Wanaovamia viwanja wapewa onyo
na kuendeleza viwanja visivyokuwa vyao, wametakiwa kuacha tabia hiyo na kwamba Serikali haitasita kubomoa ujenzi wowote uliofanywa katika mazingira hayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo27 Jan
JWTZ yatoa onyo kwa wanaovamia viwanja
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeonya wananchi wanaovamia maeneo yanayomilikiwa na jeshi, kuacha tabia hiyo mara moja, kwani inahatarisha usalama wa maeneo ya kambi na maisha yao.
10 years ago
Habarileo30 Jun
Wauza mafuta wapewa onyo
SERIKALI imesema itawachukulia hatua kali wafanyabiashara wa mafuta, ikiwamo kuwafungia vituo vyao na pia kufuta leseni zao watakaobainika kugoma kuuza nishati hiyo.
10 years ago
Habarileo15 Dec
Vijana Lindi wapewa onyo
VIJANA wa Wilaya ya Lindi Mjini wametahadharishwa kutokubali kudanganywa na kutumiwa kufanya vurugu ambazo zinaharibu vitu vichache walivyonavyo na kwa kufanya hivyo wanarudisha nyuma maendeleo yao.
11 years ago
Mwananchi08 Mar
Mabeki Yanga wapewa onyo kali
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qMMPN7dJBVk/XuD0ChRTsEI/AAAAAAALtZU/sAf-X6cBvJ0ToCWRum_QiWwRdz8oA69oQCLcBGAsYHQ/s72-c/FUTA%2B%25281%2529.png)
Watumishi wawili wafutwa kazi Njombe,watano wapewa onyo
![](https://1.bp.blogspot.com/-qMMPN7dJBVk/XuD0ChRTsEI/AAAAAAALtZU/sAf-X6cBvJ0ToCWRum_QiWwRdz8oA69oQCLcBGAsYHQ/s640/FUTA%2B%25281%2529.png)
Watumishi waliofutwa kazi ni Patrick Kigola mtendaji wa kijiji cha mfiliga pamoja na Asma Ally ambaye ni mtabibu ambao wanadaiwa kukutwa na makosa...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-WbNT6bxCxDA/UdG6gU0-AFI/AAAAAAAAAKs/SaxiQt5RX_Q/s72-c/jakaya%2Bkikwete-aprm.jpg)
JK aamuru wahanga wapewa viwanja 400
Acharuka kwa kucheleweshwa kwa ahadi yake
Atoa siku saba, wananchi wapagawa kwa furaha
Na mwandishi wetuRAIS Jakaya Kikwete ameupa wiki moja uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, kuwapatia viwanja vya kujenga nyumba wahanga wa mafuriko.
![](http://2.bp.blogspot.com/-WbNT6bxCxDA/UdG6gU0-AFI/AAAAAAAAAKs/SaxiQt5RX_Q/s1600/jakaya%2Bkikwete-aprm.jpg)
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Muhimbili yatoa onyo
10 years ago
BBCSwahili21 Aug
Marekani yaishambulia IS licha ya onyo