JK aamuru wahanga wapewa viwanja 400
![](http://2.bp.blogspot.com/-WbNT6bxCxDA/UdG6gU0-AFI/AAAAAAAAAKs/SaxiQt5RX_Q/s72-c/jakaya%2Bkikwete-aprm.jpg)
Acharuka kwa kucheleweshwa kwa ahadi yake
Atoa siku saba, wananchi wapagawa kwa furaha
Na mwandishi wetuRAIS Jakaya Kikwete ameupa wiki moja uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, kuwapatia viwanja vya kujenga nyumba wahanga wa mafuriko. Mafuriko hayo yalitokea miaka minne iliyopita mjini Kilosa, ambapo Rais Kikwete aliagiza wahanga kupewa viwanja. Alitoa agizo hilo wakati alipozungumza na wananchi wa Kilosa katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Kilosa baada ya kutembelea wilaya...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
Wahanga wa Viwanja Kilosa kumwona JK
Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Jakaya Kikwete akizungumza na wananchi wa wilayani Kilosa mkoani Morogoro hivi karibuni.
Na Mwandishi wetu
KAULI ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa hivi karibuni kwa uongozi wa Wilaya ya Kilosa mkoani humo kuhakikisha wamepima viwanja ndani ya wiki moja kuwagawia wahanga wa mafuriko na kuwasaidia ujenzi, limepuuzwa na kusababisha wahanga hao kukusudia kuonana naye.
Hata hivyo, uongozi wa Halmashauri akiwemo Mkurugenzi, Idd Mshili na Mwenyekiti, Ameir...
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Bodaboda 400 wapewa mafunzo ya udereva
10 years ago
Habarileo01 Mar
Wanaovamia viwanja wapewa onyo
na kuendeleza viwanja visivyokuwa vyao, wametakiwa kuacha tabia hiyo na kwamba Serikali haitasita kubomoa ujenzi wowote uliofanywa katika mazingira hayo.
11 years ago
Habarileo04 Aug
Hakimu aamuru mashitaka yarekebishwe
HAKIMU Mkazi wa Mahakama ya Arusha, Mustapher Siyan ameamuaru upande wa Jamhuri kurekebisha kasoro zilizopo kwenye hati ya mashtaka ambayo inawakabili Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha, Profesa Johannes Monyo na wenzake saba.
11 years ago
Mwananchi21 Mar
DC aamuru Mkurugenzi Mtendaji kukamatwa
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Magufuli aamuru Strabag kufungua barabara
WAZIRI wa Ujenzi, John Magufuli, amemtaka mkandarasi Kampuni ya Strabag inayojenga Barabara ya Morogoro, kufungua barabara zilizokamilika ili kuwapunguzia wananchi adha ya foleni wanayokumbana nayo kila siku. Magufuli amemtaka mkurugenzi...
10 years ago
BBCSwahili11 May
Jaji aamuru Polisi awekwe mahabusu
9 years ago
Mwananchi23 Nov
DC Geita aamuru mabweni ya wafanyakazi G4S yafungwe