serikali haitasita kubomoa ujenzi wowote uliofanywa katika mazingira hayo.

 

10 years ago

Habarileo

Vijana Lindi wapewa onyo

VIJANA wa Wilaya ya Lindi Mjini wametahadharishwa kutokubali kudanganywa na kutumiwa kufanya vurugu ambazo zinaharibu vitu vichache walivyonavyo na kwa kufanya hivyo wanarudisha nyuma maendeleo yao.

 

10 years ago

Habarileo

Wauza mafuta wapewa onyo

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage SERIKALI imesema itawachukulia hatua kali wafanyabiashara wa mafuta, ikiwamo kuwafungia vituo vyao na pia kufuta leseni zao watakaobainika kugoma kuuza nishati hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mabeki Yanga wapewa onyo kali

Cairo, Misri. Mashabiki wa Zamalek wamechekelea kitendo cha Wizara ya mambo ya ndani Misri kuzuia mashabiki katika mchezo wa Al Ahly Jumapili wiki hii, lakini wakawatahadharisha mabeki wa Yanga kuepuka kutumia nguvu katika kuwakaba washambuliaji wa wapinzani wao.

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi wafutwa kazi Kigoma

Polisi mkoani Kigoma imewafukuza kazi askari wake watatu kwa kusambaza taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii juu ya utendaji kazi wa baadhi ya viongozi wa jeshi hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Marekani wafutwa kazi

Wajeshi 9 wa kambi ya Kinyuklia watimuliwa kwa kudanganya katika mtihani wao

 

9 years ago

BBCSwahili

Waislamu waliogoma wafutwa kazi Marekani

Waislamu 200 wanaofanya kazi katika kiwanda kimoja cha nyama Colorado, Marekani wamefutwa kazi baada yao kugoma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani